Hizi timu za Ligi kuu zinasikitisha sana, kumfunga Yanga au kutoa sare haikufanyi upate alama tatu muhimu! Bali nguvu mbinu na mikakati mnayowekeza kukabiliana na Yanga mngewekeza kwenye vilabu vingine hakika mngevuna alama nyingi Sifahamu huwa wanafundishwa nini huko kambini, Ila laiti kama hivi vilabu vingine vidogo vingekuwa vinacheza michezo mingine kama jinsi inavyocheza na Yanga, hakika wangevuna alama za kutosha!
Kwa upande wa pili Yanga imeshajulikana ndiye bingwa inafahamika ni timu tishio hali inayopelekea vilabu vingine vidogo kama KMC, Simba, Azam n.k kuikakia mno! Hivyo angalizo kwa Yanga wanapaswa kuja na mkakati mbadala kukabiliana na hali hii.
PIA SOMA
-
FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024