Kengold wangekamia SBS, KMC au Kagera Sugar kama walivyomkamia Yanga wangevuna walau alama moja

Kengold wangekamia SBS, KMC au Kagera Sugar kama walivyomkamia Yanga wangevuna walau alama moja

Hizi timu za Ligi kuu zinasikitisha sana, kumfunga Yanga au kutoa sare haikufanyi upate alama tatu muhimu! Bali nguvu mbinu na mikakati mnayowekeza kukabiliana na Yanga mngewekeza kwenye vilabu vingine hakika mngevuna alama nyingi Sifahamu huwa wanafundishwa nini huko kambini, Ila laiti kama hivi vilabu vingine vidogo vingekuwa vinacheza michezo mingine kama jinsi inavyocheza na Yanga, hakika wangevuna alama za kutosha!

Kwa upande wa pili Yanga imeshajulikana ndiye bingwa inafahamika ni timu tishio hali inayopelekea vilabu vingine vidogo kama KMC, Simba, Azam n.k kuikakia mno! Hivyo angalizo kwa Yanga wanapaswa kuja na mkakati mbadala kukabiliana na hali hii.

PIA SOMA
- FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
1727284757767.png
 
Kengold hawajakamia sema Yanga haikuwa kwenye form kabisa leo au wamezugumza naTarimba Abbas ili waliobeti 3+ wapigwe za uso.
 
Kengold hawajakamia sema Yanga haikuwa kwenye form kabisa leo au wamezugumza naTarimba Abbas ili waliobeti 3+ wapigwe za uso.
Hamtaki kukubali tu kuwa mna timu ya kawaida saaana. Yanga haina viwango hivyo inayojiaminisha inavyo. Mkikutana na timu kubwa mnakamia ili mpate matokeo ila bila hivyo ni mambo kama haya.
 
Back
Top Bottom