Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna kakideo nilikaona anaimbiwa wimbo mzuri sana na wanaye na wajuu..this yr " i sink" lest in pisi Babu K!Wave ya tatu hii. Kulikuwa na taarifa mapema kuwa mzee huyu kakumbwa na UVIKO.
Apumzike kwa amani mzee huyu.
Kabla ya chanjo kutinga ndani ya nyumba sote tu njia moja kuliko wakati wowote.