Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

Another legend is gone.
Huyu hata akiitwa SHUJAA WA AFRIKA, wakati ana stafu urais kwenye account yake alikuwa na dola 8000!! Tu, sawa, sio yule .......ambaye watu wake, walitaka kumpa sifa hiyo, lakini wakakutana na upinzani mkubwa, naona wakakimbia kwani hawakuwa na hoja zenye mashiko.
 
Pumzika mahali pema peponi mmoja wa Viongozi wazuri sana wa Afrika hukuwa fisadi, mwizi na ulishirikiana kwa karibu sana na Mwalimu Nyerere katika kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika ikiwemo South Africa.
 
Kumbe baba yake alikuwa mhamiaji kutoka Malawi?
Good history!
 
R.I.P Pan Africanist
Watoto wa kweli wa mama Africa nadhani alibaki yeye list ni ndefu ila akawasalimie kwame nkurumah, gamal Abdul nasser, tafawa balewa Nelson Mandela, samora machiel, mariam ngwabi, agustino neto Thomas sankara, mnandi azikiwe, silvanus olimpia ,julius nyerere na wengine wote.
 
Robert Mugabe,Julius Nyerere na Keneth Kaunda.

IMG-20210617-WA0047.jpg
 
Mzee wa kupiga gitaa la solo R.I.P

He was a truly Pan-africanist.
 
Hatimaye tamati.

Viva Kaunda.

A Luta Continua.

The Last of The Mohicans.

May All Beings Attain Enlightenment.
 
Juzi nimeona clip ya B'day. Yake...katimiza 100yrs anacheza mziki....
.

Nadhani itakuwa kuna tofauti ya miaka ya kiserikali na yake binafsi labda!
 
Back
Top Bottom