Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nyerere 1922 - 1999
Kaunda 1924 - 2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere 1922 - 1999
Kaunda 1924 - 2021
Kabisa na Mchonga alizifaidi hasa,iikichakaa tu kidogo anapiga
"ə bana kaunda suti hizi sio imara bana ishachanika"
Kaunda "imeisha hiyo nakuletea 2 mpya bure usimshtue Nkurumah km zilichanika "
Mchonga "Aah bro skuangushi hata kupiga ni sababu tu naenda kikao UNO"
Kaunda-poa
Mchonga huku-Yes 👊🕺suti 2kaunda buree
Story tu kijijini hizi inasemekana 👊
Pumzika mahali pema peponi mmoja wa Viongozi wazuri sana wa Afrika hukuwa fisadi, mwizi na ulishirikiana kwa karibu sana na Mwalimu Nyerere katika kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika ikiwemo South Africa.
Daah wameisha wote sasa...maana alibaki Kaunda na MugabeAnother legend is gone.
Hii announcement ya tarehe 17 kwa vifo vya marais inamaanisha nini?[emoji848]Rais mstaafu wa Zambia na shujaa wa kweli wa Afrika mzee Kenedy Kaunda ametuwachia majonzi.
Amefariki leo hii 17.06.2021 .
Hakika tutamkumbuka kwa mengi sana aliyoyafanyia wa Afrika. View attachment 1821798
Uzee noma asee [emoji848][emoji848]Rais mstaafu wa Zambia na shujaa wa kweli wa Afrika mzee Kenedy Kaunda ametuwachia majonzi.
Amefariki leo hii 17.06.2021 .
Hakika tutamkumbuka kwa mengi sana aliyoyafanyia wa Afrika. View attachment 1821798
Wakina Mwinyiameona wajukuu na vitukuu na vilembwe, mungu ni mwema sana.
Watu wenye mioyo safi waliompa Yesu maisha yao ndio wanaishi hivi.
ewaaa.
Historia ya lumumba huwa inaniliza pamoja na video zake alivyotekwa[emoji22]Kweli mashujaa wameisha
Walipigania haswa Africa na wananchi kwa ujumla
Tutawakumbuka daima
Pumzika KK
Hapo ndio umoja ulikuwa wa kweli
Na kulikuwa hakuna ubaguzi
View attachment 1822082
View attachment 1822084
Hivi kitambaa alichoshika kinamaanisha nini
Daah wameisha wote sasa...maana alibaki Kaunda na Mugabe
Nxt ni Mu7 na Ngongoti
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hivi Mu7 hana mia yule?Alibaki pekeyake huyu....
wenzake wote walishavuta
Hata Vasco Da Gama atatoboaewaaa.
Ana 76 japo inaonekana kama ana 90 yule
Itakuwa anafix age...kama Wema vile[emoji848]Ana 76 japo inaonekana kama ana 90 yule