Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

Nyerere 1922 - 1999

Kaunda 1924 - 2021
1623999249575.png
 
Kabisa na Mchonga alizifaidi hasa,iikichakaa tu kidogo anapiga
"ə bana kaunda suti hizi sio imara bana ishachanika"
Kaunda "imeisha hiyo nakuletea 2 mpya bure usimshtue Nkurumah km zilichanika "
Mchonga "Aah bro skuangushi hata kupiga ni sababu tu naenda kikao UNO"
Kaunda-poa

Mchonga huku-Yes 👊🕺suti 2kaunda buree
Story tu kijijini hizi inasemekana 👊
 
Pumzika mahali pema peponi mmoja wa Viongozi wazuri sana wa Afrika hukuwa fisadi, mwizi na ulishirikiana kwa karibu sana na Mwalimu Nyerere katika kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika ikiwemo South Africa.
 
Rais mstaafu wa Zambia na shujaa wa kweli wa Afrika mzee Kenedy Kaunda ametuwachia majonzi.

Amefariki leo hii 17.06.2021 .
Hakika tutamkumbuka kwa mengi sana aliyoyafanyia wa Afrika. View attachment 1821798
Hii announcement ya tarehe 17 kwa vifo vya marais inamaanisha nini?[emoji848]

Stone 17.03

Kenneth 17.06

[emoji1745][emoji1745]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom