MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,308
Kumwita binadamu takataka !!!! brother ninyi ndo huwa mnaangukiwa na containers au kulaliwa na matanker zinabaki suruali au mashati tu au mafuvu. ukifuatilia kwa nini amekufa vibaya hivyo unakuta aliwahi waita wenzake takataka na Mungu akaamua kumgeuza taka yeyeSisi tunajenga Stiegler Gorge la kuzalisha
> 2000 MW, halafu kuna takataka wanataka kupinga?
fvck chadema na wapinga maendeleo wote!