Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

Masi Lambo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
532
Reaction score
360
Bila aibu kwa miaka mingi sana sasa, Wakenya wana watangazia wazungu na wote duniani mlima Kilimanjaro upo Kenya. Wazungu wote waliodanganywa hivyo wamechukia sana baada ya kuwalazimu kulipia viza za nchi mbili na kupoteza muda mwingi na pesa zao.

Huu ni ushenzi wa kijinga na wivu mkubwa, kwani sasa tutatangaza dunia nzima kwamba wakenya ni waongo na wezi wa mlima, ingekuwa nchi za Ulaya zinge ilipisha Kenya kwa kutuibia watalii, kwani watalii wanaojua mlima uko kwetu hawana lazima ya kwenda Kenya kabisa, sababu wanaona wanyama pia kando kando ya mlima, na sio mbali na hapo kuna mbuga kubwa mbili, Serengeti na Ngorongoro.

Hii inaonyesha Kenya sio majirani wema, wanajifanya tu kufaidika na masoko yetu ya bidhaa zao, ila kama wangeweza wangeuchukua mlima na kuuweka kwao lol. Lakini hawawezi kufanya hivyo, kwa hiyo wanatumia midomo kuwadanganya wajinga wasiojua nchi yetu na yao. Sie tuna wanyama wengi zaidi wao wanawala na kuua simba, tuna mbuga nyingi zaidi kila pembe ya nchi na kati kuna mbuga kubwa, mbuga nyingine kubwa sawa na nchi za Ulaya, kama Selou na Ruaha.

Lazima tupambane na hili na kuwaumbua wezi wa mlima, hakuna mwizi mbaya zaidi ya wa ardhi hasa kwa mdomo. Tutaimba kuhusu nchi yetu na mlima wetu mpaka Wakenya wajijue na kuacha wizi wao na wivu wao.
 
Mlima Kilimanjaro wanasema wa kwao
Lugha ya Kiswahili wanasema ya kwao

Pamoja na kwamba wana kina Lupita Nyong'o na Victor Wanyama ila bado wanawataka kina Elizabeth Michael na Mbwana Samatta. Hawa majirani zetu nao waroho hawaridhiki tu.
 
Yaan kenya [emoji1139] yote eti mjanja ni uhuru pekee wanaobaki ni pumba kwa akili!
 
Yaan kenya [emoji1139] yote eti mjanja ni uhuru pekee wanaobaki ni pumba kwa akili!
Huu mchezo hautaki hasira jombaa. Hata nchi ya Tanzania ukitaka kuitangaza lazima uingize jina la Kenya kwenye maelezo yako la sivyo utajipata ukichora ramani mchangani. ".....inapakana na Kenya, ...ni nchi jirani na Kenya, ...tupo Afrika Mashariki pamoja na Kenya, ...utasafiri kwa ndege hadi Kenya kwanza, ...ubalozi wenu upo Nairobi, Kenya." [emoji1] Mkianza kujifanya wababe itabidi muanze kulipia huduma hiyo. [emoji23]
 
the best photographs of the mt are shot from the Kenyan side..
huu mlima ni wetu...

The mt is yours but the view is ours...
Ndiyo ujinga mnaoutumia kuwadanganya watalii wanaochukizwa baada ya kufanywa wajinga na kulalamika kwetu, kisha kutangaza kwao nyie ni waongo? Wait for this song coming soon,-


Tumi Natty Lambo
20 hrs ·
Highest peak of Afrika
Mount Kilimanjaro in Tanzania x4

Beautiful mountain
True original Eden
Fulla animals around
True Jah Jah Garden x2

I want to climb climb to the top
Am gonna climb climb to the top
To see my mother land from the top
Of mount Kilimanjaro in Tanzania!

Looking at Giraffes from the top
Looking at lions from the top
Looking at elephants from the top
Of mount Kilimanjaro in Tanzania!

Am gonna dance dance with Masai
Am gonna jump jump with Masai
Getting high high with Masai
Around Kilimanjaro in Tanzania x2

I got fed up with Kenyans lies, claiming mount Kilimanjaro is in Kenya. So I wrote this song to tell the world the truth, because in my research I found out a lot of Americans and Europeans been lied to, so they go to Kenya to climb the mountain and realise too late, or can't afford another trip and visa.
 
Huu mchezo hautaki hasira jombaa. Hata nchi ya Tanzania ukitaka kuitangaza lazima uingize jina la Kenya kwenye maelezo yako la sivyo utajipata ukichora ramani mchangani. ".....inapakana na Kenya, ...ni nchi jirani na Kenya, ...tupo Afrika Mashariki pamoja na Kenya, ...utasafiri kwa ndege hadi Kenya kwanza, ...ubalozi wenu upo Nairobi, Kenya." [emoji1] Mkianza kujifanya wababe itabidi muanze kulipia huduma hiyo. [emoji23]
Wait for this song coming soon,-

Tumi Natty Lambo
20 hrs ·
Highest peak of Afrika
Mount Kilimanjaro in Tanzania x4

Beautiful mountain
True original Eden
Fulla animals around
True Jah Jah Garden x2

I want to climb climb to the top
Am gonna climb climb to the top
To see my mother land from the top
Of mount Kilimanjaro in Tanzania!

Looking at Giraffes from the top
Looking at lions from the top
Looking at elephants from the top
Of mount Kilimanjaro in Tanzania!

Am gonna dance dance with Masai
Am gonna jump jump with Masai
Getting high high with Masai
Around Kilimanjaro in Tanzania x2

I got fed up with Kenyans lies, claiming mount Kilimanjaro is in Kenya. So I wrote this song to tell the world the truth, because in my research I found out a lot of Americans and Europeans been lied to, so they go to Kenya to climb the mountain and realise too late, or can't afford another trip and visa.
 
Hili povu sio la kawaida, aliyewazuia kuutangaza Mlima wetu Kilimanjaro ni nani? [emoji1][emoji1][emoji1]
amboseli-elephants-990x490.jpg
Best view ya Ml. Kili ni kutoka kwa mbuga la wanyama la Amboseli, Kenya. [emoji1139][emoji1139][emoji1139]. Kajitie kitanzi sasa. [emoji40]
Wait for this song coming soon,-
Tumi Natty Lambo
20 hrs ·
Highest peak of Afrika
Mount Kilimanjaro in Tanzania x4

Beautiful mountain
True original Eden
Fulla animals around
True Jah Jah Garden x2

I want to climb climb to the top
Am gonna climb climb to the top
To see my mother land from the top
Of mount Kilimanjaro in Tanzania!

Looking at Giraffes from the top
Looking at lions from the top
Looking at elephants from the top
Of mount Kilimanjaro in Tanzania!

Am gonna dance dance with Masai
Am gonna jump jump with Masai
Getting high high with Masai
Around Kilimanjaro in Tanzania x2

I got fed up with Kenyans lies, claiming mount Kilimanjaro is in Kenya. So I wrote this song to tell the world the truth, because in my research I found out a lot of Americans and Europeans been lied to, so they go to Kenya to climb the mountain and realise too late, or can't afford another trip and visa.
 
Huu mchezo hautaki hasira jombaa. Hata nchi ya Tanzania ukitaka kuitangaza lazima uingize jina la Kenya kwenye maelezo yako la sivyo utajipata ukichora ramani mchangani. ".....inapakana na Kenya, ...ni nchi jirani na Kenya, ...tupo Afrika Mashariki pamoja na Kenya, ...utasafiri kwa ndege hadi Kenya kwanza, ...ubalozi wenu upo Nairobi, Kenya." [emoji1] Mkianza kujifanya wababe itabidi muanze kulipia huduma hiyo. [emoji23]
Kenya ni maarufu kutuzidi Tz, mabepari wanaitangaza vyema, hata uko nje ukisema unatoka East Africa,wanakuuliza Kenya?
 
Hakuna mahala serikali ya Kenya imesema mlm Kilimanjaro upo Kenya. Serikali ya Kenya wanaslogan yao inasema - Ukitaka kuuona mlima Kilimanjaro njoo Kenya. Hawasemi Ukitaka kupanda Kilimanjaro njoo Kenya. Kwahili serikali ya Kenya imetu- oversmart. Watz kwahili tunafeli kila siku kujitangaza.

Ni Wananchi wa Kenya ndio wamejiongeza kwa kuinadi nchi yao hata kufikia kuudanganya ulimwengu na sio serikali yao.
 
Manyang'au ni majizi mno!

Hata corona wanasema ni yao. Wameikumbatia gubigubi ili "isiibiwe" na majirani!

Ukiona jitu linapora mpaka magonjwa sugu ujue sio jitu la kawaida.

Hawakuitwa "nyang'au" kwa bahati mbaya. Ni nyang'au typical.
 
Mlima Kilimanjaro wanasema wa kwao
Lugha ya Kiswahili wanasema ya kwao

Pamoja na kwamba wana kina Lupita Nyong'o na Victor Wanyama ila bado wanawataka kina Elizabeth Michael na Mbwana Samatta. Hawa majirani zetu nao waroho hawaridhiki tu.
Elizabeti Michael ndio chokoraa mgani?
 
Hawa mapato ya utalii tuliwazunguka almost mara mbili mwaka jana hivyo wasikupe shida.

Tuna balozi wetu mzuri Miss.Nyongo alituongelea kuhusu Serengeti. Wakora wakamvaa mtandaoni why anatangaza Serengeti na si maasai mara.

Hawajui kulinganisha Serengeti na wamasai wa mara ni ujinga wa hali ya juu.
Wana wivu sana hawa😄😄
 
Back
Top Bottom