Millitarydoctor
Senior Member
- Sep 20, 2019
- 174
- 127
Elizabeti Michael ndio chokoraa mgani?
[/QUOTE. Mama watoto upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elizabeti Michael ndio chokoraa mgani?
[/QUOTE. Mama watoto upo?
kumbe ni mrembo hivyo(google) ila kenya sidhani ana tambulika vile...Nawe unga tera hapo
Kwan watalii wanataka kuview au kupanda ? Acha akili za kimatope. Ss Mungu na yy alivyo wa ajabu upande wenu kuupanda ni impossible kwa iyo mtaishia kuview ambapo ukiwa moshi mjini una view vizuri kuliko huko umboseli sijui .....Hili povu sio la kawaida, aliyewazuia kuutangaza Mlima wetu Kilimanjaro ni nani? [emoji1][emoji1][emoji1] Best view ya Ml. Kili ni kutoka kwa mbuga la wanyama la Amboseli, Kenya. [emoji1139][emoji1139][emoji1139]. Kajitie kitanzi sasa. [emoji40]
Kama kuview hata Google wangeuona huku wakiwa chumbani kwenye AC ya joto au baridKwan watalii wanataka kuview au kupanda ? Acha akili za kimatope. Ss Mungu na yy alivyo wa ajabu upande wenu kuupanda ni impossible kwa iyo mtaishia kuview ambapo ukiwa moshi mjini una view vizuri kuliko huko umboseli sijui .....
Hakuna mtanzania mwenye kiswahili kibovu kama chakoMimi ni mtanzania ika huu mlima si upo pande zote Kenya na tz hebu wajuzi mtujuze povu si ruhusa nataka kujua
Mbona bibi yako nilipomuunganisha na babu yako awe mchumba wake alikuwa nà kiswahili chafu zaidi ya hiiHakuna mtanzania mwenye kiswahili kibovu kama chako
Wewe umechanganya na ziwa victoriaMimi ni mtanzania ika huu mlima si upo pande zote Kenya na tz hebu wajuzi mtujuze povu si ruhusa nataka kujua
Watalii was kuupanda mlima hawana hela ama Kuna mahoteli na sehemu za burudani kuke kileleni?Kwan watalii wanataka kuview au kupanda ? Acha akili za kimatope. Ss Mungu na yy alivyo wa ajabu upande wenu kuupanda ni impossible kwa iyo mtaishia kuview ambapo ukiwa moshi mjini una view vizuri kuliko huko umboseli sijui .....
We ni raia wa nchi gani ?Watalii was kuupanda mlima hawana hela ama Kuna mahoteli na sehemu za burudani kuke kileleni?