Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

Hili povu sio la kawaida, aliyewazuia kuutangaza Mlima wetu Kilimanjaro ni nani? [emoji1][emoji1][emoji1] Best view ya Ml. Kili ni kutoka kwa mbuga la wanyama la Amboseli, Kenya. [emoji1139][emoji1139][emoji1139]. Kajitie kitanzi sasa. [emoji40]
Kwan watalii wanataka kuview au kupanda ? Acha akili za kimatope. Ss Mungu na yy alivyo wa ajabu upande wenu kuupanda ni impossible kwa iyo mtaishia kuview ambapo ukiwa moshi mjini una view vizuri kuliko huko umboseli sijui .....
 
Kwan watalii wanataka kuview au kupanda ? Acha akili za kimatope. Ss Mungu na yy alivyo wa ajabu upande wenu kuupanda ni impossible kwa iyo mtaishia kuview ambapo ukiwa moshi mjini una view vizuri kuliko huko umboseli sijui .....
Kama kuview hata Google wangeuona huku wakiwa chumbani kwenye AC ya joto au barid
 
Mimi ni mtanzania ika huu mlima si upo pande zote Kenya na tz hebu wajuzi mtujuze povu si ruhusa nataka kujua
 
Mimi ni mtanzania ika huu mlima si upo pande zote Kenya na tz hebu wajuzi mtujuze povu si ruhusa nataka kujua
 
😂😂😂
Nilichekaga Sana eti na masogange alikuwa wao..r.i.p
Tusubiri muda usonge waje waseme na billionea laizer ni wao
 
Leo Lupita anaitangaza Serengeti yupo njiani kupewa award
Wizard ya Maliasili kimyaaaaa
Hollywoodoooh wao bado wanadanganywa Serengeti ni mali ya Kenya
**Wizara husika lifanyieni kazi hili
Flaviana Matata yupo huko kwao kwa nini asiitangaze Serengeti na Kilimanjaro yetu
 
Kwan watalii wanataka kuview au kupanda ? Acha akili za kimatope. Ss Mungu na yy alivyo wa ajabu upande wenu kuupanda ni impossible kwa iyo mtaishia kuview ambapo ukiwa moshi mjini una view vizuri kuliko huko umboseli sijui .....
Watalii was kuupanda mlima hawana hela ama Kuna mahoteli na sehemu za burudani kuke kileleni?
 
Back
Top Bottom