Kenya acha wizi wa mlima Kilimanjaro, tumeamua kukuumbua

Umejicheka mwenyewe kwa ujinga wao wa kutojua majungu ni nini, lakini Kiswahili ni lugha ya pili kwenu na mmejifunza toka miaka ya 70 mwishoni, wakati siye toka enzi za mwarabu mlio wapinga, miaka elfu iliyopita lol.
Sie wa Amu na wamvita tuwe kundi gani?
 
Pumbavu kweli,site wa Amu na wamvita tuwe kundi gani ?
Ha ha ha ha ha wehu wasio na akili wanasema Kilimanjaro upo Kenya. Naona unajichukia mwenyewe sasa kwa wizi wa mlima, pure mental case.
 
Most tourists prefer to watch animals with the backdrop being the mountain in this case Amboseli national park, the tourists who view the mountain are more than the ones who climb it definitely.

 
sikiza hapa kaka, wacha povu


JOHNNY GACHANJA

@JohnnyGachanja

·
18h

Mt Kilimanjaro is in Kenya and not Tanzania even the world know but Tanzanians will argue with me.
 
sikiza hapa kaka, wacha povu
JOHNNY GACHANJA
@JohnnyGachanja

·
18h

Mt Kilimanjaro is in Kenya and not Tanzania even the world know but Tanzanians will argue with me.
Inadhihirisha wewe na wakenya wote wanaosema hivyo ni wehu, nimeona video hiyo ndiyo maana nikashea hii post. Sina haja ya kubishana na wehu wasiojua nchi yao, tutapambana na viongozi wenu.
 
nguo ya kuazima haisitili matako[emoji16][emoji16].

tunachukua sasa kaptula yetu.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Dawa yao ndogo tukipania kuvuruga wiki moja tu tunatangaza wiki hii ni wiki ya kukomesha uongo wa Kenya ulimwenguni kwenye mitandao yote kuanzia YouTube,fb , Twitter, Instagram, JF kote tunachafua mbona simple tu dunia inajua.
 
Itabidi mumozea braza😂😂
 
Hili povu sio la kawaida, aliyewazuia kuutangaza Mlima wetu Kilimanjaro ni nani? [emoji1][emoji1][emoji1] Best view ya Ml. Kili ni kutoka kwa mbuga la wanyama la Amboseli, Kenya. [emoji1139][emoji1139][emoji1139]. Kajitie kitanzi sasa. [emoji40]
Ona ili jinga
😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…