Kenya acheni Ujinga, Kenya ni third World Country!

kama unatafuta kujibizana basi endelea na wengine, those that fit that profile.


Sasa kumbe hapa JF kuna nini kama siyo kujibizana? Au hauelewi maana ya kujibizana? Unajiona umefiiika mwenyewe!!!
 
Mleta mada wacha kufikiria kwa kutumia makalio, hiyo yako ni definition ya demokrasia kwa kamusi ya CCM.
 
Wanatandikwa Masasi kama nyumbu. Niliwaelewa vibaya hawa jamaa kuwa ni watu waliotutangulia kwa mengi kumbe sinema tupu, wamegeuka nyumbu wanaohama, wanatujazia Nchi yetu kwa sababu za Uchu wa madaraka ya mtu mmoja.
 
please answer the damn question!
which question is that? About transparency? So why don't you familiarise yourself how the transparent that system is. Do you even know who they count there ballots? It is total different from counting ballets paper. And YES it is so transparent even a child can do it, why don't you google it, google is there for literate people to read.
 
Kutibiwa kwenye Nairobi Whiteman's Only Hospital, hawaamini Hospitali zinaoendeshwa na Waafrika, ni sawa na Raila Odinga kukimbilia kushitaki kwa Muzungu london badala ya kukaa Kenya kutatua matatizo!
Kondoo mtu..
 
which question is that? About transparency?
face palm!!!
Do you even know who they count there ballots? It is total different from counting ballets paper.
counting goats, marbles, papers, cars, you name it.... is still counting. surely how different can counting marbles be from ballot papers that would make counting marbles more transparent? are marbles counted in pairs? on tree tops? inside bunkers? please break it down for me!!
And YES it is so transparent even a child can do it,
being simple such that a child can do it does not make it transparent my friend!!.
You seem to be that guy that advocates for ignorance coz you flourish in it!!
 
I thought literacy was high there, you couldn't even find how Gambian system work? FYI there not counting marbles, google it you'll know.

BTW, I still emphasize that Africa need it's own truth worthy political and election system, rather than the one made elsewhere.
 
Wewe umekuwa wazimu kwa muda mrefu sana
 
Ngoja nikuulize, ulishasikia Watalii wameahirisha kwenda USA kwa sababu ya Maandamano? Sasa Kenya tayari nchi zinatoa travel warning kwa raia wao kwa sababu ya Maandamano, sasa nani atafidia hiyo hasara ya Kiuchumi?
Cha msingi tunataka kufika ata USA ya leo usidhani waliamka kwa siku moja ikawa USA ukiangalia tangu enzi za kina washington kumewai tokea mambo ya maandamano yasio ya amani na yakasababisha madhara mbalimbali lakn leo hii wapo wapii.....hatuwezi tukawa tunategemea demokrasia ijilete tu eti kwakuogopa watalii sijui mara nn, hapo ndo kufungulia maviongozi wapenda madaraka kibao kama akina museveni na magufuli,....we have to rise first
 
Wakafanye maandamo nje ya mji au Mashambani huko hata miaka Jion raila anawapa chakula sio mjini kuzuia shughuli za watu,kama waliona wangeshinda wamwambie bosi wake ashiriki uchaguzi aache uoga, kaona hawezi shinda kakacha uchaguzi kukwepa aibu,wakenya hawataki udikteta Sera zake zimemponza nani anataka kushindia miwa.
 
Hacha mawazo mgando wewe km ya babako mzee upaa, Hakuna maendeleo pasi na demokrasia kokote, hiyo ndo gharama ya democracy, km hutaki kalia wembe
 
Mr man Barbarosa au sijui vile unataka uitwe, you are a very LOW IQ and thick individual. Kondoo mtu
Kila siku namwambia huyu jamaa ni mtanzania mwenzangu lakini IQ yake iko below sea level!
Ila sio mbaya ndivyo miCCM yote ilivyo wengi hawana akili na wale wenye nazo wanaweka njaa zao mbele!
Barbarosa you need to change my friend!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Wivu unawamaliza watu wengi tokea Kusini. Nchi yetu yazidi kupaa each and every day, wenye wivu watazidi kuumia kwa kutafuta habari mbaya za kudunisha na kuthalilisha Taifa letu Tukufu(East and Central Africa's largest Economy and also among the largest in the continent economicaly). Anyway people are bound to have panick attacks whenever they feel Kenya is not going down as they hopefully wish.
 
Niulize swali la kijinga kutokana na ujinga nilio nao. Kama utawala ni wa haki na usawa kutakuwa na maandamano? Ya nini? Tufike mahali tujitambue. Kama watu hawaridhiki na utawala wako kwa nini wasikuonyeshe kutokuridhika kwao? Unachoogopa nini mpk uwapige ma bomu?
 
Kila siku namwambia huyu jamaa ni mtanzania mwenzangu lakini IQ yake iko below sea level!
Ila sio mbaya ndivyo miCCM yote ilivyo wengi hawana akili na wale wenye nazo wanaweka njaa zao mbele!
Barbarosa you need to change my friend!
Wanaume wengi wanaoishabikia chama kile cha lumumba siyo ridhiki mkuu....
 
Tusiminye demokrasia kwa kisingizio cha maendelo, kujenga maendeleo na kusema tutaleta demokrasia baadaye ni sawa na kukimbilia kuezeka nyumba huku umefukia mabomu kwenye msingi, iko siku yatalipuka tu na kubomoa hata kile kidogo ulichoezeka juu.

Demokrasia ya kweli ilete maendeleo ya kweli, maana huo ndio mfumo wa kutuongoza tuliouchagua, kama demokrasia imetushinda basi tuunde ama tufuate mfumo mwingine wa utawala, sio kudanganya wananchi eti tuna demokrasia ya ukweli halafu wakati huo huo tunaifunga minyororo hiyo demokrasia na kuipa mipaka inayowanufaisha watawala.
 
Hacha mawazo mgando wewe km ya babako mzee upaa, Hakuna maendeleo pasi na demokrasia kokote, hiyo ndo gharama ya democracy, km hutaki kalia wembe


Mbona Uchina hakuna maandamano wala Uchaguzi kuna Chama kimoja tu lkn imetoka nchi masikini kama Tanzania miaka ya 60’ na Kuwa kufikia Uchumi wa USA leo hii, mfano mwingine Singapore haina Demokrasia ya Muzungu hkn maandamano wala hata magazeti ya Kizungu na media marufuku, lkn imetoka nchi masikini kama TZ miaka ya 60’ na leo hii ni tajiri klk Western Europe, sasa wamewezaje kama demokrasia ya Muzungu ndiyo maendeleo?
 


Lkn unasahau jambo moja muhimu, USA siyo Kenya, wale ni Wazungu ktk Western Europe wkt Wakenya ni Waafrika Kusini mwa Sahara hivyo ni watu wawili tofauti huwezi kulinganisha maana yake ni kwamba kinachofanikiwa kwao hakiwezi kufanikiwa Kenya au TZ!

Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini Wamarekani weusi ambao wamezaliwa na kukulia USA lkn wako tofauti na Wamarekani Wazungu kwenye karibia kila kitu, mpaka hata kiutamaduni kuna black culture USA, hata lugha ni tofauti kuna black English, chakula ni tofauti, way of life ni tofauti, sasa ni kwa nini? Kama Black America imeshindwa kuwa white america na wanaishi ndani ya white Amerika culture kwa miaka zaidi ya 300, ije kuwa Wakenya wanaoishi sub Saharan Afrika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…