LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Si whites man hospital, it is a rich mans hospital thoKutibiwa kwenye Nairobi Whiteman's Only Hospital, hawaamini Hospitali zinaoendeshwa na Waafrika, ni sawa na Raila Odinga kukimbilia kushitaki kwa Muzungu london badala ya kukaa Kenya kutatua matatizo!
Niulize swali la kijinga kutokana na ujinga nilio nao. Kama utawala ni wa haki na usawa kutakuwa na maandamano? Ya nini? Tufike mahali tujitambue. Kama watu hawaridhiki na utawala wako kwa nini wasikuonyeshe kutokuridhika kwao? Unachoogopa nini mpk uwapige ma bomu?
Sijui uhusiano wakona yeye labda unielezee.Nikuambie Mimi Mwanafamilia wa Lissu!!
That was then, this is now. Ata many schools in Nairobi were white only schools. Ata estates, but we are a free country and anyone of any race can visit those facilities and get the services wanataka.Ni Muzungus Hospital, ilijengwa na Muzungu for Muzungu, Waafrika wameanza kuruhusiwa kutibiwa hapo baada ya Uhuru wa Kenya lkn ilijengwa kwa ajili ya kutibu white men!
Tusiminye demokrasia kwa kisingizio cha maendelo, kujenga maendeleo na kusema tutaleta demokrasia baadaye ni sawa na kukimbilia kuezeka nyumba huku umefukia mabomu kwenye msingi, iko siku yatalipuka tu na kubomoa hata kile kidogo ulichoezeka juu.
Demokrasia ya kweli ilete maendeleo ya kweli, maana huo ndio mfumo wa kutuongoza tuliouchagua, kama demokrasia imetushinda basi tuunde ama tufuate mfumo mwingine wa utawala, sio kudanganya wananchi eti tuna demokrasia ya ukweli halafu wakati huo huo tunaifunga minyororo hiyo demokrasia na kuipa mipaka inayowanufaisha watawala.
That was then, this is now. Ata many schools in Nairobi were white only schools. Ata estates, but we are a free country and anyone of any race can visit those facilities and get the services wanataka.
Mijitu ya ccm haikuwahi kuwaza vyema...situkani leo!Kenya acheni huu ujinga wa kujilinganisha na USA, Kenya ni poor third World Country wakati USA ni rich first World Country, hivyo kama USA wanaruhusu maandamano ni kwamba wanaweza kumudu lkn Kenya haiwezi kumudu huu ujinga!
Amkeni mnaingia shimoni, nchi haijengwi kwa chaos hata siku moja eti
,,we have the right to demonstrateβ hayo ni mambo ya Kizungu bhana hii ni third World watu wako Kibera hawajakula tangu jana hlf unawafungulia kuingia shopping center ukitegemea waandamane kwa Amani na kurudi nyumbani kwa Amani?
Msichukuwe kila kitu cha Muzungu 1-1, kuna vya kuiga kama Elimu yao, work ethics, monogamy, n.k. lkn siyo ujinga wao wa sijui ,,black life mattersβ wanaweza kumudu chaos, Afrika is too poor for that, ...
As someone said kwa hii thread hapo juu, intelligence yako ni wanting. After 1963 Kenya walijenga more facilities else we would be a shite country. And I dont know why you sound so racistKwa nini hamkujenga zenu?
Ana ubongo wa kitumwa huyu punda. Typical product from one of those 3306 industriesHiyo ndo imebaki akilini mwako tu? I can see how poor minded you are, kama demokrasia hatuiwez ni kwanini tuliamua kuwa nayo.
Yaelekea u tayari hata kubakwa na ukae kimya sababu ukipiga kelele watalii hawaji.Ngoja nikuulize, ulishasikia Watalii wameahirisha kwenda USA kwa sababu ya Maandamano? Sasa Kenya tayari nchi zinatoa travel warning kwa raia wao kwa sababu ya Maandamano, sasa nani atafidia hiyo hasara ya Kiuchumi?
As someone said kwa hii thread hapo juu, intelligence yako ni wanting. After 1963 Kenya walijenga more facilities else we would be a shite country. And I dont know why you sound so racist
Yaelekea u tayari hata kubakwa na ukae kimya sababu ukipiga kelele watalii hawaji.
Kwani Uhuru Kenyata ni mzungu? I am sure Kenya was not stagnant before Uhuru. You are just a very unintelligent person who knows how to use social media. And stop being racistNitajie hizo facilities ilizojenga Kenya baada ya Uhuru ukiondoa kazi ya Raisi Uhuru Kenya kwenye infrastructures!
Kwa nini una hofu sana ya mabadiliko Mr Kujambajamba?Ni rahisi kusema hivyo ukiwa umeshiba na kujamba jamba siku nzima, muulize Mwananchi anayetegemea wageni waje ili aweze kupata kipato na kuishi!
Kuna wakenya wanashindia miwa?? Kama ni kweli maandamano ktk supermarket hayataishaWakafanye maandamo nje ya mji au Mashambani huko hata miaka Jion raila anawapa chakula sio mjini kuzuia shughuli za watu,kama waliona wangeshinda wamwambie bosi wake ashiriki uchaguzi aache uoga, kaona hawezi shinda kakacha uchaguzi kukwepa aibu,wakenya hawataki udikteta Sera zake zimemponza nani anataka kushindia miwa.
Kama mtanzania nataka amani itawale sana Kenya. Sisi ndo first respondents kwa vurugu zikitokea Kenya. Pia kuweni makini sana na wanasiasa kama Rails na Ruto ambao mara nyingi wataka raia wawe madaraja ya kutimiza ndoto zao. Binafsi sijaona sbbu ya Raila kujitoa angefile case kwanza juu ya makamishna wa tume. Na mahakama yenu ingempa haki yake. Lakini kujitoa kbsa na anajua wazi Kenya haina umoja wa kitaifa kama Tz kupita ktk kipindi kama hicho inatosha kumuona hafai.ππππ Wivu unawamaliza watu wengi tokea Kusini. Nchi yetu yazidi kupaa each and every day, wenye wivu watazidi kuumia kwa kutafuta habari mbaya za kudunisha na kuthalilisha Taifa letu Tukufu(East and Central Africa's largest Economy and also among the largest in the continent economicaly). Anyway people are bound to have panick attacks whenever they feel Kenya is not going down as they hopefully wish.
Kwani Uhuru Kenyata ni mzungu? I am sure Kenya was not stagnant before Uhuru. You are just a very unintelligent person who knows how to use social media. And stop being racist
Kwanini mnadhani kufika walikofika USA na kwa njia walizopitia kutaifaa Kenya na mazingira yake yaliyo tofauti kijiografia, kitamaduni, kijamii, kiuchumi nk?Cha msingi tunataka kufika ata USA ya leo usidhani waliamka kwa siku moja ikawa USA ukiangalia tangu enzi za kina washington kumewai tokea mambo ya maandamano yasio ya amani na yakasababisha madhara mbalimbali lakn leo hii wapo wapii.....hatuwezi tukawa tunategemea demokrasia ijilete tu eti kwakuogopa watalii sijui mara nn, hapo ndo kufungulia maviongozi wapenda madaraka kibao kama akina museveni na magufuli,....we have to rise first