Kenya – Africa’s infrastructure powerhouse

Kenya – Africa’s infrastructure powerhouse

Acha ujinga kama hujafika Durban wala cape town, ukifika hutofananisha hizo slums zenu na miji kama ile, nakueleza sababu Nairobi naijua na hiyo miji ya SA naijua achana na picha maana hazielezi yote. halafu sijui nani huwa anawadanganya nakumbuka hata kipindi nakaa hapa kahawa wendani kuna jamaa mmoja aliwahi sema Nairobi nikubwa kuliko Durban nilicheka sana sasa na wewe unarudia kama mnazungumzia ukubwa wa kibera hapo sawa.

Sorry to tell u that I do not believe that u've been to SA. Mimi pia sijawahi kufika huko,, lakini just from thr pics and the info I have gathered, Nairobi ni jiji kubwa inayotoshana au kuzidi kwa miundo mbinu, kiuchumi na idadi ya watu kama tu hizo miji mitatu mikuu ya SA kama Durban, Pretoria ama Capetown.

SA inashinda Kenya juu ina miji mingi kama Nairobi, lakini ni makosa kusema ati Nairobi ni mtoto kwa hizo miji zote. Mnatilia chumvi hali ya kimaendeleo SA.

C. Town

9598263-aerial-view-of-city-of-Cape-Town-as-seen-from-table-mountain-with-table-bay-and-harbor-Stock-Photo.jpg


Nairobi

84017922.jpg



Sitaki kuwa mnafiki mie Ni mtanzania huwa nacheka tu ninapoona vijana wa kitanzania mkibishana, Nairobi ni mji mkubwa kwa Africa mashariki kwa sasa imeizidi dar kwa miundo mbinu mpango miji na hata idadi ya watu, ila dar Ni mji unaokuja kwa kasi sana kwani idadi ya ghorofa kuanzia 15 kwenda juu dar imeizidi Nairobi na hata jengo refu kwa sasa EA liko dar. Ubishi mwingine hauna tija tuwe wakweli


Halafu ni uongo ya kuwa Dar ina majengo mengi 15+ kushinda Nairobi.
NairobiWalker alidhibitisha vyema ya kuwa Nai ina majengo mengi zenye urefu wa zaidi +100m kushinda Dar, lakini Dar ndio iko na jengo refu zaidi kanda hii kwa sasa.
 
Enda ukalambe t-time haga
naona unawashwa sana huko nyuma.acha msouth aje akukune labda itasaidia kupunguza hasira zako.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
there was a fool who posted this ,indirectly comparing it to my cities
View attachment 536085

ohk i will compare it to this here lol
View attachment 536091View attachment 536092
View attachment 536094

thats durban . south africas playground
 
naona unawashwa sana huko nyuma.acha msouth aje akukune labda itasaidia kupunguza hasira zako.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kwani unategemea msouth wewe huwezani na hii vita?...we ni mwanaume aina gani...kwanza nataka uyo msee athibitishe yeye ni msouth A
 
Sorry to tell u that I do not believe that u've been to SA. Mimi pia sijawahi kufika huko,, lakini just from thr pics and the info I have gathered, Nairobi ni jiji kubwa inayotoshana au kuzidi kwa miundo mbinu, kiuchumi na idadi ya watu kama tu hizo miji mitatu mikuu ya SA kama Durban, Pretoria ama Capetown.

SA inashinda Kenya juu ina miji mingi kama Nairobi, lakini ni makosa kusema ati Nairobi ni mtoto kwa hizo miji zote. Mnatilia chumvi hali ya kimaendeleo SA.

C. Town

9598263-aerial-view-of-city-of-Cape-Town-as-seen-from-table-mountain-with-table-bay-and-harbor-Stock-Photo.jpg


Nairobi

84017922.jpg






Halafu ni uongo ya kuwa Dar ina majengo mengi 15+ kushinda Nairobi.
NairobiWalker alidhibitisha vyema ya kuwa Nai ina majengo mengi zenye urefu wa zaidi +100m kushinda Dar, lakini Dar ndio iko na jengo refu zaidi kanda hii kwa sasa.
Ila kwenye hiyo picha Capetown pamekaa vizuri aisee tusiwe wanafiki [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Kwani unategemea msouth wewe huwezani na hii vita?
kumbe mpo vitani?...vita hamuwezi.kabla hamjatafuta vita na SA,malizaneni kwanza na wakora wa alshabab.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
053e7303549072b51d86ff82bcd355cf.jpg
 
sod off with your pathetic pictures. we got it all in Nairobi and still going for more. you can only scare the tanzanians who have never seen a major highway or a flyover. take a hike dom-kop
you sound so jealous and frustrated....stay away from this thread if you can't control your anger after you see photos from t time.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mchezo umeshaisha kudadek Au bado mnavimba?
 
Back
Top Bottom