kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
One thigh you tried so hard to hide from your comment is that, KQ has dropped 6 places in space of 12 month.
Tuma evidences za hizo miaka zingine mzae....alafu utuonyeshe ATCLKutokana na mtandao SKYTRAX unaotoa viwango vya mashirika ya ndege 100 duniani, inaonekana Kenya Airways imejikuta katika wakati ngumu mwaka 2017 kwa kuporomoka nafasi 6 chini kutoka 85 mpaka 91.
2014 84/100
2015 86/100
2016 85/100
2017 91/100
Huu ni mtandao huru na hauna ushirikiano wowote na mashirika ya ndege. Habari kamili zama kwenye kiunganishi hapa chini.
The World's Top 100 Airlines in 2017
2 Kenyan airlines Fly540 and Jambo jet well representedFastjet wamekwapua na wao kwa Afrika
View attachment 796584
The World's Best Low-Cost Airlines | 2017
Fastjet niya south Africa ngombe hiiFastjet imetubeba in Africa.
Ati? South Africa? OK wengine watanisaidia.
South Africa are struggling too with bail out, wakati mkiweka midomo juu kusema KQ is in good position the real position it has been holding here for the past 10 year is tail position.And South African has dropped 8 places. Your point?
When ATCL and their 2 bombardier and flight to Mumbai are included on any list, you can start a thread.
Nimegundua wakenya wakikosa majibu kwa watanzania wanakimbia hoja ya ujamaa. Ujamaa bado upo Tanzania na hautaodoka leo wala kesho. Its in our DNA. Tunajali watu wa aina zote sio wenye kipato tu.ATCL namba moja kutoka nyuma, oops hata haijatajwa, haifamiki, haijuikani, haijawahi kusikika, haina uhai wala pumzi......kwenye nchi inayo ongoza kwa vivutio vya utalii, yaani hamna laana mbaya kama ya uzembe na uvivu... ujamaa uliwalemaza kwa kweli, aliyewapa huo mfumo kawakosea hadi kuzimu.
And were is fastjet primary business center. Mpunguze hizi akili za kuazima.
South Africa are struggling too with bail out, wakati mkiweka midomo juu kusema KQ is in good position the real position it has been holding here for the past 10 year is tail position.
Nimegundua wakenya wakikosa majibu kwa watanzania wanakimbia hoja ya ujamaa. Ujamaa bado upo Tanzania na hautaodoka leo wala kesho. Its in our DNA. Tunajali watu wa aina zote sio wenye kipato tu.
Unasoma vya kusoma tuu bila kujuwa historia, after business structuring they open head office in South Africa to oversee African businesses. When they came to Africa at first, their base was in Tanzania even Tanzania went into trade dispute with Kenya for refusing landing rights from TZ to KE. Even today most of there assets are still based in Tanzania.Fastjet headquarters is in Johannesburg. Enough said.
It has operations in several African countries, including Tanzania.
What you are doing is equivalent to Kenyans saying they own Emirates because it has operations in Nairobi.
Lower Middle Income is far apart with Middle Income. Kenya yuko G7 amepeleka bakuli la misaada watch and see.
Unasoma vya kusoma tuu bila kujuwa historia, after business structuring they open head office in South Africa to oversee African businesses. When they came to Africa at first, their base was in Tanzania even Tanzania went into trade dispute with Kenya for refusing landing rights from TZ to KE. Even today most of there assets are still based in Tanzania.
Mbona vinakuja, change of government and were still rocking 7% growth?Anayepata ni yule aliyeitisha.
Supreme Leader wenu anadhani ataletewa hadi nyumbani.