Kenya: Ajali ya Basi linalomilikiwa na kampuni ya Western Express yaua watu 50

Kenya: Ajali ya Basi linalomilikiwa na kampuni ya Western Express yaua watu 50

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Watu wasiopungua 40 wanaripotiwa kufariki kwenye ajali ya mapema leo kwenye barabara kuu ya Kisumu Muhoroni baada ya Basi linalomilikiwa na kampuni ya Western Express kupoteza mwelekeo na kubingirika mara kadhaa

majeruhi wanaendelea kupokea matibabu katika hospitali ya Muhoroni.

AJALI: ZAIDI YA WATU 40 WAFARIKI DUNIA BAADA YA BASI KUPINDUKA
-
Ajali hiyo imetokea leo Oktoba 10 mapema asubuhi kwenye barabara kuu ya Kisumu-Muhoroni katika eneo la Fort Tenan huko Kericho nchini Kenya
-
Kamanda wa Polisi wa Fort Tenan, OCS Charles Ocharo amesema basi hilo lilikuwa likielekea Kisumu kutokea Nairobi wakati lilipotoka nje ya barabara na kisha kubiringika mara kadhaa
-
Idadi ya majeruhi bado haijajulikana huku chanzo cha ajali hiyo pia hakijajulikana

=====

UPDATES

Idadi ya waliopoteza maisha yaongezeka. Wanaume 31,wanawake 12 na watoto 7,wamepoteza maisha kwenye ajali hii

======

NAIROBI, Kenya, Oct 10 – A dawn accident has claimed more than 40 lives along Londiani-Muhoroni road, within Kericho County.

The accident involved a Western Express bus that was travelling from Nairobi to Kakamega.

According to police, the bus had 52 passengers.

Rift Valley Provincial Traffic Officer Zero Arome says no other vehicle was involved in the accident.

Those who sustained injuries are undergoing treatment in Muhoroni hospital.

UPDATES

According to Kericho County Police Commander James Mogera, the deceased include 31 men, 12 women and seven children.
ajali.jpg
ajali1.jpg

kenya1.jpg


======
fsddssdfgfdsa.PNG

Rais Magufuli kupitia ukurasa wake rasmi wa mtandao wa Twitter amewapa pole raia wote wa Kenya kufuatia ajali ya basi iliotokea mapema leo huko Fort Ternan - Kaunti ya Kericho

> Idadi ya vifo katika ajali hiyo imefikia 55. Basi hilo lilibeba abiria 67
 
Poleni huko muhoroni


Muhoroni is a town in Kisumu County, Kenya. Muhoroni hosts a town council. It has an urban population of 13,664 and a total population of 31,148 (1999 census [1][permanent dead link]). Muhoroni has a railway station along the Nairobi-Kisumu Railway. The town is located 50 kilometres east of Kisumu, the county capital. Chemelil, a smaller town, is located 10 kilometres west of Muhoroni.[1]
Contents
Township[edit]
The Muhoroni town council has five wards: Fort Ternan God Nyithindo, Koru, Muhoroni Town, and Owaga.[2]
Muhoroni is home to Muhoroni Sugar Mill and Agro-Chemical & food Company Limited among others. The latter also owns Agro-Chemical while the former is the principle sponser to th now relegated Muhoroni Youth football Club both of which have had a stint at th top flight level Kenyan Premier League.
Geography
 
  • Thanks
Reactions: Ntu
May their soul transcend into other wombs!
 
KWA HILI TUNAUNGANA MAANA KUPOTEZA ROHO ZA WATU SIO JAMBO LA KUSHABIKIA HATA KAMA UNAAKILI ANGALAU KAMA MBEGU YA MCHICHA
 
Huku kwetu kulipa fadhila si jambo la msingi. Tuko busy tunajenga Viwonder [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa ngoja tuliwashe li Dreamliner letu lipeleke Taifa Stars Cape Verde... ushakata tiketi au nikukatie?
 
Ajali hiyo imetokea leo Oktoba 10 mapema asubuhi kwenye barabara kuu ya Kisumu-Muhoroni katika eneo la Fort Tenan huko Kericho nchini Kenya

Kamanda wa Polisi wa Fort Tenan, OCS Charles Ocharo amesema basi hilo lilikuwa likielekea Kisumu kutokea Nairobi wakati lilipotoka nje ya barabara na kisha kubiringika mara kadhaa

Idadi ya majeruhi bado haijajulikana huku chanzo cha ajali hiyo pia hakijajulikana

======
At least 40 passengers died on Wednesday morning after a bus they were travelling in was involved in a grisly road accident on the Kisumu-Muhoroni highway at Fort Tenan area in Kericho.

Fort Tenan Police Station OCS Charles Ocharo says the bus was heading to kisumu from Nairobi when it veered off a fly over, rolling several times.

The cause of the accident is still unclear, even as rescue efforts continue.

Source: Citizens
 
Back
Top Bottom