Kenya and Tanzania in group C

Haha jamaa unafikir kutembea uchi mchezo eeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe wakweli wakenya wenzangu, Tanzania wana chance kubwa zaidi yetu. Maanake wana mtaalamu wao aliyebobea kweli kweli kwenye masuala kama haya. 😀😀😀
 
hahaaaa!!!hyo jamaa akijikakamua atawapitisha...
 
Haha jamaa unafikir kutembea uchi mchezo eeh

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hatutaishinda Senegal wala Algeria hata tuige dua mara ngapi, mimi na shabikia nchi yangu lakini ukiniambia ni bet, nita bet Senegal ndo ataongoza hio group, Sisi kenya na TZ tutapigania best looser!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…