Kenya Army VS Tanzania Army

You are so pathetic to blame me for your misfortunes,
It was KDF officials bribed 500ksh by Al shabaab to smuggle charcoal all the way to Kismayo,
This is a reason Al Shabaab are now roaming freely controlling 50% of Mandera county, collecting taxes. They also have training camps in kenya, they enter kenya and exit as they wish. Poor Kenyans [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1756077
 
Gari moja limewashinda kwa siku 10. Je, mtaweza kuokoa troops zenu kwa uwanja wa vita? Ndiyo maana hata Alshabab mmeshindwa kuwadhibiti..
Hata ISIS na Alqaeda bado wako Iraq na Afghanistan. Majeshi yenye ubora wa juu, mengi sana yamepitia nchi hizo. Je, hivyo vikundi, vimeisha?
 
Hii si ni list ya blog kijana, sio UN wala UA, wametegeza hio list. That's an article like many others! 🤣 🤣 🤣
 
Al-Shabab hawazidi 50 lakini wanawachokonoa wanavyotaka kila siku pm1 na kujisifu kote huko
 
Mwaka 2013 rais piere nkurunzinza alikuja kumtembelea kikwete. Alipofika Tanzania taarifa ikatolewa kuwa kapinduliwa.
Amiri Jeshi mkuu Kikwete wakati huo akatoa press conference. Unajua kilichotokea ilienda convoy ya usalama 200. The rest is history
 
hiyo ni collabo au migambo inafundishwa, huoni kenya drinking force na askari mmoja? unadhani ni nani anafundishwa hapo? MIGAMBO YA KDF INAFUNDISHWA NAMNA YA KULINDA MASILAHI YA WANAUME! wajinga ndiyo waliwao
Mmesahau waume wenyu tena ;Cuba na Urusi? 😂 😂 😂 Ama huwa nyinyi hamu attend exercises? 😂
 
Hivi vijamaa vingekuwa bora vingelindwa na wamarekani, jaribuni muone mtiti sisi sio Al shabab tutapiga mpate sababu ya kuomba ukimbizi ulaya
 
Hivi vijamaa vingekuwa bora vingelindwa na wamarekani, jaribuni muone mtiti sisi sio Al shabab tutapiga mpate sababu ya kuomba ukimbizi ulaya
Unajua Kenya Hakuna Inchi imewai jitolea kuweka live war nayo,Wanakuanga tu na Propaganda and throwing Tuntrums Just like Somalia we started preparing for war,Wao kuona hivo wakaita mabeberu wazuie wasifyekwe🔥🔥Sasa Nyinyi TZ mnadhani mtatuweza🇰🇪😎
 
Kenya haina resources za maana kama Tanzania.hamna ardhi kubwa yenye rutuba,hamna ardhi ambayo kila sehemu kuna madini. Kwa hiyo watu hawana sababu ya kuwavamia.
 
Bro tukiamua Tu asubuhi tunakunywa chai ikulu ya Kenya alafu tunawawekea Rais.uliza Vizuri kuhusu Tanzania .we are humble but strong.
 
KDF kiboko isay. Wanaweza kuiteka Somalia kwa siku mbili tu. Sio kama Tanzania, awana chochote sio kama KDF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…