Kenya Army VS Tanzania Army

Kuna Alshaabab Mtwara? 😂 😂 😂 Wavuta bhagi wale!
 
Mngetuzima sisi tulipo chukua Kilimanjaro
 
Bila Kunya's master Muingereza kuwasaidia Shifta war mlikuwa mpoteze the northern territory!
 
Ilikuwa mpakani walivamia Kwa kushtukiza lakini uliza kilichowakuta baada ya hapo.hawatamani kurudi tena.alshabab wanawaua wakenya kila siku.mnajeshi ovyo Sana.
Watu waliingia tz na kuuwa watu alafu waksepa[emoji23][emoji23]
Jeshi lebu bora likikua wapi, eti uliza na wakati majamaa bado wanajilia ugali wao wa kila siku
 
Watu waliingia tz na kuuwa watu alafu waksepa[emoji23][emoji23]
Jeshi lebu bora likikua wapi, eti uliza na wakati majamaa bado wanajilia ugali wao wa kila siku
Mbona hawarudi sasa walishtukiza siku hiyo uliza kilichowakuta baada ya hapo. JWTZ hawapo kila kijiji.lakini alshabab wameshafanya Kenya kama kwao.
 
Mbona hawarudi sasa walishtukiza siku hiyo uliza kilichowakuta baada ya hapo. JWTZ hawapo kila kijiji.lakini alshabab wameshafanya Kenya kama kwao.
Hta hawana hawamu tena[emoji23][emoji23]siku hizi wanavizia chezea special forces wewe..
Ingia alshabab na wewe uje ule shaba
 
TBT: TPDF influence on Fred Rwigema and Salim Saleh. Not to forget Kagame!




 
Kajiunge alshabab uje na wewe uue ukione cha moto[emoji23][emoji23]
Utapasuliwa ubongo mzee
Mimi nipo kwenye nchi ya maziwa na asali nchi ambayo huwezi kufa njaa.nchi ambayo ukijituma ni rahisi kutoboa.nchi iliyobarikiwa siwezi kufanya ujinga.sipo kwenye nchi kama Kenya ambayo maisha ni magumu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…