Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Ulijuaje kilainishi kinatumika? Inaonekana ishaliwa sana bila hiyo yako bila kilainishi! 🤣 🤣 🤣 Pole sana, pepo ashindwe huyo dadeq! 🤣Au ni wewe walikugeuza bila kilainishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijuaje kilainishi kinatumika? Inaonekana ishaliwa sana bila hiyo yako bila kilainishi! 🤣 🤣 🤣 Pole sana, pepo ashindwe huyo dadeq! 🤣Au ni wewe walikugeuza bila kilainishi
Kuna Alshaabab Mtwara? 😂 😂 😂 Wavuta bhagi wale!When it comes to military issues Kenya is zero kabisa! U can't compare TPDF with your 'militia' group KDF.
Just imagine alshabab wanaingia kwa the biggest mall in town wanaishikilia kwa masaa na kufanikiwa ku-escape.
Where was your army when alshabab attacked Westgate?
Where was it when Garrissa was attacked by alshabab 'teens'??
We see in social medias everyday police posts and army camps attacked by alshabab, u know what happens when those so called alshabab tries to attack TZ? We fu#k them!
Few months ago they tried to attack in the South, they advanced from Northern Mozambique to southern parts of Mtwara Tanzania, they were met with 'kichapo heavy'. Hatukusikia tena neno alshabab, wote tukaua na wengine tupo nao kwa cells tunawa torture
Ilikuwa mpakani walivamia Kwa kushtukiza lakini uliza kilichowakuta baada ya hapo.hawatamani kurudi tena.alshabab wanawaua wakenya kila siku.mnajeshi ovyo Sana.Magaidi waliuwa Watanzania kadhaa huko Mtwara. Hata serikali yenu ilikiri kwamba jambo hilo lilifanyika.
Mngetuzima sisi tulipo chukua KilimanjaroHahaha. Wacha vijisababu. Wakati Kenya ilipata uhuru Nchi ya Somalia ilianza vurugu na kutaka kunyakua North Eastern province ya Kenya. Kenya ilizima upuuzi huo chap chap. So sio kweli kwamba hakuna mtu anayetaka kutuchokoza. Mbona Ethiopia wamejawa na rebels left right and centre na hakuna rebel group iliyowahi jaribu kuvamia Kenya? Vile vile South Sudan wana wapiganaji wengi sana ila hakuna siku wamewahi kuamua kuvamia Kenya? Hata Uganda in the 1970s and 1980s walikuwa wanapigana sana ila hawakuwahi kurusha kombora upande wa Kenya. Jiulize mbona Nduli Iddi Amin hakuanzisha choko na Kenya akaamua kuanzisha choko na Tanzania. Utapata jibu lako.
Cc Geza Ulole
Bila Kunya's master Muingereza kuwasaidia Shifta war mlikuwa mpoteze the northern territory!Hahaha. Wacha vijisababu. Wakati Kenya ilipata uhuru Nchi ya Somalia ilianza vurugu na kutaka kunyakua North Eastern province ya Kenya. Kenya ilizima upuuzi huo chap chap. So sio kweli kwamba hakuna mtu anayetaka kutuchokoza. Mbona Ethiopia wamejawa na rebels left right and centre na hakuna rebel group iliyowahi jaribu kuvamia Kenya? Vile vile South Sudan wana wapiganaji wengi sana ila hakuna siku wamewahi kuamua kuvamia Kenya? Hata Uganda in the 1970s and 1980s walikuwa wanapigana sana ila hawakuwahi kurusha kombora upande wa Kenya. Jiulize mbona Nduli Iddi Amin hakuanzisha choko na Kenya akaamua kuanzisha choko na Tanzania. Utapata jibu lako.
Cc Geza Ulole
Nilikuwa kikundi Cha waasi[emoji1787][emoji1787]Dah, kumbe KDF ilikuwepo kwenye vita dhidi ya wapugania uhuru wa Maumau!
Vv
Watu waliingia tz na kuuwa watu alafu waksepa[emoji23][emoji23]Ilikuwa mpakani walivamia Kwa kushtukiza lakini uliza kilichowakuta baada ya hapo.hawatamani kurudi tena.alshabab wanawaua wakenya kila siku.mnajeshi ovyo Sana.
Jiunge alshabab uje upasuliwe kichwa[emoji23]Bila Kunya's master Muingereza kuwasaidia Shifta war mlikuwa mpoteze the northern territory!
Mbona hawarudi sasa walishtukiza siku hiyo uliza kilichowakuta baada ya hapo. JWTZ hawapo kila kijiji.lakini alshabab wameshafanya Kenya kama kwao.Watu waliingia tz na kuuwa watu alafu waksepa[emoji23][emoji23]
Jeshi lebu bora likikua wapi, eti uliza na wakati majamaa bado wanajilia ugali wao wa kila siku
Hta hawana hawamu tena[emoji23][emoji23]siku hizi wanavizia chezea special forces wewe..Mbona hawarudi sasa walishtukiza siku hiyo uliza kilichowakuta baada ya hapo. JWTZ hawapo kila kijiji.lakini alshabab wameshafanya Kenya kama kwao.
Wanawaua kila mwakaHta hawana hawamu tena[emoji23][emoji23]siku hizi wanavizia chezea special forces wewe..
Ingia alshabab na wewe uje ule shaba
Wanakuja wanawabaka wakenya na kusepa zao.nyie mnaulinzi hafifuHta hawana hawamu tena[emoji23][emoji23]siku hizi wanavizia chezea special forces wewe..
Ingia alshabab na wewe uje ule shaba
Kajiunge alshabab uje na wewe uue ukione cha moto[emoji23][emoji23]Wanawaua kila mwaka
Mimi nipo kwenye nchi ya maziwa na asali nchi ambayo huwezi kufa njaa.nchi ambayo ukijituma ni rahisi kutoboa.nchi iliyobarikiwa siwezi kufanya ujinga.sipo kwenye nchi kama Kenya ambayo maisha ni magumu[emoji23][emoji23][emoji23]Kajiunge alshabab uje na wewe uue ukione cha moto[emoji23][emoji23]
Utapasuliwa ubongo mzee