komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Vijana wa mapanga ndio waliwavamia na mka pambana nao masaa 12...
Usitake kupotosha watu hapa...
Je vita vya RPG mtaviweza?
Usitake kupotosha watu hapa...
Je vita vya RPG mtaviweza?
Wakumbusheni Kenya
Kuna vijana wetu 12 tuliwapoteza Kongo baada ya kupambana masaa 12 na waasi Wa Adf ..... Bila msaada""; msitu mnene" wala hawajakimbia kambi;;;
Lakin hawa wakenya huko somalia mnakimbia kambi hatariii( No Uvumilivu) ,,""" Askar mkiguswa kidog mnafarakana vibaya[emoji23][emoji23]
TPDF """" Ale wiiiiiiiiiiiii[emoji123]View attachment 1247436