Kenya Army VS Tanzania Army

Kenya Army VS Tanzania Army

operation mliyofanya miaka 40 iliyopita sasa unatuletea..
There is no soldier in the current TPDF that has fired a weapon against an armed enemy ..
There is no pilot who has done any kind of bombing
There is no helicopter pilot in your current force that has supported ground troops...
You have not made any significant purchases in the recent past ..

Sasa ni operations gani.

Pokot cattle rustlers have more battle experience than TPDF 2019
Nyie si mko na Vita sasa hivi mkapigane huko Somalia kwani lazima mje kujipima kwetu kwa Maneno? Kunya boys hatuna muda Wa kupigana kwa maneno, ikitokea Vita tutapigana nyie bakini na Jeshi bora kabisa Afrika linaloshindwa na kamdudu Alshabab.
 
Wewe mbumbumbu, you have said that we should rely on the current issues.

Si mmefanya manunuzi vema? Si mmefanya training za hali ya juu? Sasa gari inawashindaje?
Acha upumbavu wewe manunuzi hayapigani, wanapigana Askari waliofunzwa na wenye nidhamu ya Kivita, ndio Maana wakati wote tuna uwezo Wa kushinda na kuteka Silaha hatari toka kwenye majeshi Wa wapumbavu kama lenu, Sawa Kunya boy? Hopeless kabisa.
 
Kwhyo wakitolewa AMISOM waingie JWTZ somalia..alashabab watamalizwa?

Duh!!kwel nynyi ni habari nyngine
Bro ingekua hiyo mission kapewa JWTZ na akakubali kuingia hao wasomali wangejuta wangetaabika.
Maana km m23 walisumbua wakatusumbua kwa kiasi ila kibano walichokuja kipata hawatasahau.
Bahati nzuri au mbaya hatupo kwa hiyo mission.
 
Lkn kinachonishangaza jwtz currently wako congo km sikosei..na sijaskia km mmemalizana na wale jamaa[emoji848][emoji848][emoji848]
Bro ingekua hiyo mission kapewa JWTZ na akakubali kuingia hao wasomali wangejuta wangetaabika.
Maana km m23 walisumbua wakatusumbua kwa kiasi ila kibano walichokuja kipata hawatasahau.
Bahati nzuri au mbaya hatupo kwa hiyo mission.
 
Unajua maana ya msaada?
Sema mlitoa rambirambi.
Msaada walitoa Islamic Foundation sio ninyi.
Heheee....mbna sisi tuliwasaidia wakati wa tetemeko la ardhi..ukumbuke hamkutuomba msaada...
 
Asee Congo kulitokea makundi mawili ukijumlisha na hili.
M23 tumewamaliza bado hawa AFD.
Licha ya hvyo toka TPDF awe kule ulishaskia AFD wakisumbua??
Lkn kinachonishangaza jwtz currently wako congo km sikosei..na sijaskia km mmemalizana na wale jamaa[emoji848][emoji848][emoji848]
Asa ninyi mpo Somalia km hampo.
Yani yale yale shabab wanawatandika vema tu.
 
Unajua maana ya msaada?
Sema mlitoa rambirambi.
Msaada walitoa Islamic Foundation sio ninyi.
Code:
Sisi tutawasaidia tu..mpende mkatae..nynyi mkitaka bakini na unafiki wenu na chuki dhidi yetu

Kenya Defence Forces (KDF) have entered Tanzania to help those affected by an earthquake that had caused massive damage
- Tanzania was the epicenter of an earthquake that claimed lives more than a dozen people
- KDF soldiers delivered iron sheets, blankets and mattresses to those affected by the quake
Kenya Defence Forces (KDF) on Saturday, September 17, entered Tanzania on a humanitarian mission after a major earthquake affected the country.
Kenya Defence Forces (KDF) have entered Tanzania to help those affected by an earthquake that had caused massive damage.
0fgjhs7uvti6k4l6k.jpeg
 
Majeshi wenu huaga wanakufa hko..mbna huaga hampendi kuambiwa ukweli...

AFD tu mmewashindwa, sijui sai mko na mda gani..je mashababi ndio mtawaweza
Asee Congo kulitokea makundi mawili ukijumlisha na hili.
M23 tumewamaliza bado hawa AFD.
Licha ya hvyo toka TPDF awe kule ulishaskia AFD wakisumbua??

Asa ninyi mpo Somalia km hampo.
Yani yale yale shabab wanawatandika vema tu.
 
Kwanza mmeshateka miji mingapi hko congo kw sasa...

Kw mfano km vile kdf...(kismayu, koulibayo) nk
Asee Congo kulitokea makundi mawili ukijumlisha na hili.
M23 tumewamaliza bado hawa AFD.
Licha ya hvyo toka TPDF awe kule ulishaskia AFD wakisumbua??

Asa ninyi mpo Somalia km hampo.
Yani yale yale shabab wanawatandika vema tu.
 
Back
Top Bottom