KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Huwezi kuwatifautisha mvuta bangi na mfia dini wa dini ilee wote matendo yao yanalingana
 
antibalaka???
 
Hii style ya kubong'oka mbele ya mwanaume mwenzio rijali haipromote ushoga kweli?
style hiyo hiyo ndiyo waliyotumia manabii kuabudu..."Musa akafanya karaka,kisha akaanguka kifudifudi hata nchi AKASUJUDU"...Muhammad alioa wake zaid ya mmoja,yesu hakuoa hat mke mmoja.waislam wanaoa mke zaid ya mmoja lkn wakristo huoa mmoja na viongoz wao hawaoi kabsa..sasa utaona mwenyw ni kina nan wanaelekea kuwa mashoga..
 
Mkuu neno mkristo/wakristo limetokana neno ukristo kwahiyo ukisema mungu hakuanzisha ukristo na wala Yesu hakuubiri ukristo basi pia nawe sio sahihi kujiita mkristo.
neno ukristo limetokana na jina la yesu kuitwa kristo na wakristo walipewa jina hilo kule antokyaa miaka mingi baada ya yesu kuondoka hapa dunian
 
Mwenyezi mungu amemuonyesha njia kabla umauti, inshaallah amuongoze kwayo yeye na ah'ali zake. Dini ni nyingi duniani, si kosa kujifunza zote ili uzijue dini za wanadam na dini ya mungu
Sadakta,umesema kweli kabisa.
 
Hao ministry sijui wizara wao sio wakristo?
 
Wengi huitwa bali wachache huchaguliwa
 
Mie ni muislam ila huwa wakristo wananikwaza hasa wasanii wa nyimbo mnazoita za kidunia esp. Hip Hop anaimba huku kashika private party huku amevaa cheni zenye msalaba stejini
 
Masharti ya kuzipata ndio Hayo ona anavyo wajibika [emoji117] [emoji38]
[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]so it means na mbingun tunaenda kuishi life kama la duniani? Afu sheria si mwisho wake 4 asa hao 72 wanatoka wap tena[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…