Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Huwezi kuwatifautisha mvuta bangi na mfia dini wa dini ilee wote matendo yao yanalingana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waAllah hatutaki [emoji15] [emoji109] [emoji106]Karibu katika uislamu
antibalaka???tumia akili yako vizuri [emoji15] Yesu Angewaamuru Wafuasi wake wawageuze kibla makafir kungekuwa hakuna kafir hata mmoja juu ya ardhi hii wangekuwa Hai kuleta bla bla...[emoji15] [emoji4] ukitaka ujue vita aliyo leta Yesu [emoji117]Vita hii [emoji117] leo hii kamwambie muongo aache uongo, mngese aache ungese, muongo mwizi...waache kitakacho kupata ulete mrejesho humu [emoji4] wewe kama nilivyo Jina lako humu...mjinga...malizia [emoji12]![]()
style hiyo hiyo ndiyo waliyotumia manabii kuabudu..."Musa akafanya karaka,kisha akaanguka kifudifudi hata nchi AKASUJUDU"...Muhammad alioa wake zaid ya mmoja,yesu hakuoa hat mke mmoja.waislam wanaoa mke zaid ya mmoja lkn wakristo huoa mmoja na viongoz wao hawaoi kabsa..sasa utaona mwenyw ni kina nan wanaelekea kuwa mashoga..Hii style ya kubong'oka mbele ya mwanaume mwenzio rijali haipromote ushoga kweli?
neno ukristo limetokana na jina la yesu kuitwa kristo na wakristo walipewa jina hilo kule antokyaa miaka mingi baada ya yesu kuondoka hapa dunianMkuu neno mkristo/wakristo limetokana neno ukristo kwahiyo ukisema mungu hakuanzisha ukristo na wala Yesu hakuubiri ukristo basi pia nawe sio sahihi kujiita mkristo.
Sadakta,umesema kweli kabisa.Mwenyezi mungu amemuonyesha njia kabla umauti, inshaallah amuongoze kwayo yeye na ah'ali zake. Dini ni nyingi duniani, si kosa kujifunza zote ili uzijue dini za wanadam na dini ya mungu
Hao ministry sijui wizara wao sio wakristo?Nilivoona askofu na waumini wamesilimu nikajua tu sio makanisa hale ya kitasisi
Ni ngumu RC au KKKT askofu asilimu na parokia/usharika wake.
Ila kwa ministry ni rahisi sana maana askofu unakuta ana kanisa moja tu na labda waumini 500.
But vizuri kwao kuchagua walichoona chema kwao na vizazi vyao
Wengi huitwa bali wachache huchaguliwaMkuu, uislam ni dini inayonezwa kwa neno, si rushwa, hila wala ulaghai. Hivyo pia, kuwa na watu wengi siyo sababu ya kuukwepa moto wa mungu. wingi ungekuwa na tijja mbele ya mungu asingewaangamiza watu wa nabii NUHU ambao wachache waliamini na wengi walimkataa.
Mie ni muislam ila huwa wakristo wananikwaza hasa wasanii wa nyimbo mnazoita za kidunia esp. Hip Hop anaimba huku kashika private party huku amevaa cheni zenye msalaba stejiniIla Hawa waislamu wanajitahidi ,ukiwatizama wanaonekana kweli wanakijua wanachofanya.ila sie wakristu ni kama dini yetu inamashaka hivi.kila kukicha wanaibuka manabii na watumishi wanaopingana.huwa nakasirika kuona mwanamke kaposti picha yake kavaa sket fupi na maziwa nje alafu anaandika yesu kanifanya ning'are.
alah akbarTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrr!
alah akbarTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Allah akbarTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Allah akbarTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrr!
[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]so it means na mbingun tunaenda kuishi life kama la duniani? Afu sheria si mwisho wake 4 asa hao 72 wanatoka wap tena[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Masharti ya kuzipata ndio Hayo ona anavyo wajibika [emoji117][emoji38]![]()