KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Mi nimeshangaa alivosema et kisa ni uvaaji mbaya wa wadada.. Hv kama mtu akijifunika gubgub halafu ni mtenda dhambi,, inasaidia nn?
 
Mwenyezi mungu amemuonyesha njia kabla umauti, inshaallah amuongoze kwayo yeye na ah'ali zake. Dini ni nyingi duniani, si kosa kujifunza zote ili uzijue dini za wanadam na dini ya mungu
MUNGU hana dini.
 
Ni hiyari yake hilo ni tone moja lililodondoka ktk umati wa YESU hivyo hakuna kilichoharibika na ndio maana hua wakristo hatupanic mtu akibadili dini tofauti na waislamu ambao wanapanic hadi wanaanzisha vita wao wameondoka 23 cc tutapokea toka kwao 69 tutawabatiza JESUS4 ever
 
Sababu alizozitoa hazinamantika ya kumfamya hata mtu mwingine kusilim
 
Huyu anajiita askofu hajasoma biblia, Yohana 14:6, inasema YESU aliwaambia wanafunzi wake mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; MTU haji kwa Baba ila kwa njia ya YESU. Huwezi kwenda mbinguni kwa Baba, ni lazima ufuate YESU maana yeye ndiye njia na uzima.
Sikiliza sauti ya MUNGU MWENYEZI kutoka mbinguni, soma mathayo 3:17; mara YESU alipomaliza kubatizwa, mbingu zilifunguka ROHO WA MUNGU akashuka akaja juu ya YESU, sauti ya MUNGU ikasema "huyu ni mwanangu mpendwa, msikilizeni yeye. Sisi tunamsikiliza YESU pekee, AMINA
 
Alitamani sana wanawake, ndio kisa cha kuangalia vimini viingiapo kanisani. Njia nzuri ni kuingia uislamu, awe huru achague kuoa idadi awatakao.
 
Kumbe kilichomfanya aslimu ni wanawake,ebo!!

Ngoja max shimba apite hapa aongeze 50 itapendeza zaidi
 
Karibu sana utekeleze maagizo ya allah [emoji117] ili ufuzu ukazawadiwe mahulu 72 wenye makalio ft.40 ujiuji kiuno kama nyigu, macho kama vikombe...yalah [emoji8] [emoji39]
Kakimbia kwenda kupakatwa na Ibrahimu,kama Lazaro alivyopakatwa.Wewe baki huko huko ukapakatwe.
 
Amepotoka Yesu ndie njia kweli na uzima alikoenda amepotea
Yesu Mwenyewe aliposulubiwa alisema:
"Eloi,Eloi Lamasabakhtan"
"Mungu wangu,Mungu wangu mbona umeniacha?"
Huyu aliachwa na Mungu,wategemea hajapotea njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…