Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimeshangaa alivosema et kisa ni uvaaji mbaya wa wadada.. Hv kama mtu akijifunika gubgub halafu ni mtenda dhambi,, inasaidia nn?Nguo fupi za wanawake,wakiwa kanisani!! Yaani hiki ndio kilichomkera akahamia upande wa pili!!
Kuna sababu zingine za kimafundisho au ni hii moja?,
Yaani kwa upande wangu,uende Buddha,uhindu,yote ni yaleyale,
Wengi hizi kwenye hizi imani,tumejikuta,kwa sababu wazazi wetu tuliwakuta humo,nasi tunaamini imani ya wazazi wetu,
Imani hizi,zilikuwepo miaka mingi kabla ya uwepo wetu,no proof kwamba hipi ni sahihi
Ameshaona fursa fulaniChurch of East Africa, waumini 23
Njaa mbaya
MUNGU hana dini.Mwenyezi mungu amemuonyesha njia kabla umauti, inshaallah amuongoze kwayo yeye na ah'ali zake. Dini ni nyingi duniani, si kosa kujifunza zote ili uzijue dini za wanadam na dini ya mungu
AaminAllah amuongoze katika njia iliyonyooka
Soma maandiko yote yaliyopo duniani kisha urudi hapa kuitetea kauli yakoMUNGU hana dini.
Nimesema hiuvi Mungu hana dini. Dini tumewekewa sisis wanadamu ili tukamwabudu Mungu na kumtumikia.Soma maandiko yote yaliyopo duniani kisha urudi hapa kuitetea kauli yako
Thou shall not judge!Amepotoka Yesu ndie njia kweli na uzima alikoenda amepotea
Mwapeana adhabu ya kupigishana magoti kwa virungu au bakora au adhabu ya....kuwa mjanja kimbia adhabu ya kupigishwa magoti.Kila goti litapigwa kwa Jesus
Kakimbia kwenda kupakatwa na Ibrahimu,kama Lazaro alivyopakatwa.Wewe baki huko huko ukapakatwe.Karibu sana utekeleze maagizo ya allah [emoji117]ili ufuzu ukazawadiwe mahulu 72 wenye makalio ft.40 ujiuji kiuno kama nyigu, macho kama vikombe...yalah [emoji8] [emoji39]![]()
Muhimi ni mkristo,Roma au KKKT ni majina ambayo hata mwanzilishi Wa ukristu Paul,hakuanzisha,alianzisha ukristu.Nilidhani askofu wa Roma au KKKT..
Yesu Mwenyewe aliposulubiwa alisema:Amepotoka Yesu ndie njia kweli na uzima alikoenda amepotea