[emoji117]Tunakwenda kimaandiko,lete andiko.Mungu aweza akawa binadamu.
Soma Aya ya 3. MUNGU WA pekee, ni Nani. Na yesu aliyetumwa ni Nani?
MUNGU HAWEZI KUWA MSANII KIASI HICHO.Jibu swali Mungu kuwa ktk Hali ya Uungu na Ubinadamu kwa wakati mmoja HAWEZI? Ukijibu hapo tutahitimisha mjadala na kujua nani [emoji117] View attachment 632236...
Jibu swali jee Mungu kuwa ktk Hali ya ubinadamu Kamili na Uungu Kamili HAWEZI?? jibu ili upate wepesi wa pepo au jehannam..[emoji101] [emoji101]
Lete andiko Mungu anajigeuza binadamu.[emoji117] View attachment 632234
Ukisikia utapeli ndio huo,kama ni Mungu abaki kuwa Mungu,sio kufanya utapeli,mara Mungu,mara kawa mtu.Jibu swali Mungu kuwa ktk Hali ya Uungu na Ubinadamu kwa wakati mmoja HAWEZI? Ukijibu hapo tutahitimisha mjadala na kujua nani [emoji117] View attachment 632236...
Ukisikia utapeli ndio huo,kama ni Mungu abaki kuwa Mungu,sio kufanya utapeli,mara Mungu,mara kawa mtu.
Ukisikia utapeli ndio huo,kama ni Mungu abaki kuwa Mungu,sio kufanya utapeli,mara Mungu,mara kawa mtu.
Tatizo lako qurani huamini wala Biblia Takatifu huiamini [emoji117]
MUNGU ANATUMWA. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Serikali za eneo hili zipambane kupunguza ujinga na umasikini ktk jamii za ndugu zetu Waislamu tupunguze mijadala ya kijuha kama huu![emoji2][emoji2][emoji2] umekula kwanza au una post post tu ujinga
Ndio maana mnaabudu picha ya mcheza sinema,mkifikiria ndio Yesu.Na ameshawaambia msiabudu picha zake,yeye sio Yesu.Wewe ukiona picha wajuwa ndio uhalisia wenyewe.Pole sana,muabudu picha ya mcheza filamu.Jibu swaliinnsui wee [emoji12] kama tapeli huyu hapa [emoji117] amewahalalishia mpaka mvutu wa mee [emoji117] [emoji12]
Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.Ndani ya Qur'an inaelezea Yesu yote aliyokuwa akiyafanya,aliyafanya kwa idhini ya Mungu,hakufanya kwa kutaka Mwenyewe,kama huko kufanya ndege,kuponesha maradhi,kufufua wafu,ilikuwa ni kwa idhini ya Mungu,ilikuwa ni miujiza,anayofanyiwa na ,Mungu ili wayahudi wamuamini kama yeye ni Mtume wa Mungu.Ndio akasema,hata alipokuwa wanataka kumuua:
Mathayo 26:42
'Akaenda tena mara ya pili,akaomba,akisema,Baba yangu,ikiwa haiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisipokunywa,mapenzi yake yatimizwe.'
Kwa hiyo Yesu alikuwa hafanyi lolote ,ila ni kwa kutaka Mungu.
Asante kwa swali mujarab kabisa, nilikuwa natafuta andiko moja hivi na nimelipata,
Yesu amenukuliwa akisema hivi.
"Ndiposa Baba ananipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe.
Nami ninao uweza wa kuutoa, na ninao uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba"
Yohana 10 : 17 - 18
Sasa hapo tafakari nani aliruhusu kifo cha Yesu Kristo kwa mujibu wa andiko hilo ?
Kama Mungu aliruhusu basi waliomwua hawana hatia, kama wanadamu ndio waliomwua kwa maamuzi yao wenyewe basi wana hatia, ila Yesu anasema hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumwua, ni hiari ya Baba yake pekee ndiyo inayoweza.
( Kaka umeelewa hapoo...!
Unaweza kuniuliza swali lingine kinalo kutatiza ktk Imani ya Kristo ila nitakujibu baadae sana.
Nipo kazini na unajua awamu hii sio ya masihala masihala naweza nikatumbuliwa mda wowote nikionekana nipo bize na simu )
Kijana inaitaji elimu ili uweze kuyaelewa ayomaandishi lasivyo utaishia kucopy na kipest sio magazeti ya ijumaa ayo.Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
Kitu kinachowashinda wakristo,ni kutofahamu kama waislamu hawamuabudu Mtume Muhammad,mtume Muhammad katika uislamu,ni mfikishaji tu,ya kile alichotumwa na Mungu,kukifikisha kwetu wanadamu,na ndio hivyo kwa mitume mingine kama Yesu,Musa,Ibrahim,Ishaka,Yaakubu,Yohana nk,hawa wote pamoja na huyo Yesu unayamuamini wewe tunawaombea rehema na amani,mbele za Mungu,wakati wakitajwa majina yao.Kwa hiyo kwanza ujuwe:Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
Akili yako ktk Tafakari hapo ndipo ilipo fikia [emoji15] [emoji12] sio kosa lako ilaha kungwi yako aliye kufunda somo la kumjua MMungu Hana SIFA WALA UJUZI WA hilo somo [emoji4] umebakia unamwaga pumba hata fedheha huna [emoji33] [emoji33]Ndio maana mnaabudu picha ya mcheza sinema,mkifikiria ndio Yesu.Na ameshawaambia msiabudu picha zake,yeye sio Yesu.Wewe ukiona picha wajuwa ndio uhalisia wenyewe.Pole sana,muabudu picha ya mcheza filamu.
Endelea kuabudu picha ya mcheza sinema,mpaka mwenyewe kasema yeye siye Yesu.Bado picha mwaziabudu.Mtu Mwenye akili kama yako ya kuabudu picha, ya mcheza sinema,uwekwe kwenye fungu gani, kama sio ugonjwa wa akili.Akili yako ktk Tafakari hapo ndipo ilipo fikia [emoji15] [emoji12] sio kosa lako ilaha kungwi yako aliye kufunda somo la kumjua MMungu Hana SIFA WALA UJUZI WA hilo somo [emoji4] umebakia unamwaga pumba hata fedheha huna [emoji33] [emoji33]