KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Tunakwenda kimaandiko,lete andiko.Mungu aweza akawa binadamu.
[emoji117]
jesus-god-in-the-flesh+%281%29.jpg
 
JESUS IS OUR SEVIOR.....anaemkataa..ile paap umekufa...kwenye kona uyu apa...af madem ulioahidiwa huwakuti...hapo ndipo utakapo toa tofautii kati ya sifuri na OO
 
ed4192fec1927c3ca5bafcc209b48dc2.jpg

Soma Aya ya 3. MUNGU WA pekee, ni Nani. Na yesu aliyetumwa ni Nani?

Jibu swali Mungu kuwa ktk Hali ya Uungu na Ubinadamu kwa wakati mmoja HAWEZI? Ukijibu hapo tutahitimisha mjadala na kujua nani [emoji117]
kafir1+%281%29.jpg
...
 
Duh, sikuwahi kuwaza km kiongoz mkubwa wa kidini anaweza kuhama dini yake km kuhama chama Cha siasa.
 
Jibu swali jee Mungu kuwa ktk Hali ya ubinadamu Kamili na Uungu Kamili HAWEZI?? jibu ili upate wepesi wa pepo au jehannam..[emoji101] [emoji101]
83092beef563ad4060292e9ec8c2d5a5.jpg

Soma aya ya 1. Unataka kusema MUNGU na yesu. Ni mmoja?
UNAJUA MATUMIZI YA UMOJA NA WINGI?
 
Ukisikia utapeli ndio huo,kama ni Mungu abaki kuwa Mungu,sio kufanya utapeli,mara Mungu,mara kawa mtu.

Jibu swali
4345008281dca0a7e6bedd579fac92ed.jpg
innsui wee [emoji12] kama tapeli huyu hapa [emoji117]
e1d987a600f556ced5cbe9105aac6e13.jpg
amewahalalishia mpaka mvutu wa mee [emoji117]
5a9c4026071460498e40c8242550930b.jpg
[emoji12]
 
57302feb1e916c13484abcf94b72f7c8.jpg

MUNGU ANATUMWA. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tatizo lako qurani huamini wala Biblia Takatifu huiamini [emoji117]
hqdefault+%2815%29.jpg
[emoji118] unaamini? [emoji117]
11357705_117231675276316_1160614483_n.jpg
[emoji118] unaamini? [emoji117]
IMG_20171117_170216_239.jpg
mna shida sana maisilamu dirisha dogo [emoji117]
4e84e7fa63e741963e5cec01c3c4955d9df1bb1d+%281%29.jpg
[emoji12]
 
[emoji2][emoji2][emoji2] umekula kwanza au una post post tu ujinga
 
Jibu swali
4345008281dca0a7e6bedd579fac92ed.jpg
innsui wee [emoji12] kama tapeli huyu hapa [emoji117]
e1d987a600f556ced5cbe9105aac6e13.jpg
amewahalalishia mpaka mvutu wa mee [emoji117]
5a9c4026071460498e40c8242550930b.jpg
[emoji12]
Ndio maana mnaabudu picha ya mcheza sinema,mkifikiria ndio Yesu.Na ameshawaambia msiabudu picha zake,yeye sio Yesu.Wewe ukiona picha wajuwa ndio uhalisia wenyewe.Pole sana,muabudu picha ya mcheza filamu.
 
Ndani ya Qur'an inaelezea Yesu yote aliyokuwa akiyafanya,aliyafanya kwa idhini ya Mungu,hakufanya kwa kutaka Mwenyewe,kama huko kufanya ndege,kuponesha maradhi,kufufua wafu,ilikuwa ni kwa idhini ya Mungu,ilikuwa ni miujiza,anayofanyiwa na ,Mungu ili wayahudi wamuamini kama yeye ni Mtume wa Mungu.Ndio akasema,hata alipokuwa wanataka kumuua:
Mathayo 26:42
'Akaenda tena mara ya pili,akaomba,akisema,Baba yangu,ikiwa haiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisipokunywa,mapenzi yake yatimizwe.'
Kwa hiyo Yesu alikuwa hafanyi lolote ,ila ni kwa kutaka Mungu.
Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
Asante kwa swali mujarab kabisa, nilikuwa natafuta andiko moja hivi na nimelipata,
Yesu amenukuliwa akisema hivi.

"Ndiposa Baba ananipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe.
Nami ninao uweza wa kuutoa, na ninao uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba"
Yohana 10 : 17 - 18

Sasa hapo tafakari nani aliruhusu kifo cha Yesu Kristo kwa mujibu wa andiko hilo ?

Kama Mungu aliruhusu basi waliomwua hawana hatia, kama wanadamu ndio waliomwua kwa maamuzi yao wenyewe basi wana hatia, ila Yesu anasema hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumwua, ni hiari ya Baba yake pekee ndiyo inayoweza.

( Kaka umeelewa hapoo...!
Unaweza kuniuliza swali lingine kinalo kutatiza ktk Imani ya Kristo ila nitakujibu baadae sana.
Nipo kazini na unajua awamu hii sio ya masihala masihala naweza nikatumbuliwa mda wowote nikionekana nipo bize na simu )
 
Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
Kijana inaitaji elimu ili uweze kuyaelewa ayomaandishi lasivyo utaishia kucopy na kipest sio magazeti ya ijumaa ayo.
 
Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
 
Ndouzuri wa kuchimba kotekote,wewe unajua uyo Mtume wenu wakati anakaribia kufa Mwenyezi Mungu akamfunulia na akaona anakoenda kukoje alisema nini kabula ya kukata roho? Km ujui ludi ukasome vizr dini yako na ujiulize ni kwa nini mpaka sasa mkiwa msikitini lazima mumuombee mtume wenu.Na baada ya hapo jiulize km unaakili timamu ikiwa ww unamuombea mtume wako ili Mungu amuleemu je na wewe itakuaje? Njooni kwa Yesu mwanaume aliyeumbwa pasipo dhambi akateswa kwa ajili ya wanadamu akafa akazikwa na sku ya tatu akafufuka,akapaa mbinguni na amekaa kuume kwa Mungu Baba mwenyezi na toka uko atakuja kuwaukumu wazima na wafu.Sasa badala mumfate MTU aliyekufa na kufufuka na kitabu chenu kinawaeleza ivo lakini bado mnamfata MTU aliyekufa na mpaka sasa anasubili ukumu na ndomaana bado mnamuombea.Think bigger kijana.
Kitu kinachowashinda wakristo,ni kutofahamu kama waislamu hawamuabudu Mtume Muhammad,mtume Muhammad katika uislamu,ni mfikishaji tu,ya kile alichotumwa na Mungu,kukifikisha kwetu wanadamu,na ndio hivyo kwa mitume mingine kama Yesu,Musa,Ibrahim,Ishaka,Yaakubu,Yohana nk,hawa wote pamoja na huyo Yesu unayamuamini wewe tunawaombea rehema na amani,mbele za Mungu,wakati wakitajwa majina yao.Kwa hiyo kwanza ujuwe:
1:Waislamu hawamuabudu Mtume Muhammad,wanamuabudu Mungu(hakuna haja ya kutwajwa Mungu Wa kweli ,wala Mungu wa haki,kwasababu anazo sifa hizo,bila kuwa na umuhimu wa kuzitaja).
2.Yesu,pamoja na mitume mingine tunawaombea rehema na amani.
Kwa hiyo uelewe,hata Yesu,katika uislamu anaombewa rehema na amani,kwasababu yeye pia ni mtume ndani ya uislamu.
 
Ndio maana mnaabudu picha ya mcheza sinema,mkifikiria ndio Yesu.Na ameshawaambia msiabudu picha zake,yeye sio Yesu.Wewe ukiona picha wajuwa ndio uhalisia wenyewe.Pole sana,muabudu picha ya mcheza filamu.
Akili yako ktk Tafakari hapo ndipo ilipo fikia [emoji15] [emoji12] sio kosa lako ilaha kungwi yako aliye kufunda somo la kumjua MMungu Hana SIFA WALA UJUZI WA hilo somo [emoji4] umebakia unamwaga pumba hata fedheha huna [emoji33] [emoji33]
 
Akili yako ktk Tafakari hapo ndipo ilipo fikia [emoji15] [emoji12] sio kosa lako ilaha kungwi yako aliye kufunda somo la kumjua MMungu Hana SIFA WALA UJUZI WA hilo somo [emoji4] umebakia unamwaga pumba hata fedheha huna [emoji33] [emoji33]
Endelea kuabudu picha ya mcheza sinema,mpaka mwenyewe kasema yeye siye Yesu.Bado picha mwaziabudu.Mtu Mwenye akili kama yako ya kuabudu picha, ya mcheza sinema,uwekwe kwenye fungu gani, kama sio ugonjwa wa akili.
 
Back
Top Bottom