KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Endelea kuabudu picha ya mcheza sinema,mpaka mwenyewe kasema yeye siye Yesu.Bado picha mwaziabudu.Mtu Mwenye akili kama yako ya kuabudu picha, ya mcheza sinema,uwekwe kwenye fungu gani, kama sio ugonjwa wa akili.
[emoji117] limefanana na kiungo gani mwilini...jee unaabudu??
 
Aliye mtuma afikishe Ujumbe ni nani?
 
Aliye mtuma afikishe Ujumbe ni nani?
Mitume yote kuanzia Adam,Daud,Musa,Ibrahimu,Yesu,Muhammad,wote na wengine,wametumwa na Mungu.Na hata Yesu alisema katumwa:
...Akajibu ,akisema SIKUTUMWA ILA kwa kondoo waliopotea kwa nyumba ya Israel....
Mathayo 15.21-28.
 
Yaani baada kufanya utafiti ameona sababu moja ya wana wake kuvaa NGUO fupi wkt wa ibada dhidi ya wanawake kiislam wanaovaa hijbu. Kama hiyo ndio sababu na KANISA alilokuwa anahubili ni lake alitakiwa atoe mwongozo wa mavazi na kondoo(wumini) wake wangemtii. Sasa kama amehama basi tusubirie baada yakukaa huko kwenye uislamu akija kuona nako kunamapungufu atahama tena na kondoo wake.kikubwa tukumbuke kuwa Yalisha semwa nyakati za mwisho watatokea manabii wa UWONGO.
 
1 Timotheo 1:20
'Katika hao wamo Himenayo na Iskanda,ambao nimempa SHETANI watu hao,ili wafundishwe wasimtukane Mungu'.
Hapa wazi wazi kua Shetani ndie mwalimu wenu,akiyewafundisha msimtukane Mungu.
Kwa manabii wa uongo sikuwako toka wakati wa Yesu,sio sasa.Kama hapo shetani,kwenu pia kawa nabii.
 
Umekubali kama unaabudu picha,hii ndio inahakikisha wazi kama wewe,akili yako inavyokupa kila picha ni uhalisia.Endelea kuabudu picha ya mcheza sinema.

Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app

Mimi nimekuuliza hii [emoji117] imefanana na nini? Na mnapo ila denda wakti mnahiji inaashiria nini? kwa nini unisemee wakti Mimi najua hii ni picha na hii ni halisi...imefanana na nini cholo na kubusu inaashiria nini?!
 
Mitume yote kuanzia Adam,Daud,Musa,Ibrahimu,Yesu,Muhammad,wote na wengine,wametumwa na Mungu.Na hata Yesu alisema katumwa:
...Akajibu ,akisema SIKUTUMWA ILA kwa kondoo waliopotea kwa nyumba ya Israel....
Mathayo 15.21-28.
Achana na Yesu kwanza na hao unaoita Mitume [emoji4] swali nililo kuuliza abdul qathem ibn abd allah katumwa na nani??
 
Mimi nimekuuliza hii [emoji117] View attachment 632900 imefanana na nini? Na mnapo ila denda wakti mnahiji inaashiria nini? kwa nini unisemee wakti Mimi najua hii ni picha na hii ni halisi...imefanana na nini cholo na kubusu inaashiria nini?!
1Wakorintho 1:25
'Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu,na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.'

Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
 
Yohana 20:17
Yesu akamwambia.Usinishike;kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba.Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie,ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni baba yenu,kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yohana 20:17
 
1Wakorintho 1:25
'Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu,na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.'

Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
Imefanana na nini [emoji117] hadi unaona aya za Prof Paulo Mtume wa Yesu zitakunusuru wewe na abdul qathem...jibu wewe imefanana na nini [emoji15] [emoji47]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…