KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Mkristo anaye mwacha Yesu Kristo na kwenda nje.
Huyo hakuwahi kumwelewa Kristo wala hakuwahi kuwa
Mkristo bali alikuwa Mkristo jina.
Kubadili imani ni siyo kosa la jinai mtu ana uhuru wa kuamini na kufuata imani yoyote ile.
Ila kwa wale wanayoifuata imani inayotokana na Kulitii Neno la Kristo Yesu kamwe hawawezi kuiacha imani hiyo takatifu.
Kwakuwa Roho Mtakatifu anawasaidia kuwaimarisha kiimani kila siku.
Bila kuwa na Roho Mtakatifu ambaye ndiye Msaidizi wetu wa Imani huwezi kumwelewa Yesu Kristo.
Mwisho wake unaamua kutangatanga kiimani, mara leo ni Mbudha, kesho unahamia kuwa Mbahaullah, keshokutwa Mrastafariani, mtondogoo Mhindu mwisho wa siku unaingia Freemasonry.
 
ASKOFU ASILIMU KENYA NA WAFUASI WAKE, AGEUZA KANISA LAKE KUWA MSIKITI

Habari zilizotufikia kutoka Kenya, Askofu Charles Okwany ambaye baada ya kuichagua dini ya Kiislamu kuwa mwongozo wake wa wokovu duniani na Akhera amechagua jina la Ismail Okwany.

Amesema amesilimu baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uislamu. Amesema baada ya kusilimu, kanisa alilokuwa akihurbiri, lililoko katika eneo la Nyalgosi kaunti ya Homa Bay magharibi mwak Kenya, ambalo lilijulikana kwa jina la God’s Call Church of East Africa sasa limegeuzwa jina na kuwa Msikiti wa Jamia wa Nyalgosi.

Katika mahojiano na Jarida la Nairobian, Ismail Okwany amesema, wakati alipokuwa muhubiri wa Kikristo alikuwa akisafiri katika miji mbali mbali ya Kenya na Tanzania hasa katika maeneo ya pwani na alipata fursa ya kufanya utafiti kuhusu maisha ya Waislamu. Ismail Okwany anaongeza kuwa aliweza kulinganisha Uislamu na Ukristo na akaamua kufuatia Uislamu.

Aidha anasema moja ya mambo yaliyokuwa yakimkera sana wakati akiwa muhubiri wa Ukristo ni tabia ya wanawake kuingia ndani ya kanisa wakiwa wamevaa sketi fupi katika hali ambayo wanawake Waislamu wanakuwa wamejisitiri kwa Hijabu wakati wa ibada msikitini na hata nje ya msikiti.

Okwany mwenye umri wa miaka 65 alisilimu tarehe 26 Septemba akiwa na wafuasi wengine 23 wa kanisa lake na sasa wako mbioni kusajili rasmi msikiti wao.

Anasema Allaah (Subhanahu wa Ta’ala):

“Nyinyi ndio Ummah bora kuliko Ummah zote zilizodhihirishiwa watu (ulimwenguni) mnaamrisha yaliyo mema na mnakataza yaliyo maovu, na mnamuamini Allaah.” Aal ‘Imraan: 110

“Sema hii ndio njia yangu, ninaita (ninalingania) kwa Allaah kwa ujuzi wa kweli, mimi (nafanya hivi) na (kila) wanaonifuata. Na Allaah Ametakasika na kila upungufu, wala mimi simo miongoni mwa wanaomshirikisha (Allaah).” Yuusuf: 108

UNGANA NASI :

Kwa matukio na uchambuzi wa habari mbalimbali za kiislam ulimwenguni usikose kutembelea account yetu ya facebook ya Habari Za Kiislamu na pia jiunge na group letu la facebook la Uislamu Sahihi ni Qur'an na Sunnah.

Wabillahi at-Tawfiyq
Nguo fupi za wanawake,wakiwa kanisani!! Yaani hiki ndio kilichomkera akahamia upande wa pili!!
Kuna sababu zingine za kimafundisho au ni hii moja?,
Yaani kwa upande wangu,uende Buddha,uhindu,yote ni yaleyale,
Wengi hizi kwenye hizi imani,tumejikuta,kwa sababu wazazi wetu tuliwakuta humo,nasi tunaamini imani ya wazazi wetu,
Imani hizi,zilikuwepo miaka mingi kabla ya uwepo wetu,no proof kwamba hipi ni sahihi
 
Mungu hutoa Uhuru wa maamuzi ila tuwe tayari pia kupokea matunda ya uchaguzi wetu!
 
Okwany mwenye umri wa miaka 65 alisilimu tarehe 26 Septemba akiwa na wafuasi wengine 23 wa kanisa lake na sasa wako mbioni kusajili rasmi msikiti wao.

Kichwa cha habari ni kuwa; Askofu asilim na wafuasi wake!
Unasema ana umri wa miaka 65 halafu ni kanisa la East Africa. Kwa miaka 65 kanisa aliloongoza EA nzima likawa na waumini 23 tu huku akizunguka pwani zoote za EA.
Naunga mkono wazo lake la kusilimi. Hiyo ni dini isoongezeka kwani iliingia EA kabla ya ukristo lakini bado wameishia hapo hapo Pwani na himaya yao imeshapekechwa na Christianity kiasi kwamba hawana walipo imara tena.
Hao ndo wala nguruwe wa kwanza kuliko hata wafuga nguruwe
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Karibu sana utekeleze maagizo ya allah [emoji117]
c86654401cdee14d8055d30b18e18dd6.jpg
ili ufuzu ukazawadiwe mahulu 72 wenye makalio ft.40 ujiuji kiuno kama nyigu, macho kama vikombe...yalah [emoji8] [emoji39]
Ujue kapata jini mahaba huyo.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom