Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Mkristo anaye mwacha Yesu Kristo na kwenda nje.
Huyo hakuwahi kumwelewa Kristo wala hakuwahi kuwa
Mkristo bali alikuwa Mkristo jina.
Kubadili imani ni siyo kosa la jinai mtu ana uhuru wa kuamini na kufuata imani yoyote ile.
Ila kwa wale wanayoifuata imani inayotokana na Kulitii Neno la Kristo Yesu kamwe hawawezi kuiacha imani hiyo takatifu.
Kwakuwa Roho Mtakatifu anawasaidia kuwaimarisha kiimani kila siku.
Bila kuwa na Roho Mtakatifu ambaye ndiye Msaidizi wetu wa Imani huwezi kumwelewa Yesu Kristo.
Mwisho wake unaamua kutangatanga kiimani, mara leo ni Mbudha, kesho unahamia kuwa Mbahaullah, keshokutwa Mrastafariani, mtondogoo Mhindu mwisho wa siku unaingia Freemasonry.
Huyo hakuwahi kumwelewa Kristo wala hakuwahi kuwa
Mkristo bali alikuwa Mkristo jina.
Kubadili imani ni siyo kosa la jinai mtu ana uhuru wa kuamini na kufuata imani yoyote ile.
Ila kwa wale wanayoifuata imani inayotokana na Kulitii Neno la Kristo Yesu kamwe hawawezi kuiacha imani hiyo takatifu.
Kwakuwa Roho Mtakatifu anawasaidia kuwaimarisha kiimani kila siku.
Bila kuwa na Roho Mtakatifu ambaye ndiye Msaidizi wetu wa Imani huwezi kumwelewa Yesu Kristo.
Mwisho wake unaamua kutangatanga kiimani, mara leo ni Mbudha, kesho unahamia kuwa Mbahaullah, keshokutwa Mrastafariani, mtondogoo Mhindu mwisho wa siku unaingia Freemasonry.