KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Na Amani ni nini?
IKIWA UPANGA NI NENO LA MUNGU
Hujui hata maana ya Amani [emoji15] hii [emoji117]
db8636d09c01bdd2068b717f9f90b364.jpg
kwa kisilamu ndio Amani [emoji15] [emoji4] swali..[emoji101]
style hiyo hiyo ndiyo waliyotumia manabii kuabudu..."Musa akafanya karaka,kisha akaanguka kifudifudi hata nchi AKASUJUDU"...Muhammad alioa wake zaid ya mmoja,yesu hakuoa hat mke mmoja.waislam wanaoa mke zaid ya mmoja lkn wakristo huoa mmoja na viongoz wao hawaoi kabsa..sasa utaona mwenyw ni kina nan wanaelekea kuwa mashoga..
 
Sishangai makanisa yanavyochipuka kama uyoga na watu kujiita maaskofu kila kukicha,haya lazima tuyategemee
 
neno ukristo limetokana na jina la yesu kuitwa kristo na wakristo walipewa jina hilo kule antokyaa miaka mingi baada ya yesu kuondoka hapa dunian
Neno WA-KRISTO Muanzilishi ni Yesu Mwenyewe ref; Marko 9:10
 
neno ukristo limetokana na jina la yesu kuitwa kristo na wakristo walipewa jina hilo kule antokyaa miaka mingi baada ya yesu kuondoka hapa dunian
Sawa kabisa,kwahiyo kiujumla ukristo ni nini sasa?
 
Hujui hata maana ya Amani [emoji15] hii [emoji117]
db8636d09c01bdd2068b717f9f90b364.jpg
kwa kisilamu ndio Amani [emoji15] [emoji4] swali..[emoji101]
Ndo maana wayahudi wakamuua.
Watu wana hubiri Amani yeye anasema amekuja na upanga

NGOJA NIKUULIZE SWALI. WAKRISTO MNAAMINI MKIFA MNAKWENDA MWINGUNI.
HUKO MBINGUNI KWENU HAKUTA KUWA NA WANAWAKE?
 
Ndo maana wayahudi wakamuua.
Watu wana hubiri Amani yeye anasema amekuja na upanga

NGOJA NIKUULIZE SWALI. WAKRISTO MNAAMINI MKIFA MNAKWENDA MWINGUNI.
HUKO MBINGUNI KWENU HAKUTA KUWA NA WANAWAKE?
Kufa Kiroho au Kimwili...? Usiulize maswali nusu nusu dogo[emoji47]
 
Sawa kabisa,kwahiyo kiujumla ukristo ni nini sasa?
Ni Imani kwamba!; Mungu Kajidhihirisha ktk Umbile Bora la kibinadamu hapa duniani Kudhihirisha Mapenzi yake [emoji106]
 
ASKOFU ASILIMU KENYA NA WAFUASI WAKE, AGEUZA KANISA LAKE KUWA MSIKITI

Habari zilizotufikia kutoka Kenya, Askofu Charles Okwany ambaye baada ya kuichagua dini ya Kiislamu kuwa mwongozo wake wa wokovu duniani na Akhera amechagua jina la Ismail Okwany.

Amesema amesilimu baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uislamu. Amesema baada ya kusilimu, kanisa alilokuwa akihurbiri, lililoko katika eneo la Nyalgosi kaunti ya Homa Bay magharibi mwak Kenya, ambalo lilijulikana kwa jina la God’s Call Church of East Africa sasa limegeuzwa jina na kuwa Msikiti wa Jamia wa Nyalgosi.

Katika mahojiano na Jarida la Nairobian, Ismail Okwany amesema, wakati alipokuwa muhubiri wa Kikristo alikuwa akisafiri katika miji mbali mbali ya Kenya na Tanzania hasa katika maeneo ya pwani na alipata fursa ya kufanya utafiti kuhusu maisha ya Waislamu. Ismail Okwany anaongeza kuwa aliweza kulinganisha Uislamu na Ukristo na akaamua kufuatia Uislamu.

Aidha anasema moja ya mambo yaliyokuwa yakimkera sana wakati akiwa muhubiri wa Ukristo ni tabia ya wanawake kuingia ndani ya kanisa wakiwa wamevaa sketi fupi katika hali ambayo wanawake Waislamu wanakuwa wamejisitiri kwa Hijabu wakati wa ibada msikitini na hata nje ya msikiti.

Okwany mwenye umri wa miaka 65 alisilimu tarehe 26 Septemba akiwa na wafuasi wengine 23 wa kanisa lake na sasa wako mbioni kusajili rasmi msikiti wao.

Anasema Allaah (Subhanahu wa Ta’ala):

“Nyinyi ndio Ummah bora kuliko Ummah zote zilizodhihirishiwa watu (ulimwenguni) mnaamrisha yaliyo mema na mnakataza yaliyo maovu, na mnamuamini Allaah.” Aal ‘Imraan: 110

“Sema hii ndio njia yangu, ninaita (ninalingania) kwa Allaah kwa ujuzi wa kweli, mimi (nafanya hivi) na (kila) wanaonifuata. Na Allaah Ametakasika na kila upungufu, wala mimi simo miongoni mwa wanaomshirikisha (Allaah).” Yuusuf: 108

UNGANA NASI :

Kwa matukio na uchambuzi wa habari mbalimbali za kiislam ulimwenguni usikose kutembelea account yetu ya facebook ya Habari Za Kiislamu na pia jiunge na group letu la facebook la Uislamu Sahihi ni Qur'an na Sunnah.

Wabillahi at-Tawfiyq
Amechanganyikiwa huyo.
 
Ni Imani kwamba!; Mungu Kajidhihirisha ktk Umbile Bora la kibinadamu hapa duniani Kudhihirisha Mapenzi yake [emoji106]
Sasa kwanini watu wameitwa wakristo? wakristo ni nani?
 
KILA SIKU NAKWAMBIA WEWE UKRISTO HUUJUI.
ETI WAKRISTO HAWAFI. Yesu alikuwa muislam?

Nimekukaanga kwa mafuta yako [emoji4] hata maana ya kufa hujui [emoji15] Yesu alisema Acheni wafu wakazike wafu wenzao alikuwa anakusudia nini? Alisema tena muogopeni Yule auaye Roho na mwili...Amefundisha nini hapo?
 
Nimekukaanga kwa mafuta yako [emoji4] hata maana ya kufa hujui [emoji15] Yesu alisema Acheni wafu wakazike wafu wenzao alikuwa anakusudia nini? Alisema tena muogopeni Yule auaye Roho na mwili...Amefundisha nini hapo?
Unaulizwa vingine unajibu vingine.
Umesema wakristo hawafi. Nimekuuliza yesu alikufa au hajafa?
 
Back
Top Bottom