KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

[emoji1][emoji1][emoji1]. Umejaaa.haya niambie Kama yesu alijitoa uhai. KWANINI ALIMLILIA MUNGU. KWAMBA KAMUACHA?
3e8464ca511e044e1dc865efbe128f9d.jpg

SOMA AYA YA 46.
Hapa hatupo kwenye mambo ya Kujaa, bali kubadilishana Elimu ya Imani.
Hilo swali lako nimeulizwa na Kikwajuni One.
Soma nilivyomjibu hapo katika majibu yangu ya awali.
Angalia hapo juu nimemjibu vizuri Kikwajuni One.
Hamna sababu ya kurudia majibu.
 
Hapa hatupo kwenye mambo ya Kujaa, bali kubadilishana Elimu ya Imani.
Hilo swali lako nimeulizwa na Kikwajuni One.
Soma nilivyomjibu hapo katika majibu yangu ya awali.
Angalia hapo juu nimemjibu vizuri Kikwajuni One.
Hamna sababu ya kurudia majibu.
Ushachemka wewe. Yesu analia kufa. Ni wazi hakupenda kufa.
 
Ushachemka wewe. Yesu analia kufa. Ni wazi hakupenda kufa.
Hilo swali nimeshajibu kwa kumnukuu Kikwajuni One. Kwani hupaoni ?
Ameniuliza kama ulivyouliza wewe na nimemjibu jibu ambalo ndilo hilohilo la kukujibu wewe
Kama lengo lako ni kuelewa basi soma hapo.
Kama unataka mambo ya kujaa na kuchemka basi baki na huko kujaa na kuchemka.
 
Kwa hyo waliomuua yesu. Waliruhusiwa?
Mbona amesha kujibu vyema kwamba Allahu yaalamu..umebakia kama Toto linalilia pipi [emoji12] Kwa Mungu amesha toa Amri kwamba USIUE kamaliza [emoji123] [emoji106] muhammad alipanga mauaji na kuua kwa mkono wake hivyo yeye na walio muua Yesu kama hawaja Tubu...[emoji117]
helvetet.png
hawatoki humo tutubwi [emoji83] [emoji379]
 
Mnabishana utumbo tu, madhambi yamewajaa..mwisho wa siku tunaenda kule kule. So sad...
 
Ndani ya Qur'an inaelezea Yesu yote aliyokuwa akiyafanya,aliyafanya kwa idhini ya Mungu,hakufanya kwa kutaka Mwenyewe,kama huko kufanya ndege,kuponesha maradhi,kufufua wafu,ilikuwa ni kwa idhini ya Mungu,ilikuwa ni miujiza,anayofanyiwa na ,Mungu ili wayahudi wamuamini kama yeye ni Mtume wa Mungu.Ndio akasema,hata alipokuwa wanataka kumuua:
Mathayo 26:42
'Akaenda tena mara ya pili,akaomba,akisema,Baba yangu,ikiwa haiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisipokunywa,mapenzi yake yatimizwe.'
Kwa hiyo Yesu alikuwa hafanyi lolote ,ila ni kwa kutaka Mungu.
Hivi ukimtukana mtu unaenda shitakiwa mdomo? Sisi Wa-Kristo kupitia UTATU TUNAMPWEKESHA MWENYEZI[emoji106]
 
Hilo swali nimeshajibu kwa kumnukuu Kikwajuni One. Kwani hupaoni ?
Ameniuliza kama ulivyouliza wewe na nimemjibu jibu ambalo ndilo hilohilo la kukujibu wewe
Kama lengo lako ni kuelewa basi soma hapo.
Kama unataka mambo ya kujaa na kuchemka basi baki na huko kujaa na kuchemka.
Yesu Kama alitakiwa afe kwa ajili ya dhambi zenu. Asingemlilia mungu.
 
Mbona amesha kujibu vyema kwamba Allahu yaalamu..umebakia kama Toto linalilia pipi [emoji12] Kwa Mungu amesha toa Amri kwamba USIUE kamaliza [emoji123] [emoji106] muhammad alipanga mauaji na kuua kwa mkono wake hivyo yeye na walio muua Yesu kama hawaja Tubu...[emoji117] View attachment 632222 hawatoki humo tutubwi [emoji83] [emoji379]
Kama MMEAMBIWA MSIUE. KWANINI MNASEMA YESU ALIULIWA MSALABANI KWA AJILI YA DHAMBI ZENU?
 
Ushachemka wewe. Yesu analia kufa. Ni wazi hakupenda kufa.
Acha wazimu wa maswali [emoji12] Kila siku tunawafundisha lugha Imani Yetu lakini hamfundishiki
kafir1+%281%29.jpg
nyinyi [emoji15] Huyu Yesu ni Mwanadamu Kamili na Ni Mungu Kamili...kataa Leo kwamba Mungu HAWEZI kuwa ktk HALI hizo...sasa alipo Kuwa ktk Hali yake ya ubinadamu Kamili alikuwa kama wewe...ulitaka asemeje pale Msalabani [emoji47] [emoji348] [emoji348]
 
Hivi ukimtukana mtu unaenda shitakiwa mdomo? Sisi Wa-Kristo kupitia UTATU TUNAMPWEKESHA MWENYEZI[emoji106]
Hapo ndipo mlipojichanganya mkafanya hesabu kinyume nyume
1+ 1+ 1=1.Yesu asema
"Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi,MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli,niliyosikia kwa Mungu.Ibrahimu hakufanya hivyo"
.
Yohana 8:40.
" Mungu si mtu,aseme uongo;wala si mwanadamu,ajute;Iwapo amesema,hatalitenda?Iwapo anenena,hatalifikiliza.."
Hesabu 23:19
 
Acha wazimu wa maswali [emoji12] Kila siku tunawafundisha lugha Imani Yetu lakini hamfundishiki View attachment 632227 nyinyi [emoji15] Huyu Yesu ni Mwanadamu Kamili na Ni Mungu Kamili...kataa Leo kwamba Mungu HAWEZI kuwa ktk HALI hizo...sasa alipo Kuwa ktk Hali yake ya ubinadamu Kamili alikuwa kama wewe...ulitaka asemeje pale Msalabani [emoji47] [emoji348] [emoji348]
MUNGU ANAJIOMBA MWENYEWE?
 
Yesu Kama alitakiwa afe kwa ajili ya dhambi zenu. Asingemlilia mungu.
Ungesoma hapo juu, ungetambua kuwa Yesu kimwili alikuwa binadamu kamili kama wewe.
Tafauti yake ni kuwa yeye alibahatika kuuvaa Utukufu wa Mungu ndani yake.
Soma hapo utaona kuwa Yesu alipokaribia kufa Utukufu wa Mungu uliondoka ndani yake kwani haukai kwa Maiti ya binadamu.
Utukufu wa Mungu ulipoondoka Yesu akajiona ni dhaifu hana nguvu kama awali na alisikia maumivu makali ya mateso ya mijeredi, misumali kutobolea mkuki, uchovu na suluba zote, kabla hapo Mungu aliyekuwa ndani yake alimtia nguvu na kuwa imara kuvumilia mateso.
Kama binadamu kama Malyenge ulikuwa haki kwake kumlilia Mungu.
Wewe ulitaka amlilie nani ?
 
MUNGU ANAJIOMBA MWENYEWE?
Hawa watu wanatakiwa waonewe huruma,maandishi yako wazi,biblia imeandikwa kwa kiswahili,pia hawaelewi.Yesu asema
. "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi MTU,ambaye nimewaambia iliyo kweli,niliyoisikia kwa MUNGU..."
.Yohana 8:40
 
Hapo ndipo mlipojichanganya mkafanya hesabu kinyume nyume
1+ 1+ 1=1.Yesu asema
"Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi,MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli,niliyosikia kwa Mungu.Ibrahimu hakufanya hivyo"
.
Yohana 8:40.
" Mungu si mtu,aseme uongo;wala si mwanadamu,ajute;Iwapo amesema,hatalitenda?Iwapo anenena,hatalifikiliza.."
Hesabu 23:19

Kweli Mungu si mtu ili awe anasema uongo kama cholo [emoji38] nakubaliana na wewe kwamba mtu hawezi abadan kuwa Mungu!! Jee Mungu HANA UWEZO WA KUWA MWANADAMU?? [emoji101]
 
Ungesoma hapo juu, ungetambua kuwa Yesu kimwili alikuwa binadamu kamili kama wewe.
Tafauti yake ni kuwa yeye alibahatika kuuvaa Utukufu wa Mungu ndani yake.
Soma hapo utaona kuwa Yesu alipokaribia kufa Utukufu wa Mungu uliondoka ndani yake kwani haukai kwa Maiti ya binadamu.
Utukufu wa Mungu ulipoondoka Yesu akajiona ni dhaifu hana nguvu kama awali na alisikia maumivu makali ya mateso ya mijeredi, misumali kutobolea mkuki, uchovu na suluba zote, kabla hapo Mungu aliyekuwa ndani yake alimtia nguvu na kuwa imara kuvumilia mateso.
Kama binadamu kama Malyenge ulikuwa haki kwake kumlilia Mungu.
Wewe ulitaka amlilie nani ?
Soma Aya ya 3 .
5cdbcc49d0241532fe741c7b6dd4f5bd.jpg


YESU HAPO ANAONGEA NA MUNGU GANI HAYO MANENO?
 
Kweli Mungu si mtu ili awe anasema uongo kama cholo [emoji38] nakubaliana na wewe kwamba mtu hawezi abadan kuwa Mungu!! Jee Mungu HANA UWEZO WA KUWA MWANADAMU?? [emoji101]
Tunakwenda kimaandiko,lete andiko.Mungu aweza akawa binadamu.
 
MUNGU ANAJIOMBA MWENYEWE?
Jibu swali jee Mungu kuwa ktk Hali ya ubinadamu Kamili na Uungu Kamili HAWEZI?? jibu ili upate wepesi wa pepo au jehannam..[emoji101] [emoji101]
 
Jibu swali jee Mungu kuwa ktk Hali ya ubinadamu Kamili na Uungu Kamili HAWEZI?? jibu ili upate wepesi wa pepo au jehannam..[emoji101] [emoji101]
ed4192fec1927c3ca5bafcc209b48dc2.jpg

Soma Aya ya 3. MUNGU WA pekee, ni Nani. Na yesu aliyetumwa ni Nani?
 
Back
Top Bottom