Kenya bado kidogo itakuwa nchi ya mfano kwa demokrasia katika Afrika

Democracy ni njia moja wapo iliyoletwa na wazungu ili waweze kutawala nchi za Africa. Kwa huu ujanja unaofanywa na Jubilee na IEBC hakuna kitu hapo. Kenya hadi chokoraa wa miaka 12 atapiga kura.
Sisi kama CCM tutatawala milele kama chama cha China. Chupa ilele ila mvinyo tofauti. Kwa hiyo kuweni wapole kwani ndokwanza tunavuta shuka.
 
Mh! Kweli inavyoenda kwa majirani zetu, nahofia watacharangana mapanga kupita kiasi katika kugombea kutinga Ikulu. Mauaji yaliyotokea hivi karibuni si dalili nzuri hata kidogo.
 
Nimepata kitu hapa.Hongeren Kenya.
 
Ndo katiba yetu waliyoizika Lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima iwe hivyo vinginevyo wakumbane na mkono wa The Hague!
Pili, ukitaka kujua kwamba hawa jamaa bado sana kufikia huko unakozungumzia nenda uone maduka yalivyofungwa katika msimu huu wa kura. Aidha unatakiwa siku ya uchaguzi uje utuambie kama baada ya kupiga kura watu wataendelea na shughuli zao hususan sehemu za biashara ili kupima ukomavu wa kidemokrasia unaouzungumzia!
 
Mh! Kweli inavyoenda kwa majirani zetu, nahofia watacharangana mapanga kupita kiasi katika kugombea kutinga Ikulu. Mauaji yaliyotokea hivi karibuni si dalili nzuri hata kidogo.

Mkuu, demokrasia hasa huku kwetu Africa ni safari ndefu, sisi bado tunakabiliana na changamoto nyingi sana kwa kuwa bado tunangangana kufika, naamini bado hatujapoteza dira na tuko on the right track. ukiangalia tulipotoka, na watu wote tuliopoteza tukipigania multipartism na katiba labda utatuelewa. Wakenya hatupendi kuburuzwa na kama hatujafurahia matokeo lazima tutaandamana hadi haki itendeke.

Uchaguzi huu umeonyesha nguvu ya judiciary ambapo imeamua na kuondoa vikwazo vingi ambavyo vingezuia uchaguzi wa kweli na haki, decisions zingine raisi Uhuru hakufurahia lakini independence ya institution ilimlazimu kukubali tu.

Saa hizi kuna movement inayoitwa [HASHTAG]#fagiawote[/HASHTAG] , mostly ita affect sitting mps, governors, MCA and senators ambao wengi watashindwa ku retain position zao kwa kuwa wananchi wameshaonja utamu wa ugatuzi na wanajua what is expected of their leaders.

Safari ya democrasia ni ndefu, watu hupoteza maisha yao, watu hujeruhiwa vibaya lakini azma ya a better kenya lazima itimizwe. Inshallah 2022 utaona tofauti kubwa sana ya siasa na voting patterns and processes, we have learnt a lot since the 2007 elections, we continue to improve our political processes and eventually no one will have to die for politicians to take or retain power.

Nikimaliza, hakuna watu watakao pigana mapanga mwaka huu, it'll all run smoothly and we will serve as an example on how to conduct a credible, tightly contested election.

Ijumaa Karim.
 
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…