PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
- Thread starter
-
- #81
Hii sio mara ya kwanza kwa wanawake kufanya mambo kama haya! Ndo maana nimesema fedheha nyingine kwa mama zetu! .... Tafadhali bibi nielewe si kwa ubayaMama zenu na nani? Usituchanye na tamaa za mali za ki kikuyu.
Uovu afanye mmoja utujumuishe sote?
Punguani wahed.
Hata Tanzania sana sana wa machameKenya matukukio ya Wanawake kuwadhuru wanaume wao kwa sababu ya Mali in mengi sana..kuna mmoja alikodi watu wamuuwe Mme wake...bahati nzuri hao watu wenyewe kumbe in polisi.
Yupo maisha jera...sikiliza clip vizuriMuacheni amalize kifungo....
Alifungwa miaka kumi na ameshatumikia miaka kumi
Nadhani ni mkikuyu ambao wako jirani na wilaya ya Hai (wamachame)Huyo mama kabila gani mkuu?
Ndo maana wana tabia zinazo fananaNadhani ni mkikuyu ambao wako jirani na wilaya ya Hai (wamachame)
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman inasikitisha hii habar miaka kumi unamuacha baba ako afungwe kwa kudanganywa na mama daah inasikitishazaid ya sanaAliomba kufanya DNA judge akamwambia ni expensive,akawambia atalipa judge akamjibu muda ushapita wa kufanya DNA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni tatizo mama akichepuka tu anaanza kuperekwa na mwanaume ndio maana wa mama wengi wanaweza kuua pind wanapochepukaWalichukua Mali mama akauza mashamba akaolewa na mtu mwingine watoto wakasambaratika kwahiyo binti kabaki yatima ameona afichue Siri kwamba alisingizia babayake Kwa kushinikizwa na mama yake ili wachukue Mali
Sent using Jamii Forums mobile app
labďaUna moyò wa huruma eti?
Huyu mtoto kashajitia laana bila ya kujua
Kumbe huyo baba ameishatoka tayariNliikuta inaishia nkaona Baba anasema amesamehe, sikujua muktadha, kumbe ndo hivyo?
Looh mwanamke kweli si Ndugu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa nyingine huwa najiuliza ikiwa kweli Simba anatisha zaidi ya Eva
Kwani hakuchunguzwa na madaktari kuona kama ametumika au la?
Nadhani mali ziliisha mwaka wa kwanza tuKwa hiyo walichukua hizo mali?
Kuna kesi nyingi tu Kama hizi hata uko ulaya unakopasifia na kuushusha utu wakoMzungu ni Mzungu tu...... Sisi ma black nigger tuna laana ya asili,