Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Aiseeee si mchezo. Kuna watu wana roho za kikatili hivi. Sahiv huyo mama anajisikiaje kutembelea nyota ya marehem?huyu mzee alikua ana maduka mengi ya spare hapa mjini...ndo hizo tamaa za mali... sasa huyo mama mdg akambonyeza huyu shogangu coz ni watu waloshibana...ali.chongea mchongo mumewe...sasa hv mama anaishi makongo juuu anahela had anaumwa
Sent using Jamii Forums mobile app