KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

huyu mzee alikua ana maduka mengi ya spare hapa mjini...ndo hizo tamaa za mali... sasa huyo mama mdg akambonyeza huyu shogangu coz ni watu waloshibana...ali.chongea mchongo mumewe...sasa hv mama anaishi makongo juuu anahela had anaumwa
Aiseeee si mchezo. Kuna watu wana roho za kikatili hivi. Sahiv huyo mama anajisikiaje kutembelea nyota ya marehem?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona huja malizia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu ni Mzungu tu...... Sisi ma black nigger tuna laana ya asili,
Na wale waliomhukumu kofii olomide Miaka miwili kwa ubakaji nao weusi?
Je waliomshitaki christian Ronaldo kwa ubakaji Miaka kumi iliyopita nao weusi?
Mnaowaita wanajua haki za raia usa wamempeleka R. kelly mahakaman kwa ubakaji nao ni weusi?

Hakuna haki duniani, haki ni kwa Mungu pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…