Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Aiseeee si mchezo. Kuna watu wana roho za kikatili hivi. Sahiv huyo mama anajisikiaje kutembelea nyota ya marehem?huyu mzee alikua ana maduka mengi ya spare hapa mjini...ndo hizo tamaa za mali... sasa huyo mama mdg akambonyeza huyu shogangu coz ni watu waloshibana...ali.chongea mchongo mumewe...sasa hv mama anaishi makongo juuu anahela had anaumwa
Acha kuingia kingi kilofalofa ww, ss haya maandishi tu yameshakushawishi kumuamini mtu kirahisi hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahhaa ukutr yuko poaAiseeee si mchezo. Kuna watu wana roho za kikatili hivi. Sahiv huyo mama anajisikiaje kutembelea nyota ya marehem?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekurupuka. Ni kitu gani haswa ķimekufanya ujue nimemuamìni? Umeiona alama ya kiulizo hapo kwenye comment? Unajua kaź ya hiyo alamą?Acha kuingia kingi kilofalofa ww, ss haya maandishi tu yameshakushawishi kumuamini mtu kirahisi hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyomaana hata Mungu aliona ni vyema kutoa talaka pindi tu Ke akichepuka 7bu huendeshwa na hisia kimaamuzi kuliko akili.Hili ni tatizo mama akichepuka tu anaanza kuperekwa na mwanaume ndio maana wa mama wengi wanaweza kuua pind wanapochepuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaagh, naua mtu
Walisema muda huo eti umepita..jaji akamtaklia alafu akamwambia its too expensive ..jamaaa akauliza bei gan akaambiwa ..akasema yuko radhi ukwel ujulikane...atatoa hyo hela jaji akamchomolea..huyu mwanamke kama angekuwa mtz mayb angekuwaga m....
Kuna kesi nyingi tu Kama hizi hata uko ulaya unakopasifia na kuushusha utu wako
punguza kuchangia mada kwa mihemko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajatoka...ni waandishi wa habari waliamua kuwapatanisha wakamfuta huyo mtoto wakamleta palr gerezani..kabinti enzi hizo kalikua kadogo nw mdada kbs
Mzee akitoka jela naomba asikae na huyu binti. Kuna jambo linaweza kulipa fadhila hapo nina wasiwasi.
Jamii ya Wachaga-Kikuyu.Huyo mama kabila gani mkuu?
Mbona huja malizia?Kuna mama alitengana na mume wake tena kwa ujinga wake Wa kutokutaka kumsamehe mume wake alipoomba kumsamehe baada ya mwanaume kumzushia kuwa analiwa na jirani,baada ya kuachana yule mwanamke akatamani mshahara Wa mumewe wakati na yeye alikuwa na mshahara akaenda kumsema kwa ofisin kuwa hatoi pesa za ada na matunzo kwa watoto ili apate nusu mshahara Wa mumewe
Hivi umemuona huyo mtoto? Kabla ya miaka kumi unahisi alikua na umri gani.
Mi naona mnamjumuisha sana huyo dogo...
Machawi ya ndoa ni manamake![emoji37]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyaturu nao siku hizi ni Boko Haram[emoji848]mnyaturu au tufanye mchaga Wa machame!!!!
Mzungu ni Mzungu tu...... Sisi ma black nigger tuna laana ya asili,
Na wale waliomhukumu kofii olomide Miaka miwili kwa ubakaji nao weusi?Mzungu ni Mzungu tu...... Sisi ma black nigger tuna laana ya asili,
Na ukilala nayo kitandani kwa kuyapa kisogo yanakung'ong'a[emoji1]Daaaah kuna mashetani tunaishi nayo majumbani na tunatembea nayo kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko kwenu Mbeya si kuna mtaa flani wamejaa wama....e kibao wenye faranga za kutosha lkn 99% ni wajane[emoji848]Ila jaman tembea uone..mie nimekutanaga na wanawake wenye uchu na hela jaman had unashangaaa hahahahaa....mie ahapana aisee