Kenya buys more goods from Tanzania despite trade row

Walifukuzwa? Dah, nilidhani walilemewa na ushindani wa wabongo kibiashara.
Magufuli aliwafukuza sababu walipewa kiwanda cha Tanzania diaries kwa conditions za kiuzalishaji maziwa from the scratch badala yake wakawa wanakusanya raw milk from the farmers na kuyapakia kwenye gari processing inafanyika Kenya kile kiwanda wakakigeuza godauni, JPM alivyoingia statehouse akaanza nao
 
Hehehe, yaani mlikuwa mnaliwa kama malofa afu unaona sifa kusema hadharani? Chezea nyang'au wewe! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
chuki,ujinga na ulofa utakumaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…