Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Angekua Lissu na TLS wameandika hivi zingejaa thread humu za "wazalendo"kumtukana
Kwa sababu Tundu Lisu ni retarded house nigger!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekua Lissu na TLS wameandika hivi zingejaa thread humu za "wazalendo"kumtukana
Hivi wewe Barbarossa unatakaje?! Kwamba mtu akifanyiwa hila na dhulma aufyate au?! Kuufyata ni ukondoo na ndiyo CCM mnataka hivyo!! Lakini zama zimebadilika tutahoji tu.Tsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
Nadhan hiyo sifa yakupasa kuwa yako, haufikii hata nusu ya uwezo wa kufikir wa TL! SnitchKwa sababu Tundu Lisu ni retarded house nigger!
Nadhan hiyo sifa yakupasa kuwa yako, haufikii hata nusu ya uwezo wa kufikir wa TL! Snitch
Kweli Mkuu....Angekua Lissu na TLS wameandika hivi zingejaa thread humu za "wazalendo"kumtukana
Mmekosa hoja na udikteta uchwara wenu mnawaombea wanademokrasia mabaya, naomba yawapate wenyeweTsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
Wazalendo wa Lumumba wasaka udcAngekua Lissu na TLS wameandika hivi zingejaa thread humu za "wazalendo"kumtukana
Hata kama lakini ukweli ni kwamba wapo mbali wamekomaa kweli kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni ukweli mchungu! Mungu awaepushie mbali na hiyo tsunamiTsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
Mbona kuna wazungu wanasoma hapo udsmDemokrasia Africa bado hadi 2200 yrs.. Sbb Demokrasia bila Elimu ya kweli kwa wananchi na viongozi wote haiwezekani.. ELIMU AFRICA BADO DUNI MNO MNO..
Hiyo kukubali kukosolewa tu kwa Kenyatta ni uthibitisho tosha kuwa jamaa anakubali sana uhuru wa mwanadamu katika kufikiri, ingekuwa Tanzania hao chama cha mawakili wangekoga matusi ya kufa mtu toka kwa Magufuli