KENYA: Chama cha Wanasheria chalaani kauli za Rais Uhuru Kenyatta juu ya majaji

KENYA: Chama cha Wanasheria chalaani kauli za Rais Uhuru Kenyatta juu ya majaji

Tsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
Hivi wewe Barbarossa unatakaje?! Kwamba mtu akifanyiwa hila na dhulma aufyate au?! Kuufyata ni ukondoo na ndiyo CCM mnataka hivyo!! Lakini zama zimebadilika tutahoji tu.

Cairo's
 
Naona sana sana wataishia kuunda mseto
 
Eish ,hiyo ni sawa alivyo andika pale lakini huyu Okero ameweka siasa mbele anajifanya tu eti ni mtetezi wa sheria.
 
Mkuu Uhuru (freeman wa Kenya ) kumbuka mdomo ulimi uliponza kichwa.

Wenda umemsahau mkuu J.Ocampo na mama Bensuda walivyokujamb..sha kipindi kile
 
Ingekuwa Tanzania tayari saa hizi rais wa TLS angekuwa amezingirwa kwake Tegeta.

Kwa kweli tukubali tukatae Kenya wametuzidi sana karibu kwa kila kitu, tunawalazimisha tu kuwa kwenye EA Community.

FB_IMG_1504375229940.jpg
 
Huyo ndo mdemokrasia wa kweli eti.........tangu mwanzo sikuwa na imani na huyo mdemokrasia wa kweli
 
Tsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
Huo ni ukweli mchungu! Mungu awaepushie mbali na hiyo tsunami
 
Hao Mawakili wa Kenya ni Wajinga Sana!

Rais Uhuru katumia haki yake kutoa hisia zake

Kila Raia anapaswa kuheshimu Maamuzi ya Mahakama sio kukubaliana nayo kwny Nafsi yako

Uhuru kasema Wazi anaheshimu Maamuzi ya Mahakama lakin hakubaliani nayo wao wanataka wamlazimishe aseme anayakubali hata Kama si hivyo
Ni sawa na kulazimishwa kumpenda Rais wakati kinachotakiwa ni kumtii!
 
Hiyo kukubali kukosolewa tu kwa Kenyatta ni uthibitisho tosha kuwa jamaa anakubali sana uhuru wa mwanadamu katika kufikiri, ingekuwa Tanzania hao chama cha mawakili wangekoga matusi ya kufa mtu toka kwa Magufuli

Kuna tofauti kubwa sana namna ambavyo KLS imeandika taarifa yake ukilinganisha na TLS hasa baada ya Lissu kuwa rais. Kenya wanatumia lugha ya staha na inayojikita kwenye sheria. TLS ya Lissu imekuwa inatoa taarifa zilizojaa intellectual arrogance, kujiina na mbaya zaidi zimekaa kiuanaharakati na kisiasa.
 
Back
Top Bottom