Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This kind of ignorance ABD reasoning inatia hurumaMkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.
It's only a matter of time, we'll see how you'll deal with it. I hope you'll be around to give us updates on how your doctors are dealing with itHatima ya Kenya iko mikononi mwa watanzania ,tukiamua kupeleka madaktari wetu wa magonjwa ya mlipuko hilo suala ndani ya wiki tu linaisha.
Hatima ya Kenya iko mikononi mwa watanzania ,tukiamua kupeleka madaktari wetu wa magonjwa ya mlipuko hilo suala ndani ya wiki tu linaisha.
This kind of ignorance ABD reasoning inatia huruma
U r absolutely right...Call it ignorance for a person like you who is used to think in confined brain works.
Think outside the box, and dont forget Ebola, AIDS, Hpatitis B was here before-killed and maimed but you guys did not notice.
An hata sielewi itakuwaje hapa bongo ikashatufiakia,,yaan wat watamwagka kama maporoko.
[/QUOTE
Hapa bongo hii kitu inaweza tikisa kwa sababu ya panic tu, lakini hakuna atakayekufa kwa sababu ngozi nyeusi inajua kupambana!! Unajua corona virus ni jamii moja na virus wanaosababisha mafua. Ngozi nyeusi haifi kwa Mafia, tunamshukuru Mungu kwa hilo!
Mkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.
Mkuu, ni Mungu tu. Aliyegundulika jana Rwanda, katoka kwao tarehe 8 hakuwa na dalili zozote.kaendelea na shughuli zake mjini, kachanja mbuga, jana kajipeleka hospitali na kakutwa na virusi. Unadhani hali ikoje?Raia wa Ulaya , America na china inabidi kuwachunguza vizuri, sasa hivi Europe na America hali ni mbaya Zaidi, wanaambiwa kaeni ndani wanakuja na issue za freedom, inabidi kuwa very carefully airport kwa watu wanaokuja kutoka nchi hizo, hii ngoma ni ngumu.
Haya nayo ni maoni yako lazima yaheshimiwe.Maandalizi ya kublackmail , kuteka na kuua wapinzani