Kenya debt now 75% of GDP

Hahahahahahaha, domo kubwa huna data zaidi ni kupiga domo. Ila ninajua umeelewa kwamba huwezi chezea Tanzania, Mimi ninakupa data wewe ni kupanua domo tupu, stupid kabisa wewe.

I've listed for you 16 industries that Kenya leads in the private sector.

Badala ya kupiga domo, chukua sector moja kwa hizo, sema la!.
Ukweli ni kwamba hakuna ata sector moja kwa hizo utaweza dhibitisha kwamba Tanzania iko mbele.
 
I've listed for you 16 industries that Kenya leads in the private sector.

Badala ya kupiga domo, chukua sector moja kwa hizo, sema la!.
Ukweli ni kwamba hakuna ata sector moja kwa hizo utaweza dhibitisha kwamba Tanzania iko mbele.
Lete statistics acha domo tupu, Mimi nimesema
1)Tourism: TZ $2.4B, Kenya $1B
Lete namba wacha maneno
 
Mnaongoza aje sasa?

EABL has more revenues than Tanzania breweries.
We have uncountable juice and energy drink producers.

Kenya sio nchi ya brand moja Azam kama Tanzania. You can encounter over 20 Kenyan juice brands on the same supermarket shelf.
Lete data acha domo, numbers don't lie.
 
Lete statistics acha domo tupu, Mimi nimesema
1)Tourism: TZ $2.4B, Kenya $1B
Lete namba wacha maneno

Out of hizo 16, tourism sijaweka kwa list.
Kweli ukiishiwa na hoja, unaanza vituko.

Hotel rooms - Nairobi alone: 7,000
Hotel rooms - Tanzania yote: 7,900
 
Out of hizo 16, tourism sijaweka kwa list.
Kweli ukiishiwa na hoja, unaanza vituko.

Hotel rooms - Nairobi alone: 7,000
Hotel rooms - Tanzania yote: 7,900
Naomba reference please, kwasababu tourism tumewapita kwa mbali sana, data zako sio za kweli hadi ulete link ulipotoa hizi taarifa.[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Lete statistics acha domo tupu, Mimi nimesema
1)Tourism: TZ $2.4B, Kenya $1B
Lete namba wacha maneno

Soma hii ripoti ya PWC.

Hotel revenue
Kenya - 5, 382,000,000 Rand
Tanzania - 2,543,000,000 Rand

Available rooms
Kenya - 19,100
Tanzania - 7,700

Total hotel guests
Kenya - 3.3 million
Tanzania - 1.5 million

Tanzania may have more international tourist arrivals, but Kenya has much more local tourists.







Case closed. Maneno ya tourism tumefunga. In Tanzania, the bulk of the money goes to the government through gate fees and other fees, while in Kenya, the bulk of the tourism money goes to the private sector eg hotels, transportation etc.
 
Mining nilishasema kwa hio list yangu, kwamba ndio jambo la pekee Tanzania imetushinda.

Na reason ni kwamba mko na mineras mingi kutushinda.
Umeuliza swali, ukapewa jibu. Sisi kuwa na minerals nyingi ni sawa na kusema kuwa niliweza kukupiga kwa sababu nina muscles na wewe huna ... so?
 
Umeuliza swali, ukapewa jibu. Sisi kuwa na minerals nyingi ni sawa na kusema kuwa niliweza kukupiga kwa sababu nina muscles na wewe huna ... so?

Kenya ingekuwa imebarikiwa na mineras kama nyinyi, tungekuwa tunaongea different story.
Baraka ya mungu huwezi compare na entrepreneurial spirit.
 
Kenya ingekuwa imebarikiwa na mineras kama nyinyi, tungekuwa tunaongea different story.
Baraka ya mungu huwezi compare na entrepreneurial spirit.
Tanzania ingekuwa na mafuta tungeongea story nyingine.
Kama unamuamini mungu, then everything comes from him/her.
Plus how do you measure entrepreneurship? Unaongea vitu vya kufikirika, not empirical at all.
 
Tanzania ingekuwa na mafuta tungeongea story nyingine.
Kama unamuamini mungu, then everything comes from him/her.
Plus how do you measure entrepreneurship? Unaongea vitu vya kufikirika, not empirical at all.

Your minerals are a gift from God. Kenya does not even have a quarter of what you have.
But we have the entrepreneurial spirit that has made us richer than you.
We dominate you in every industry known to man... apart from mining for obvious reasons.

I hope I have explained to you in the clearest language.
 
Hahahaha, acha kuweweseka, hizi habari ya hotel vyote hivi vipo chini ya tourism. Kwenye tourism tulishamaliza biashara.
Tanzania $2.2B
Kenya $1B
 
Wewe eee, hii article inazungumzia EABL kutengeneza profit ya KSH 8.5B, haijazungumzia lolote kuhusu Tanzania Breweries.

Nimepost article ya EABL, na picha/chart ya TBL.
Hio chart nimetoa kwa financial reports za Tanzania Breweries.
 

But you have oil which Tanzania don't have.
1)Tourism: Tanzania $2.2B
Kenya $600M
2)FDI; Tanzania $2.4B
Kenya. $600M
3) Economy grows 7.1%
Kenya 5.6%
4) Inflation; Tanzania 3%
Kenya 6%
5)Population below poverty line;
TZ, 26%
KE 36%
6)Sugar production
TZ: 500,000Tonnes
KE: 200,000 Tonnes
7)Food production
TZ exports food
KE imports food
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji21] [emoji1]
 
Hahahaha, acha kuweweseka, hizi habari ya hotel vyote hivi vipo chini ya tourism. Kwenye tourism tulishamaliza biashara.
Tanzania $2.2B
Kenya $1B

Uliitisha data na figures. Nikakupa.
Tourism contributes much more to the Kenyan GDP than Tanzania's.
Wewe na ujinga wako unadhani pesa ya tourism ni visa fee na park fee pekee.
Hapa Kenya, it is the private sector that benefits more from tourism, sio government kama Tanzania.
 
Nimepost article ya EABL, na picha/chart ya TBL.
Hio chart nimetoa kwa financial reports za Tanzania Breweries.
Vipi kuhusu tourism revenue, FDI, sugar production na food production, sikusikii ukizingumzia kuhusu haya maeneo ambapo tumewazidi kwa mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…