Here we are, back to square one.
Mradi aliyekuingilia nyumbani kwako ni muarabu na muislamu safi basi we uliyeingiliwa una stahiki.
What bullshit!!
Tunajua wote Al Shabab a rag tag outfit ndio inaongoza uasi Somalia, na comments kama hizi wala hazi wasaidii waSomali.
Hivi mkuu Nonda mimi nikivaa keffieh, na kuja kufanya ujahili nyumbani kwako will it be fair game?
Na unamlaumu vipi Marekani katika hilo?
Ninyi I am sure you have controlled minds na ndio maana it is difficult to think straight.
Ukiingiliwa piga, tena piga ua.
Ukifikiria kureact juu ya situation yoyote katika usalama wako kwa misingi ya kidini , basi hadi leo Afrika Kusini isingekuwa imekombolewa.