And if kenya is unstable how stable will tanzania be.Maybe muguki will start raiding Zanzibar and kidnapping the tourists.Tumia akili bana.
Wait until the UK and Britain start issuing travel alerts to East Africa and you tell me if Tanzania will not be in East Africa then. Makubwa haya!!Mkuu sema wewe. Manake watu hawaelewi maana ya Domino Effect.
Are those two different countries?Wait until the UK and Britain start issuing travel alerts to East Africa and you tell me if Tanzania will not be in East Africa then. Makubwa haya!!
Mkuu mukubwa Majoja.Here we are, back to square one.
Mradi aliyekuingilia nyumbani kwako ni muarabu na muislamu safi basi we uliyeingiliwa una stahiki.
What bullshit!!
Tunajua wote Al Shabab a rag tag outfit ndio inaongoza uasi Somalia, na comments kama hizi wala hazi wasaidii waSomali.
Hivi mkuu Nonda mimi nikivaa keffieh, na kuja kufanya ujahili nyumbani kwako will it be fair game?
Na unamlaumu vipi Marekani katika hilo?
Ninyi I am sure you have controlled minds na ndio maana it is difficult to think straight.
Ukiingiliwa piga, tena piga ua.
Ukifikiria kureact juu ya situation yoyote katika usalama wako kwa misingi ya kidini , basi hadi leo Afrika Kusini isingekuwa imekombolewa.
Bwana mukubwa, tangu lini kuelezwa ukweli ambao hauupendi imekuwa matusi na kejeli.
Mtu ukienda as far as kusema Dar na Nairobi US Embassy bombings(1998) ni kazi ya Serikali ya Marekani wakati Al Qaeda(Osama ) alikwisha jigamba kwa kazi hiyo basi sijui kundi la kukuweka. Please change
haya sasa ... uganda US katuma troops ... kenya + alshabab ndio vile... Tanzania tusubiri kupokea wakimbizi
Viper na RAJ PATEL JRDon't be in denial! The truth of the matter is: If Kenya goes down, so does Tanzania, Uganda and the rest of EA
zako za kimasaburi !.................. maandishi yako huwa hayakosi kuwasilisha fikra:tongue::shock:
Sisi matatizo yetu nani anatusaidia? Hao nyang'aus ndio wana-support uharamia kwenye utalii na kupora mali zetu kwa mgongo wa chupa ni makuwadi wa Western countries ambao wanawatumia kama tambala bovu.
Tupendane jamani!
One nation
One continent
Africa unite!
Out of the debt of 14 trillion USD, China anaidai US only 1.5 trillion. Sasa iweje wenye kuidai US sehemu kubwa ya deni wasipige kelele sana kuliko China?
Russia alipoivamia Georgia baada ya South Osertia kuvamiwa hatukuona hizo theory zisizo na kichwa wala miguu na watu mlikaa kimya hapa. Nahisi watu mna gundu na US kuwa kila anachokifanya basi mtaanza kuja na theories zenu za ajabu ajabu.
Al shababu ni mzigo na matatizo kwa Africa na dunia. Big up Kenya na Kibaki, mkiweza twanga risasi yeyote atakaekaa mbele yenu huko Somalia awe raia ama hao majangili wa kisomali na Kenya wakiweza waitwae Somalia yootee iwe part of Republic of Kenya on a permanent basis
Waislamu na makafiri daima hatutopatana katika matendo na fikra zetu.Kwetu waislamu hata kama jambo tunalijuwa hatupaswi kuleta uhakika wa kuliwasilisha.Hapo juu kama nilikosea basi ni kutokusema Insha-Allah kwa maana Mwenyezi Mungu akipenda.Kama ni kujaribu kujibu namshauri asijisumbue kuuliza! Jibu analo tayari. Hapo hakuna swali maana kila kitu kinaeleweka, pia hata lingekuwepo swali? majibu ni ya kujaribu, yaani kubahatisha.
Baadhi ya vitendo vya Al-Shabaab dhidi ya Kenya
2009: Abduction of Catholic nuns in Elwak,
2009: Attack on Dadajabula Police Post.
2010: Attack on the GSU Camp in Liboi.
2011: July: Two military personnel abducted.
2011: July: Laying of landmines in Mandera town targeting security personnel.
2011: Sept: Al Shabaab attacks along Kenya- Somali border,
2011: Al Shabaab recruitment of Kenyan youth into militia
2011: British, French and Spanish nationals kidnapped in Lamu and Dadaab."
Waislamu na makafiri daima hatutopatana katika matendo na fikra zetu.Kwetu waislamu hata kama jambo tunalijuwa hatupaswi kuleta uhakika wa kuliwasilisha.Hapo juu kama nilikosea basi ni kutokusema Insha-Allah kwa maana Mwenyezi Mungu akipenda.
Hivyo niliposema nitajaribu kukujibu sikuwa na maana kuwa nitatoa jibu la kubahatisha.Na lingenishinda wapo wenzangu wenye kujua kuliko mimi.Naona wewe tu huna swali inaelekea umeelewa mchezo wa Amerika wa kutaka kutawala waislamu kwanza halafu dunia nzima.
dah !!! Cheki mkanda wa risasi huo alafu chini kapiga viatu vya wazi... Nawakubali sana hawa hehehehehe!