Kenya declares war on Al Shabaab!

Kenya declares war on Al Shabaab!

Jamaa tangu kulipuliwa balozi zake Nairobi na Dar wamechukua tahadhari kubwa kuhakikisha usalama.zile ni ngome / fortress magaidi watambulia soft targets.
 
Wanajaribu kuhalalisha tu hiyo vita ya Kenya na Wasomali Alshaabib. Marekani wanajua Wasomali ndo threat kubwa kwenye kusafirisha vitu vyao kupitia pembe ya africa mashariki, kwa hiyo nilazima wajenge mazingira ya kuhalalisha vita inayoendelea saizi.
 
who is behind this..................????????????

Al-Shaabab????????????????????????????
 
wanahisi ni nani anataka kulipua?

sijui watasema nani wabaya wao wote wameondka labda
Hugo Chavez!!ngoja tusubiri
rAHA ya Pipi MATE Bana WAACHENI WALIPUE
 
fcku USA,hamna mpango wowote mnataka kujilipua wenyewe halafu muanzishe vita hapa EAC,JK vp umejiandaa? Nalog off
 
Propaganda zimeanza ehh.. naskia pia kuna alshabaab Bongo, GSU's rapid deployment units commandos are planning to raid their bases in Dar.
 
Mashambulizi pembe nne USA drones,Kenya Army troops, AU troops na last but not least Transitional Federal Goverment troops. Fall of Kismayu moments away.
 
Ni intel za US ndizo ziansema hayo ...!

Lakini Alshabab wenyewe walisha watumia salam Kenya kwa walichokifanya ... Majibu yake ni obvious ...

Nafikiri Kenyan ...had their homework perfectly ... and knows exactly what they are doing ... did compare and all the contrast n place ...they do it or not do it ... Final analysis and their wisdom commanded for the offensive they are carrying out ..! You ask me ... Yes I don't have to bow to Alshabab at this stage...!!!
 
Tujiandae tu kwa kukimbilia...
Gari lishawaka,tusubiri kukaliwa kimabavu na hawa wamarekani kwa kisingizio cha alshabab.,wakijaribu kufanya hivyo mie nitajitoa muhanga sintokubali kutawaliwa na binadamu mwenzangu mchana kweupe. Nalog off
 
Ndio kusema wanataka wajenge base yao karibu na South Sudan kulinda ubalozi wao !.
Dunia isiposhitukia uongo wa Marekani itaingia kwenye majanga makubwa kuliko tuliyonayo sasa.
 
Wanajaribu kuhalalisha tu hiyo vita ya Kenya na Wasomali Alshaabib. Marekani wanajua Wasomali ndo threat kubwa kwenye kusafirisha vitu vyao kupitia pembe ya africa mashariki, kwa hiyo nilazima wajenge mazingira ya kuhalalisha vita inayoendelea saizi.
Hilo nalo neno!
 
Back
Top Bottom