Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Which agricultural products apart from buying from neighboring countries and rebranding and export them to Europe and other parts of the World?Fungua thread ya hiyo tutacontribute. Anyway what happened to we produce more agricultural products than Kenya?[emoji23][emoji23][emoji23]
There is one thing I like about internet. It reveals every lies around. Hile kelele ya produce more than Kenya I hope imeisha. Or is there anything you can add?Which agricultural products apart from buying from neighboring countries and rebranding and export them to Europe and other parts of the World?
Hapo hawajaonyesha mnachozalisha, wameonyesha pesa mnayopata kutokana na mazao ya KILIMO, hivi hujui kwamba mnada wa chai pale Mombasa unakusanya chai toka nchi zote za EA, ikiwemo Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na Zambia? Ili hiyo chai yote inapopelekwa nje ya toka Kenya inahesabika ni Agricultural produce toka Kenya?There is one thing I like about internet. It reveals every lies around. Hile kelele ya produce more than Kenya I hope imeisha. Or is there anything you can add?
Afadhali umemuelewesha sababu anatia aibu sana!Hapo hawajaonyesha mnachozalisha, wameonyesha pesa mnayopata kutokana na mazao ya KILIMO, hivi hujui kwamba mnada wa chai pale Mombasa unakusanya chai toka nchi zote za EA, ikiwemo Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na Zambia?. Ili hiyo chai yote inapopelekwa nje ya toka Kenya inahesabika ni Agricultural produce toka Kenya?.
Sasa kama Kenya inauwezo wa kuzalisha Agricultural produces, vipi inategemea Tanzania na Uganda katika chakula kama mahindi, mchele, tomato, Matunda, maharage na vyakula vingine?
Hapo hawajaonyesha mnachozalisha, wameonyesha pesa mnayopata kutokana na mazao ya KILIMO, hivi hujui kwamba mnada wa chai pale Mombasa unakusanya chai toka nchi zote za EA, ikiwemo Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na Zambia?. Ili hiyo chai yote inapopelekwa nje ya toka Kenya inahesabika ni Agricultural produce toka Kenya?.
Sasa kama Kenya inauwezo wa kuzalisha Agricultural produces, vipi inategemea Tanzania na Uganda katika chakula kama mahindi, mchele, tomato, Matunda, maharage na vyakula vingine?
Tunajua mtashikwa na majungu.Mnapenda sana kujiongopea nyie nyang'au. Kwa nini?
Yaani unajikomba kwa watanzania hadi unabaki kuranda randa humu na kujiwekea avatar ya Magufuli? Ha ha ha. Nyang'au kazi unayo.Tunajua mtashikwa na majungu.
Hata mimi nawaza kama wewe!Hahaha, wakenya ni kama watoto!
Umewahi kuona Mango Tree? Bibi yako ako na ngapi?First you have to know that Kenya produces more ovacado than Tanzania, more mangos. In fact most agricultural products we produce more.
Haka kakiingereza kako koko hakana maana yoyote ile.Kenya produces more mangos than Tanzania.
Nitajie mtu mmoja amekufa njaa this year.Haka kakiingereza kako koko hakana maana yoyote ile.
Wenzako wanakufa njaa huko Turkana na maeneo mengine ya nchi yenye ukame wa kutisha huko Kunya-Land. Wacha hizi ligi uchwara za mchangani, badala yake jikite kuwasaidia wenzako wanaotaabika kwa kwashakoo.
Zaidi ya yote, tutaendelea kuwasaidia na kuwalisha mpaka pale Kenya itakapoweza kujitegemea.
Which bitternessYour bitterness is our happiness.