Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe usianze kukatisha tamaa watu hapa.
Tanzania tunao maraila wetu kina zitto na Dr slaa
toa uoga wako hapa kuharibu siku ya kufurahia hapa
Acha tu!!! ni AIBU!!! sijui kiko wapi,,, ISSAMICHUZI BLOG ingetusaidia... lakini nadhani hawa wanahusita na Hotel, Tourism and Secretarial studies not more than that!!! Tafute wengine mtusaidie...
BENDERA namsamehe kwa kuwa amechaguliwa na Watu wa Calibre yake... Je Kinondoni nako?
MWAI KIBAKI RAILA ODINGA KALONZO MUSYOKA
Nairobi 84,283 103,847 14,965
Eastern 57,448 11,687 144,485
Nyanza 20,866 865,564 691
Coast 53,378 80,295 5,614
Central 803,028 8,959 2,126
North Eastern 20,501 25,391 4,235
Western 81,963 271,911 2,530
Rift Valley 288,918 757,901 19,772
Total 1,410,385 2,125,555 194,418
Ndiyo maana hakusema ni Diploma ya kitu gani. Anyway, kwa ujumla tukubali tumeliwa. Ngonja tule somo la Kenya, Viva EAF!!!!
Ukweli huuma sana; nami unaniumiza sana, kuona tulivyobweteka.
Pengine uko sahihi, hao uliowataja wakaweza kufanya kweli; tuwape muda' kwani hata huyo Odinga hakuanza jana.
Jamani Joe Nyaga vipi?
Jamani Joe Nyaga vipi?
MH. HALISI NA WAHESHIMIWA WENGINE,
MWANZO: TUNASUBIRI PIA. ZA JOE NYAGAH ZIKIINGIA NITAWATAARIFU. ILA NAOMBA MDA NIONDOKE NIKASHUGHULIKIE FAMILIA PIA.
PILI. KUNA HOFU KUHUSU ZA NYAGAH JILI YUPO KWENYE ENEO AMBAYO INAMVUTO MKUBWA AU KUMFAGILIA SANA KIBAKI.
TATU: NADHANI MPINZANI WA NYAGAH AMBAYE NI PASTA MUTAVA MUSYIMI AL MAARFU KWA KUPIGANIA DEMOKRASIA KUPITIA UMOJA WA MAKANISA KENYA UIITWAO NCCK ATAMPONDA NYAGAH.
NNE: RAILA WATAMPATIA DIREKT NOMINATION HATA AKISHINDWA YUPO NA NAFASI BUNGENI. ALIJARIBU SANA KUMUUZA RAILA KWA WAKIKUYU.
NTAREJEA MWENDO WA SAA MBILI USIKU HIVI NA DATA TOSHA.
ALAMSIKI
Inawezekana Humu Kila Mtu Ana Damu Ya Ccm Ndio Maana Hawajaanza Kuwaamini Wapinzani Mpaka Sasa
mamam zao na wake zao wakilazwa chini [/B]nakujifungua wakiwa sakafunikulikokuiona CCM ikiondoka madarakani , watu sijui wamelogwa ama nini sijui.
.....
JK ajue wananchi wanafuatilia kinachoendelea Kenya....mwache tuu aendelee na uswahili wake