Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

Newsroom

LATEST POLLS

Presidential Candidate %

Mwai Kibaki 43.3

Raila Odinga 43.6

Kalonzo Musyoka 11
 
Newsroom

LATEST POLLS

Presidential Candidate %

Mwai Kibaki 43.3

Raila Odinga 43.6

Kalonzo Musyoka 11

Mkomboziufisadi,

Na wewe unataka kuwa fisadi kwenye hili?

Sisi tunajua Raila ana zaidi ya 50%. Wewe endelea kupika matokeo yako, lakini leo hayataiva.
 
Bwana Kitila,

Siyo kuwa nacheka upinzani. I wish CCM could lose out, tena big time. Tatizo letu Bongo wala siyo vijijini. Nafikiri vijijini wana mwamko sasa kuliko hata mijini ndiyo sababu wapinzani wengi (Bara) wanatoka huko.I wish Dar wangeonyesha mfano especially majimbo ya wasomi ya Kinondoni. Niaminivyo mimi CCM huwa wanapanga majimbo ya kuwapa wapinzani before, then NEC inatutangazia tu!!!

Seriuosly, Inakera sana, ati Mbunge wa Jimbo la Kinondoni ni Mh. Iddi Azzan,,, check nondo/profile ya mheshimiwa hapa


Kitila tunahitaji kufanya kazi ya ziada hii ni dhihaka kubwa sana!!! yaani this was the best kutoka kwa wakazi wa jimbo la Kinondoni?
 
Quote: mkomboziufisadi
Newsroom

LATEST POLLS

Presidential Candidate %

Mwai Kibaki 43.3

Raila Odinga 43.6

Kalonzo Musyoka 11

Mapishi yako ya data umeyakosea, maana hata total yake haifiki 100, rudia tena.

Bora Shy wa watu aliyebadili dini
 
Moi sons, Biwott lose to newcomers

Published on December 28, 2007, 12:00 am
By Standard Team

Former President Daniel Moi sons Raymond and Gideon lost to newcomers in Rongai and Baringo Central parliamentary seats to ODM candidates.

And immediate former Keiyo South MP Nicholas Biwott’s 28-year hold on the constituency came to an end after he suffered defeat at the hands of a political newcomer.

http://www.eastandard.net/news/?id=1143979607
 
mkomboziufisadi
Newsroom

LATEST POLLS

Presidential Candidate %

Mwai Kibaki 43.3

Raila Odinga 43.6

Kalonzo Musyoka 11
Nafikiri watu tujaribu kuonyesha integrity kwenye habari tunazozitoa ili kudumisha credibility yetu ka JF. Wa2 wengi wanafuatiulia uchaguzi wa kenya kwa forum yetu sasa tukianza kufanya mzaha na matokeo tutapoteza heshima yetu. Naomba watu wanaoleta mapenzi kwenye polls results waache kwani ni kujivunjia heshma hata wao wenyewe.

Lets show maturity as JF
 
Seriuosly, Inakera sana, ati Mbunge wa Jimbo la Kinondoni ni Mh. Iddi Azzan,,, check nondo/profile ya mheshimiwa hapa


Kitila tunahitaji kufanya kazi ya ziada hii ni dhihaka kubwa sana!!! yaani this was the best kutoka kwa wakazi zaidi ya 700.

Kibaki pamoja na kufanya kazi nzuri kuliko alivyotegemewa bado anapigwa chini. Sisi Bongo JK anasema bado wanajenga msingi sasa then 2010 may be ndiyo kazi ya ukuta kupanda itaanza, sisi tunamchekea. CCM inabidi wapewe fundisho kali! Ndiyo sababu hawataki EAF, wanaogopa influence ya Kenya naona!!!
 
Seriuosly, Inakera sana, ati Mbunge wa Jimbo la Kinondoni ni Mh. Iddi Azzan,,, check nondo/profile ya mheshimiwa hapa


Kitila tunahitaji kufanya kazi ya ziada hii ni dhihaka kubwa sana!!! yaani this was the best kutoka kwa wakazi wa jimbo la Kinondoni?

MBONA HUULIZI YA BENDERA ?

YEYE ANATEMBEA NA MTU AMBAYE KAZI YAKE NI KUSOMA EMAIL ZAKE NA KUZIPRINT KISHA KUMMWELEZEA KILICHOANDIKWA KATIKA WARAKA HUSIKA

NILISHANGAA HUYU JAMAA ALITEULIWA BUNGENI KWA VIGEZO VIPI ?

KWELI TUKO DUNIA TOFAUTI
 
Kibaki pamoja na kufanya kazi nzuri kuliko alivyotegemewa bado anapigwa chini. Sisi Bongo JK anasema bado wanajenga msingi sasa then 2010 may be ndiyo kazi ya ukuta kupanda itaanza, sisi tunamchekea. CCM inabidi wapewe fundisho kali! Ndiyo sababu hawataki EAF, wanaogopa influence ya Kenya naona!!!

Watanzania waliambiwa na Mramba kuwa hata wakila Nyasi serikali itafanya inachotaka na wakakaa kimya. Tanzania itahitaji ccm iendelee kuwa madarakani, nchi yote iuzwe kwa wageni, vijana wakose kazi, vijijini watu wale nyasi ndio wakome kupewa vitenge na pombe na kuipigia kura ccm.

Maisha yasipokuwa magumu to the extent kuwa hakuna option watu hawawezi kuitoa ccm kama wakenya walivyofanya!
 
Mkomboziufisadi,

Na wewe unataka kuwa fisadi kwenye hili?

Sisi tunajua Raila ana zaidi ya 50%. Wewe endelea kupika matokeo yako, lakini leo hayataiva.

Mie natetea haki,hizo data nimezipata katika webiste ya mwai kibaki
www.kibaki.co.ke

nimeongea na mdau mmoja wa JF ambaye yuko Nai.ananiambia Raila yuko Juu sana.
 
Watu weweeeeee!
Good job our neighbour Kenyans, I wish wabongo tungejifunza kutoka kwenu!
 
KTN SAA 5.05PM


Waheshimiwa wenzangu,

Nashukuru kwa wale wanaona ninafaa pongezi lakini mimi sioni hilo. Ndio maana yake tupo pamoja hapa JF tujenge mawazo yetu na jamii zetu......ila napenda sana nyama choma sijui itakuaje au Kinywaji baridi hapo Arusha....


HAYA KAZI MBELE: Matokeo haya:

1. Raila anazidi kuongoza - millioni 2,976, 468, ambayo ni 58.7%
2. KIbaki anafuata na - millioni 1,93 Million votes ambayo ni 39.1%

MUHIMU a) Hizo percents zingine kama kumi hivi zimegawanywa na vyama vidogo vidogo.


Kufikia sasa kura million tano zimeshahesabiwa.

Nadhani Kibaki ataongeza kura zake sana results za Mkoa wao wa Central au KATI kama 700, 000 hivi zitaapoingia.

Wacheni tuvute kheri kwakuwa na subira.

____________________________________________

RIPOTI RASMI ZIMETOKA SASA KWAMBA RAILA ODINGA AMESHINDA LANGATA CONSTITUENCY!!

NGILU PIA AMESHINDA HUKO KITUI CENTRAL
 
Back
Top Bottom