Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Newsroom
LATEST POLLS
Presidential Candidate %
Mwai Kibaki 43.3
Raila Odinga 43.6
Kalonzo Musyoka 11
Newsroom
LATEST POLLS
Presidential Candidate %
Mwai Kibaki 43.3
Raila Odinga 43.6
Kalonzo Musyoka 11
Newsroom
LATEST POLLS
Presidential Candidate %
Mwai Kibaki 43.3
Raila Odinga 43.6
Kalonzo Musyoka 11
Bwana Kitila,
Siyo kuwa nacheka upinzani. I wish CCM could lose out, tena big time. Tatizo letu Bongo wala siyo vijijini. Nafikiri vijijini wana mwamko sasa kuliko hata mijini ndiyo sababu wapinzani wengi (Bara) wanatoka huko.I wish Dar wangeonyesha mfano especially majimbo ya wasomi ya Kinondoni. Niaminivyo mimi CCM huwa wanapanga majimbo ya kuwapa wapinzani before, then NEC inatutangazia tu!!!
Quote: mkomboziufisadi
Newsroom
LATEST POLLS
Presidential Candidate %
Mwai Kibaki 43.3
Raila Odinga 43.6
Kalonzo Musyoka 11
Mapishi yako ya data umeyakosea, maana hata total yake haifiki 100, rudia tena.
Moi sons, Biwott lose to newcomers
Published on December 28, 2007, 12:00 am
By Standard Team
Former President Daniel Moi sons Raymond and Gideon lost to newcomers in Rongai and Baringo Central parliamentary seats to ODM candidates.
And immediate former Keiyo South MP Nicholas Biwotts 28-year hold on the constituency came to an end after he suffered defeat at the hands of a political newcomer.
Nafikiri watu tujaribu kuonyesha integrity kwenye habari tunazozitoa ili kudumisha credibility yetu ka JF. Wa2 wengi wanafuatiulia uchaguzi wa kenya kwa forum yetu sasa tukianza kufanya mzaha na matokeo tutapoteza heshima yetu. Naomba watu wanaoleta mapenzi kwenye polls results waache kwani ni kujivunjia heshma hata wao wenyewe.mkomboziufisadi
Newsroom
LATEST POLLS
Presidential Candidate %
Mwai Kibaki 43.3
Raila Odinga 43.6
Kalonzo Musyoka 11
Bora Shy wa watu aliyebadili dini
Seriuosly, Inakera sana, ati Mbunge wa Jimbo la Kinondoni ni Mh. Iddi Azzan,,, check nondo/profile ya mheshimiwa hapa
Kitila tunahitaji kufanya kazi ya ziada hii ni dhihaka kubwa sana!!! yaani this was the best kutoka kwa wakazi zaidi ya 700.
Seriuosly, Inakera sana, ati Mbunge wa Jimbo la Kinondoni ni Mh. Iddi Azzan,,, check nondo/profile ya mheshimiwa hapa
Kitila tunahitaji kufanya kazi ya ziada hii ni dhihaka kubwa sana!!! yaani this was the best kutoka kwa wakazi wa jimbo la Kinondoni?
Newsroom
LATEST POLLS
Presidential Candidate %
Mwai Kibaki 43.3
Raila Odinga 43.6
Kalonzo Musyoka 11
Kibaki pamoja na kufanya kazi nzuri kuliko alivyotegemewa bado anapigwa chini. Sisi Bongo JK anasema bado wanajenga msingi sasa then 2010 may be ndiyo kazi ya ukuta kupanda itaanza, sisi tunamchekea. CCM inabidi wapewe fundisho kali! Ndiyo sababu hawataki EAF, wanaogopa influence ya Kenya naona!!!
Mkomboziufisadi,
Na wewe unataka kuwa fisadi kwenye hili?
Sisi tunajua Raila ana zaidi ya 50%. Wewe endelea kupika matokeo yako, lakini leo hayataiva.
Mie natetea haki,hizo data nimezipata katika webiste ya mwai kibaki
www.kibaki.co.ke