NATIONAL VOTE
MUJIB: KTN
SAA: 11.11PM
MAENEO BUNGE 124 Zimeshahesabiwa. Jumla kuna maeneo bunge 210. Tunasubiri kura za constituencies 86.
1. Raila Odinga - 3, 571, 158 Mill.
2. Kibaki Mwai - 3, 043, 921 Mill.
Wakuu: Kibaki ameamuka sasa na anakuja kwa kasi za farasi! Halafu wote wawili wamekwisha fululiza kondisheni mbili za kuchaguliwa rais bado hio ya tatu: Kondishen zenyewi ni hizi: Ili atangazwe kama Rais, mgombeaji Rais lazima
a)Achaguliwe kama muwakilishi wa eneo bunge moja nchini.
b)Apate 25% of the votes kwa majimbo tano au zaidi.
c)Apate kura zaidi kuliko wapinzani wake nchini nzima (majority vote win)
Duh! the gap is becoming narrower by the minute!
NATIONAL VOTE
MUJIB: KTN
SAA: 11.11PM
MAENEO BUNGE 124 Zimeshahesabiwa. Jumla kuna maeneo bunge 210. Tunasubiri kura za constituencies 86.
1. Raila Odinga - 3, 571, 158 Mill.
2. Kibaki Mwai - 3, 043, 921 Mill.
Wakuu: Kibaki ameamuka sasa na anakuja kwa kasi za farasi! Halafu wote wawili wamekwisha fululiza kondisheni mbili za kuchaguliwa rais bado hio ya tatu: Kondishen zenyewi ni hizi: Ili atangazwe kama Rais, mgombeaji Rais lazima
a)Achaguliwe kama muwakilishi wa eneo bunge moja nchini.
b)Apate 25% of the votes kwa majimbo tano au zaidi.
c)Apate kura zaidi kuliko wapinzani wake nchini nzima (majority vote win)
K-T hebu tuambie kura za sasa zatoka mikoa gani? Maana kama ni central na Upper eastern tuweze jua pia kiasi gani hakijahesabiwa Western, Nyanza na Rift Valley. North Eastern naona Kibaki anaongoza. Wananishangaza sana wasomali hawa maana only social democrats can rescue them. That is the Orengos and Nyong'os. Not Kimunya's etc.
Tuambie kura za sasa zatoka wapi K-T?
Kichuguu soma PM yako
Zitto ndio demokrasia hiyo na usiwalaumu sana kwa walichofanya ingawa mie naona kuwa kura nyingi za waliopiga kwa ODM hata huko eastern hazijaletwa bado. Usisahau pia factor ya Kalonzo maana naona ataaffect eastern tu labda na north eastern lakini sio rift valley na sehemu zingine.
Raila bado ananafasi kubwa sana ya kushinda labda Kibaki afanye hicho Saitoti alichojaribu kufanya jimboni kwake kabla vijana wa ODM hawajamtimua mbio - kuiba kura
Asante nimeshasahihisa; unajua nilikuwa najua kuwa aliwahi kuwa Waziri wa Fedha, Vice president, na Waziri wa Afya, ndiyo maana nilidhani alitoka KANU wakati huo. Sikuwa karibu sana na politics za Kenya tangu walipomwua Dr. Ouko.
Mwafrika wa Kike,
Nakubaliana nawe kuhusu factor ya Kalonzo. Wasiwasi wangu ni kuwa Kalonzo atapunguza kura za Kibaki Ukambani tu lakini kuna maeneo ya eastern ambayo kuna wakikuyu. Ndiko wanakotoka kina Murungi Kiraitu huko na kina Cecily Mbarire ie Runyezes. Ila bado nina matumaini makubwa sana kwani bado Kibaki hafanyi vema Magharibi inagawa wamejitokeza wachache kupiga kura. Pia watu wa Bonde la Ufa wamefanya kweli. Tusubiri tu na K-T anatuletea updates