Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,236
- 669
Haya matokeo sasa naona yanapikwa kwa nini kumekuwa na uchwelewaji namna hii? Jana waliahidi kwamba angalau leo asubuhi wangetoa matokeo ya awali yaani at least 50% lakini kimya hadi sasa, kuna nini?
Kuna mtu anaibiwa hapa na italeta shida sana baadaye, tuendelee kusubiri.
Kuna mtu anaibiwa hapa na italeta shida sana baadaye, tuendelee kusubiri.