Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,956
Kitabu, kitabu! Mimi naomba tuandike kitabu. Sorry, I am a fool!
Mzalendohalisi,
Huu ndio ujinga wa Afrika, tunaibiwa na tunabaki kusema tuendelee mbele, utaendelea mbele vipi wakati kila kitu kinaibwa, umaskini unaongezeka na walio nacho wanaendelea kuwa matajiri kwa gharama ya mamilioni ya watu wengine?
Inabidi ifike mahali Afrika tufanye kama wanavyofanya Europe, walivyofanya Yugoslovakia, Ukraine, Georgia na kwingineko.
Tutaendelea kuburuzwa mpaka lini?
Hivi ODM wamepata nafasi za ubunge asilimia ngapi? Inabidi kweli busara itumike kusitokee machafuko!Now time again to show that even in Africa there can be civilisation and civilised way of solving poltical problems.
Uchaguzi huu ulikuwa closely contested na yeyote kati ya hawa wawili alikuwa anatarajiwa kushinda. Hakuna shaka huyu bwana ameiba kura ili apate ushindi. Pamoja na machungu waliyo nayo ODM wakiongozwa na jemadari wao Raila (kama ambavyo sisi hapo tulivyo), nafikiri ni muhimu sasa wakae haraka baada ya matokeo haya kutangazwa na kuona the right course. The first course should be to try with all their efforts, as they did in luring the support they got, to cool down the people's anger. Kuingia mtaani liwe ni jambo la mwisho. Watumie options za mezani kwanza kwa kuanzia na mahakana, na madamu wana the majority bungeni wajipange huko na wana nafasi ya kufanya vizuri sana katika kurekebisha mfumo uliosababisha waibiwe kura. Inawezekana Raila asipate nafasi tena ya kuwa Rais wa Kenya, lakini ana nafasi kubwa, kupitia wabunge wake huko bungeni, ya kuitengeneza Kenya ikawa the best model of democracy in Africa.
Mhe Zitto, mimi nafikiri kama unaweza ukatumia ushawishi wako kwa hawa ndugu zetu wa ODM wakaweza kuwatuliza wafuasi wao na wao kupanga mashambulizi ya kiakili upya badala kuingiza watu barabarani litakuwa jambo la maana sana.
You are not. very good idea, lakini ni vigumu kuiweka vizuri sasa hivi maana bado tunaomboleza kubakwa kwa demokrasia Kenya
next nchi haitawaliki hilo ndio suluhisho.
mtu akijitia wehu kumwaga mboga wewe ilobaki ni kumwaga mlo nyote mkae na njaa.
si kila wakati amani inakuja kwa njia ya amani.
sisi zanzibar huwa tunamsemo unasema ukiujua huu na ss tunaujua huu.
Damn 48%+48%+5%=100%??? Hii hesabu ya wapi?
Jamaa hao wamepata news..wanaomba machafuko yatokee wauze habariSKY News wanasema riots zimeanza Nairobi baada ya matokeo kutangazwa.
Kila mara watu tunapojaribu kuimove afrika mbele kuna watu wanataka kuirudisha nyuma , hivi kweli uchumi wa Kenya utaweza kuthrive kwenyee hii hali ? Na jee kama chama Moi kingeamua kuiba uchaguzi kipindi kile cha Nyuma huyu mzee angeshinda ? On a serious note na mheshimiwa Zito atuambie analiona vipi suala lake la shirikisho , kweli ni idea nzuri kujiunga na nchi ambayo kuna chuki kubwa kati ya kabila na kabila .
1. Mimi naona Utaifa mbele kwanza- hata Bush na Al Gore- kulikuwepo na hisia kama hizi za wizi wa kura- ila kiuungwana Al Gore alikubali yakaisha-Bush akawa rais na US wakasonga mbele!
2. Kama kuna mapungufu- basi yameshatokea. ODM wanweza kwenda Mahakamani. Pia wana wabunge wengi tayari!
3. Kuvumiliana tu na kusonga mbele!
Politricks Buddythis can be a simple and smallest error they(kibaki et al) have made But if its true that the final sum is 48%+48%+5%=101
that means that kibaki actually got 47% of the votes,and to make up with the extra percentage that raila was leading with,kibaki added the votes to make up the shame full 101% sum,
and the way things looked before,raila must have gotten 49% and raila had something like 45%-46%
a better way is for international community to intercept,and let democracy pave the way for future better kenya
1. Swala jingine -je Uchaguzi kuwa free and fair ni lazima Raila awe mshindi? Je wizi anweza tu kufanya Kibaki kwa kuwa ni incumbent president?
2. Taabu ODM walianza kusherekea mapema mno- ktkt ya mchezo wakati mpira ni dakika 90!
3. Well is was a neck to neck contest- angalia margin ya ushindi- 200,000 yoyote angeweza tu kushinda!
Kama Kibaki ndo ametangazwa, Utaifa, utulivu na amani kwa Kenya ni muhimu zaidi kuliko kuingia mitaani!