Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

HAYA HII HAPA TENA BREAKDOWN WAKUU,

TIME: 12.12am

SOURCE: KTN TV

KURA NCHI NZIMA:

1. Raila - 3,609, 795
2. Kibaki - 3, 116, 373
3. Kalonzo - 516, 511


KURA ZA MIKOANI

EASTERN

1. Kalonzo - 411, 936
2. Kibaki - 349, 147
3. Raila - 48, 712

Nafamishwa na wenzangu kwamba zile total votes za kila mkoa au ile total vote ya 14.1 Million ni namba rasmi za waliojisajili na sio kwamba hawa wote walipiga kura. Basi total za mshindi, na wenzake pengine zitafika kwa 11 Million. Mnaweza tilia hili maanani tukichapa mahesabu usiku kucha leo.

Mwa mfano: Katika eneo bunge la Juja huko Central province Namba ya wapiga kura ua kura huko ni 163, 397.

Lakini kufikia sasa wamepata mbunge na kura zishahesabiwa.

1. Kibaki - 100, 390
2. Raila - 13, 752
3. Kalonzo - 4, 409

Ukiweka hizi pamoja hazifikii ile figa rasmi ya 163, 397. Hii ina maana kwamba kuna wale waliojisajili lakini hawakuenda kupiga kura. Turn out ya wapigaji kura Central na Rift Valley zilikuwa nzuri sana. Eastern maeneo ambayo yako pande za kusini wa mkoa huu siyo tishio. Huko kunaishi jamii za kuhamahama na huwa hawapigi kura kwa wingi. Kuliko na kura ni kati kati ya Eastern wishiko mabinamu wa wakikuyu waiitwao wameru na waembu....kura za waembu zimekwisha ingia na Kibaki amepata na tiyari ziko kwenye hiyo figa hapo juu kwenye post hii. Tunasubiri za wameru kama kwa kina Petkey Miriti au Kiraitu Murungi na pia embu kwa kina Mbarire.

Kibaki wasipo iba kura basi Raila yuko ndani ya Ikulu wiki ijayo.



 
Guys nimemaliza kuongea na mkulu mmoja wa Pentagon sasa hivi. Kuna tatizo kubwa laweza kutokea. Inasemekana jamaa wamehold matokeo ya central na upper eastern katika vituo kama kumi ili waweze jua wanarigg vipi baada ya matokeo ya maeneo ya Raila kutoka. Mkuu anaongea hana raha, imenitisha kidogo.

Nimefahamishwa kuwa tayari ODM ina wabunge 109 mpaka sasa, hivyo ina maana tayari wameshalishika Bunge maana nusu ya Bunge ni Wabunge 105. Kuna wabunge 12 wa kuteuliwa kutokana na idadi ya viti vya kila chama. Hivyo bado ODM imeshajihakikishia viti 6 (ndio nafasi za Nyaga, Mumbi etc).

Sasa sijui itakuwaje! Ina maana jamaa waliachia matokeo ya Raila yatokeeeeee, kisha wajue cha kufanya. Isitokee fujo tu maana kumwapisha Rais aliyewekwa kwa nguvu ni hatari.
 
Kibaki anazo notes walizotumia CCM 1995. Hawa kina Raila na timu yake wasipokuwa makini sana, jamaa atawapiga "bao la kisigino". Nilihisi hivyo tangu nilivyoanza kuona utaratibu wa kutangaza matokeo kwa kuanzia zile sehemu ambazo upinzani una nguvu. Wanataka kuonesha picha ya marathon, wa nyuma kumpiku wa mbele, halafu mwishoni waseme "kutangulia si kufika", au "ujanja kupata, si kuwahi"!
 
Guys nimemaliza kuongea na mkulu mmoja wa Pentagon sasa hivi. Kuna tatizo kubwa laweza kutokea. Inasemekana jamaa wamehold matokeo ya central na upper eastern katika vituo kama kumi ili waweze jua wanarigg vipi baada ya matokeo ya maeneo ya Raila kutoka. Mkuu anaongea hana raha, imenitisha kidogo.

Nimefahamishwa kuwa tayari ODM ina wabunge 109 mpaka sasa, hivyo ina maana tayari wameshalishika Bunge maana nusu ya Bunge ni Wabunge 105. Kuna wabunge 12 wa kuteuliwa kutokana na idadi ya viti vya kila chama. Hivyo bado ODM imeshajihakikishia viti 6 (ndio nafasi za Nyaga, Mumbi etc).

Sasa sijui itakuwaje! Ina maana jamaa waliachia matokeo ya Raila yatokeeeeee, kisha wajue cha kufanya. Isitokee fujo tu maana kumwapisha Rais aliyewekwa kwa nguvu ni hatari.

Zitto,

heshima kwako mkuu,

waambie hao ODM nao wasianze kulialia sasa. Wakae macho usiku mzima kuhakikisha kuwa kura haziibiwi. Ikiwezekana watume vijana kutoka Nyanza au Rift valley au western ambako ni chini ya masaa 4 kuendesha kutokea anywhere ili wakalinde kura zao.

Kukata tamaa hivi wakati wana nafasi ya kulinda kura zao ni kosa na wasijemlaumu mtu. SORRY but they gat to stand up walinde kura zao
 
Guys nimemaliza kuongea na mkulu mmoja wa Pentagon sasa hivi. Kuna tatizo kubwa laweza kutokea. Inasemekana jamaa wamehold matokeo ya central na upper eastern katika vituo kama kumi ili waweze jua wanarigg vipi baada ya matokeo ya maeneo ya Raila kutoka. Mkuu anaongea hana raha, imenitisha kidogo.

Nimefahamishwa kuwa tayari ODM ina wabunge 109 mpaka sasa, hivyo ina maana tayari wameshalishika Bunge maana nusu ya Bunge ni Wabunge 105. Kuna wabunge 12 wa kuteuliwa kutokana na idadi ya viti vya kila chama. Hivyo bado ODM imeshajihakikishia viti 6 (ndio nafasi za Nyaga, Mumbi etc).

Sasa sijui itakuwaje! Ina maana jamaa waliachia matokeo ya Raila yatokeeeeee, kisha wajue cha kufanya. Isitokee fujo tu maana kumwapisha Rais aliyewekwa kwa nguvu ni hatari.

Now, here is the real danger for Kenya. I hope it doesn't end up this way!
 
Hivi hebu nielimisheni hapa maana katiba ya Kenya siijui. Rais akitoka kwenye chama ambacho hakina majority ya bunge inakuwaje? Mfano sasa hivi ODM wana zaidi ya 51% ya viti vya ubunge, itakuwaje akishinda Kibaki ataongozaje? Katiba yao inasemaje?
 
Zitto,

heshima kwako mkuu,

waambie hao ODM nao wasianze kulialia sasa. Wakae macho usiku mzima kuhakikisha kuwa kura haziibiwi. Ikiwezekana watume vijana kutoka Nyanza au Rift valley au western ambako ni chini ya masaa 4 kuendesha kutokea anywhere ili wakalinde kura zao.

Kukata tamaa hivi wakati wana nafasi ya kulinda kura zao ni kosa na wasijemlaumu mtu. SORRY but they gat to stand up walinde kura zao

Mwafrika wa Kike,

Nakubaliana nawe, wasianze kulia lia badala yake ni kulinda mabox. Labda wanatumia hayo maneno ili kuwatisha watu wa serikali kama wanataka kuiba.

Naona hata kwa Raila, kura nyingi hazijatangazwa.
 
Hivi hebu nielimisheni hapa maana katiba ya Kenya siijui. Rais akitoka kwenye chama ambacho hakina majority ya bunge inakuwaje? Mfano sasa hivi ODM wana zaidi ya 51% ya viti vya ubunge, itakuwaje akishinda Kibaki ataongozaje? Katiba yao inasemaje?

Ni kama USA, Je Bush anaongozaje sasa wakati senate na congress iko Democratic?

Kazi itakuwa kubwa sana ila inawezekana. Kwa Kenya rais anaweza kutoa hongo ya vyeo na pesa na baadhi ya wabunge toka ODM wakahamia huko kwake. Kwa Afrika kila kitu kinawezekana.
 
Hivi hebu nielimisheni hapa maana katiba ya Kenya siijui. Rais akitoka kwenye chama ambacho hakina majority ya bunge inakuwaje? Mfano sasa hivi ODM wana zaidi ya 51% ya viti vya ubunge, itakuwaje akishinda Kibaki ataongozaje? Katiba yao inasemaje?


He is still the president. Atakuwa na wakati mgumu sana lakini bado ataapishwa. Kibaki akishinda inasemekana hapa kwamba ataunda pengine alliance na chama zingine kama ODM- Kenya ya Kalonzo. Msisahau kwamba huku ma MP wengi wa ODM watakua wagumu kuibiwa kama hapo awali alivyofanya Kibaki awamu yake ya kwanza kwasababu walipitisha Political Parties Bill wenyewe ikawa sheria kwamba mtu haezi kuiba MPs kutoka kwa chama kingine bila kuandika rasmi kwa mwenyekiti wa chama hicho hajatoa idhini.

"Rais bila wabunge wakutosha ni mahabusu wa Upinzani", Raila aliwahi kusema huku akiomba wakenya wampatie wabunge wakutosha
 
Hivi hebu nielimisheni hapa maana katiba ya Kenya siijui. Rais akitoka kwenye chama ambacho hakina majority ya bunge inakuwaje? Mfano sasa hivi ODM wana zaidi ya 51% ya viti vya ubunge, itakuwaje akishinda Kibaki ataongozaje? Katiba yao inasemaje?

Kenya wana mfumo wa ajabu sana katika Katiba yao. Kule Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni ni Makamu wa Rais ambae anateuliwa na Rais na wala hathibitishwi na Bunge. Hawajawahi kutest kitakachotokea sasa (kama Kibaki akishinda). Huko nyuma Moi alikua anapata minority votes za Urais lakini anapata wabunge wengi na hivyo anahitaji support kidogo sana ya nje ya wabunge wa chama chake. Mtakumbuka Raila alivyomwokoa na chama chake cha NDP wakati huo.

Hali ingekuwa tamu sana Tanzania ambapo Waziri Mkuu anatoka chama chenye wabunge wengi. Hivyo ikitokea kwa mfano CCM ikashinda Urais 2010 lakini CHADEMA ikawa na wabunge wengi, Waziri Mkuu atatoka CHADEMA na hivyo kushirikiana na Rais kuunda Serikali. Mfumo huu una afadhali kwani hauleti vurugu. Mfumo wa Kenya ni vurugu tupu ndo hupelekea Rais kuwanunua wabunge wa upinzani.

Mfumo kama wa Tanzaia ndio umechukuliwa na nchi nyingi sana za Eastern Europe kama Poland, Latvia, Lithuania, ZCheck Republic etc. Ni mfumo ambao unakuwa na Rais mwenye nguvu na pia Waziri Mkuu mwenye nguvu. Rais anakuwa na mamlaka zaidi na foreign affairs, finance na economy na Waziri Mkuu mostly domestic issues apart from currencies.

Hata hapa nyumbani ndio aina ambao Mwalimu aliutaka. Mnakumbuka Sokoine na Salim walikuwa very powerful PMs katika domestic dockets.

Naona nimejieleza sana. Ngoja niishie hapo. Ila kama Kibaki akishinda Kenya without majority in Parliament kutakuwa na crisis na kwa vyovyote vile ODM watampigia vote of no confidence na kumtoa. Nionavyo mimi!
 
HAYA HUKU KUNACHAHA

1. WIZI UMEANZA KURIPOTIWA SASA. LAKINI NI HUKO PWANI. SASA MATUGA CON. HUKO PWANI ATOKAKO RAIS WA TRANSPORT ALI MAKWERE WAMEFOSI OFISA WA ECK AKATANGAZA ALI KASHINDA HUKU WAPINZANI WAKE WAKILIA NA KUTOA KELELE KWA HASIRA. INASEMEKANA BALLOT PAPERS ZIMEPATIKANA KWENYE GARI MOJA. SASA ALI ANASEMA ETI NI ZA ODM NA ODM WANASEMA HUKO NI ZA ALI. POLISI NADHAN WANAOGOPA KUMSUMBUA ALI JILI ALIKUA MINISTA. BADO NAMONITA HILI WAKUU.

2. MAMBO NI HIVYO HIVYO HUKO DAGORETI, NAIROBI NA PIA KAJIADO SOUTH, RIFT VALLEY


NTAREJEA BAADAYE NA DETAILS
 
PNU Wanafanya consultation kwa sisiem mambo gani ya kufanya ili wafanikiwe.

Technique wanayoitumia
1)kuchanganya makarasi ya kura ili baadhi ya maeneo wasiweze kupiga kura ili uchaguzi uahirishwe kupunguza kura za wapinzani kama walivyo fanya kwa nadhani kata 12

2. Maeneo ambayo yana turnout ndogo yanajaziwa na kura za mamluki

3. Wasimamizi na mawakala....wanalishwa sumu

4. Nyinginezo
 



He is still the president. Atakuwa na wakati mgumu sana lakini bado ataapishwa. Kibaki akishinda inasemekana hapa kwamba ataunda pengine alliance na chama zingine kama ODM- Kenya ya Kalonzo. Msisahau kwamba huku ma MP wengi wa ODM watakua wagumu kuibiwa kama hapo awali alivyofanya Kibaki awamu yake ya kwanza kwasababu walipitisha Political Parties Bill wenyewe ikawa sheria kwamba mtu haezi kuiba MPs kutoka kwa chama kingine bila kuandika rasmi kwa mwenyekiti wa chama hicho hajatoa idhini.

"Rais bila wabunge wakutosha ni mahabusu wa Upinzani", Raila aliwahi kusema huku akiomba wakenya wampatie wabunge wakutosha

Tanzanian-Kenyani:
Lakini sheria hii ilikuwepo tayari hata wakati Kibaki anawa-poach ma-MPs wa Kanu kuingia katika Govt. of National Unity; hata bila kumwarifu Uhuru.
Tatizo kubwa ni kwamba wabunge wengi wanapenda sana uwaziri.
Pengine safari hii kama ikitokea patakuwepo na discipline kubwa ndani ya ODM, ili wabunge wao wasirubuniwe na kupewa uwaziri kama rushwa.
 
RESULTS ZINGINE MPYA ZIMETOKA NAKOMPAILI NIZILETE. RAILA AMESONGA MBELE TENA

UHURU KENYATTA ANAHOJIWA HAPO STUDIONI WAKIMUULIZA NI KWANINI KURA ZA KUTOKA KWA KIBAKI AU NGOME ZAKE HAZILETWI NAIROBI? ANASEMA ATI HIO NDIO WASIWASI UMETUMA YEYE KUENDA KUCHUNGUZA ECK HEDKUATA.

RESULTS ZA KWA KINA ALI BADO ZINABISHWA NA NAFUATA HIYO STORI
 
Tanzanian-Kenyani:
Lakini sheria hii ilikuwepo tayari hata wakati Kibaki anawa-poach ma-MPs wa Kanu kuingia katika Govt. of National Unity; hata bila kumwarifu Uhuru.
Tatizo kubwa ni kwamba wabunge wengi wanapenda sana uwaziri.
Pengine safari hii kama ikitokea patakuwepo na discipline kubwa ndani ya ODM, ili wabunge wao wasirubuniwe na kupewa uwaziri kama rushwa.

La. Haikuwepo. Ilitiwa saini siku moja kabla bunge kuvunjwa na rais hivi majuzi. Tutazungumza hili usijali.
 
Kenya wana mfumo wa ajabu sana katika Katiba yao. Kule Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni ni Makamu wa Rais ambae anateuliwa na Rais na wala hathibitishwi na Bunge. Hawajawahi kutest kitakachotokea sasa (kama Kibaki akishinda). Huko nyuma Moi alikua anapata minority votes za Urais lakini anapata wabunge wengi na hivyo anahitaji support kidogo sana ya nje ya wabunge wa chama chake. Mtakumbuka Raila alivyomwokoa na chama chake cha NDP wakati huo.

Hali ingekuwa tamu sana Tanzania ambapo Waziri Mkuu anatoka chama chenye wabunge wengi. Hivyo ikitokea kwa mfano CCM ikashinda Urais 2010 lakini CHADEMA ikawa na wabunge wengi, Waziri Mkuu atatoka CHADEMA na hivyo kushirikiana na Rais kuunda Serikali. Mfumo huu una afadhali kwani hauleti vurugu. Mfumo wa Kenya ni vurugu tupu ndo hupelekea Rais kuwanunua wabunge wa upinzani.

Mfumo kama wa Tanzaia ndio umechukuliwa na nchi nyingi sana za Eastern Europe kama Poland, Latvia, Lithuania, ZCheck Republic etc. Ni mfumo ambao unakuwa na Rais mwenye nguvu na pia Waziri Mkuu mwenye nguvu. Rais anakuwa na mamlaka zaidi na foreign affairs, finance na economy na Waziri Mkuu mostly domestic issues apart from currencies.

Hata hapa nyumbani ndio aina ambao Mwalimu aliutaka. Mnakumbuka Sokoine na Salim walikuwa very powerful PMs katika domestic dockets.

Naona nimejieleza sana. Ngoja niishie hapo. Ila kama Kibaki akishinda Kenya without majority in Parliament kutakuwa na crisis na kwa vyovyote vile ODM watampigia vote of no confidence na kumtoa. Nionavyo mimi!

Zitto
ni mfumo unaotaka kufanana na eastern europe kama poland lakini si sawa
Mfano Poland Waziri Mkuu naye anagombea na anapigiwa kura na ndiye anayeunda serikali yani anachagua mawaziri pia kuongoza serikali.
NA huyu waziri mkuu lazima afikishe asilimia fulani ktk senate ili aongoze lasivyo lazima aunde coalition na vyama vingine ndipo apate kuongoza.
Rais pia naye anagombea kivyake na kazi yake kubwa nikutia saini tu na hana nguvu sana kama waziri mkuu.
 
Tunawapongeza wenzetu mliopo East Africa, hasa Zitto na KT, maana sasa hivi ni saa 7 kasoro za usiku huko nanyi bado mnatupasha tu, ahsanteni sana. Ngoja nipunguze kunywa hizi nanihii maana naanza kusinzia sasa na hii habari ya ushindi kupungua na wizi wa kura tena inaanza kuleta minyoo tumboni!
 
Zitto
ni mfumo unaotaka kufanana na eastern europe kama poland lakini si sawa
Mfano Poland Waziri Mkuu naye anagombea na anapigiwa kura na ndiye anayeunda serikali yani anachagua mawaziri pia kuongoza serikali.
NA huyu waziri mkuu lazima afikishe asilimia fulani ktk senate ili aongoze lasivyo lazima aunde coalition na vyama vingine ndipo apate kuongoza.
Rais pia naye anagombea kivyake na kazi yake kubwa nikutia saini tu na hana nguvu sana kama waziri mkuu.


Nakubali, upo sahihi kabisa kuhusu Poland. Ni mfumo mzuri sana huo katika demokrasia kama zetu
 
Mfumo wa Kenya unaweza kuufananisha na ule wa USA.

Wenzetu wameendelea na wanaweza kubishana na kuelewana je sisi Afrika?

Hapo waombee ti Raila asjinde vinginevyo itakuwa vurugu tupu.
 
Tunawapongeza wenzetu mliopo East Africa, hasa Zitto na KT, maana sasa hivi ni saa 7 kasoro za usiku huko nanyi bado mnatupasha tu, ahsanteni sana. Ngoja nipunguze kunywa hizi nanihii maana naanza kusinzia sasa na hii habari ya ushindi kupungua na wizi wa kura tena inaanza kuleta minyoo tumboni!

kwi kwi kwi...... Kitila! Haya nami najilaza kidogo maana nshachoka.
 
Back
Top Bottom