Mwendapole Old
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 249
- 52
Kama unakumbuka mapambano ya Afrika kusini ili kuondoa ubaguzi. Waafrika wengi sana walikufa ikiwemo wazungu wasio na hatia. Watu waliuwawa wakiwa mashuleni na makanisani kama hawa wakenya.
Wakati yote yakiendelea, kuna watu walishauri kuwa damu inayomwagika ni muhimu kuliko mandela na kutaka waafrika wakubali tu waendelee kuishi na wazungu kama red indians walivyokubali yaishe na wakaendelea kuishi na wazungu america.
Ulichokisema hapo, hakina tofauti kabisa na wakatishaji tamaa walichosema wakati wa kupigania uhuru. Hakuna anayefurahia damu kumwagika lakini pia si kweli kusema kuwa isipomwagika basi ndio mwisho wa vifo. Madikiteta wasipoua kwa bunduki, basi wanauwa kwa starvation na magonjwa kama anavyofanya Mugabe huko Zimbabwe.
Chaguo ni je, watu wafe sasa hivi kupigania haki au wasubiri hapo baadaye watakapokufa kwa njaa na magonjwa yanayotibika?
OK. Lets shed some blood; why not start by the root cause, that is Kibaki? kwanini kila mara manyang'au yanayosababisha mauaji na migogoro huwa yanabaki hai wakati wachovu ambao ndio huwa wanawaweka madarakani wanakufa; then this time afe Kibaki!