Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akishaapishwa tu,kenyatta itakua ndo byebye The hague.
Wakimbana sana atatawala hata kwa miaka thelathing bila kuachia.
Hata asingekubali angefanyaje..apumzike tu ale pensheni
kwel nimeamin ng'ombe wa mackin hazai, na hata akiza basi anazaa dume!
sasa ni rasmi kenya ni ya wakikuyu tangu uhuru! ndugu zangu wakamba, waluo, kabila la kina laila wactegemee kuiongoza kenya! laila alikuwa na na mvuto kuliko uhuru, ila ukabila umefanya kaz yake!
hvi unazani mahakama ingefanya nini wakati asilimia karibu tisini ya majaji ni wakikuyu!
bora tanzania gape la ukabila sio kubwa kiivyo ni sisi watanzia tunashndwa kufanya maamuz kw nizamu ya woga tuliyonayo!
akishaapishwa tu,kenyatta itakua ndo byebye The hague.
Wakimbana sana atatawala hata kwa miaka thelathing bila kuachia.
kwel nimeamin ng'ombe wa mackin hazai, na hata akiza basi anazaa dume!
sasa ni rasmi kenya ni ya wakikuyu tangu uhuru! ndugu zangu wakamba, waluo, kabila la kina laila wactegemee kuiongoza kenya! laila alikuwa na na mvuto kuliko uhuru, ila ukabila umefanya kaz yake!
hvi unazani mahakama ingefanya nini wakati asilimia karibu tisini ya majaji ni wakikuyu!
bora tanzania gape la ukabila sio kubwa kiivyo ni sisi watanzia tunashndwa kufanya maamuz kw nizamu ya woga tuliyonayo!
Katika hali isiyotarajiwa na wengi,mahakama kuu ya Kenya chini mwanasheria mkuu wa serikali Willy Mutunga,imetupitilia mbali hoja zilizotolewa na CORD,zakupinga matokeo ya uchaguzi.
Aliyekuwa mgombea urais Raila Odinga,huwenda akakata rufaa,kupitia wakili wake maarufu toka nchini Marekani.
Katika hali isiyotarajiwa na wengi,mahakama kuu ya Kenya chini mwanasheria mkuu wa serikali Willy Mutunga,imetupitilia mbali hoja zilizotolewa na CORD,zakupinga matokeo ya uchaguzi.
Aliyekuwa mgombea urais Raila Odinga,huwenda akakata rufaa,kupitia wakili wake maarufu toka nchini Marekani.
kwenye mahakama ipi?Si hata Slaa mwisho alikubali matokeo
Hii imekaaje? Mutunga mwanasheria mkuu? Hawezi kukata rufaa tena, by the way he has already conceded a defeat. Speculations are not good!
We ndo hovyo kweli...yaani raila ana mvuto kuliko uhuru.....
ama kweli africa hamna demokrasia mpaka mahakama nizaki magumashi.baaria upo.
mkuu inaelekea kina Odinga hawakujipanga tokea mwanzo. wenzao walihahakikisha katika ngome zao watu wao almost wote wanajiandikisha na kupiga kura - fundisho kwa vyama vyetu vya upinzani - huwa havifanyi hivyo na vinategemea wingi wa mahudhurio katika mikutano ya kampeni - sio watu wote wanaohudhuria mihadhara hiyo hupiga kura.
inaelekea pia kuwa maeneo ya kina Odinga watu waoga wakipewa propaganda kidogo ya kutokea fujo wakati wa uchaguzi basi hurudi nyuma. yale mauwaji ya mombasa mkesha wa kupiga kura huenda uliwaathiri wapiga kura kisaikolojia - na sehemu ile ilielekea kuwa ngome yao
all in all Kenyata ni kizazi kipya nina amini ana uwezo wa kuiunganisha kenya na kujaribu kupunguza spidi ya ukabila. sidhani kama atakuwa na fikra za ukabila kama baba yake. Mungu ibariki Kenya.
Wakikuyu wanadai Uhuru ni chaguo la Mungu. It is a big mockery of democracy and rule of law. Yaani hata constitution inasemaje juu ya hili suala,majaji hawasemi. majaji wamepewa statement ya kusoma and then thats it!!!.
I think walianza vizuri kwa ku-televise the whole process BUT, they had made up their minds before the judgement.
ICC hao ni wachumia tumbo tu wanatafuta kesi ili waendelee kupata ulaji.